Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Jamaa ana mzaha mwingi huyu, ndugu yangu alifariki kwa ushauri huu wa kipuuzi alikua ana tumia dawa kwa mda mrefu afya yake ilikua nzuri akaja kukutana na hawa makanjanja wakamjaza maneno ya uongo aka acha kutumia dawa haikupita miezi 6 tukazika
Kwa kweli za kuambiwa changanya na zako
 
Dahh.. Huu uzi ushanikata maini leo tena nina ghairi show[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya mambo bhana.. Ukizingatia leo ni jpili acha niwe mpole.
Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser

Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.

Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.

Kipi kimemsibu?
 
Tumia akili.case1 haiwez fanya case zingne kua false...

Pia jarib pitia machapisho mbalimbal kuhusu virus...au hujui kuwa sometime virus vinaweza ingia kwenye mwil wa binadam ila kinga ya mwili ikavishambulia had vikafa na kupotea vyote..?..kwanza unafaham hilo??..kama hufaham bas pitia tena uongeze ufaham
M
 
Sawa mkuu asante!

Mosi, je mtu mwenye HIV akimeza ARV ni anakuwa anajisikiaje? I mean anakuwa normal tu kama kawaida au kuna anavyojisikia mwilini?

Pili, kwanini Wagonjwa wa HIV hawapendi hivi vidonge?
Kuna Daktar kajibu maswali hapo juu.

ARV kwa miezi mitatu yakwanza Lazima utaomba Pooo na kama huli chakula cha kutosha na chenye lishe , utaacha kutumia.
Watu hawa wanalalamika Uchovu usokua wa wa kawaida, ndoto za ajabu ajabu, kukosa usingizi, kutapika, kuharisha ,kichefu kisichokawaida,, kutoka na rashes mwilin, kuwaka moto miguuu , baadhi ya viungo kua na ganzi n.k .. haya ni baadhi ya madhira madogo madogo,, na mtu anapokutwa nahaya kiasi chakuhatarisha Maisha yake, huwa anabadilishiwa dawa .

2... Mkuu, Kumeza dawa kila siku sio jambo dogo, hawa watu huwa wanajinyanyapa wenyewe, niwatu walokata tamaa, ndio maana wanahitaji msaada mkubwa sanaa , sababu zipo nyingi zakwann wanakataa dawa, sababu za mgonjwa mwenyewe, sababu zilizotokana na utumiaji wa dawa kiasi kwamba mtu anaamua tu kuacha.

Na Mtu aliyeanza kunywa dawa, akiacha tu , anaondoka mapema .
 
Kila mtu ashinde mechi zake,,,kuna watu wanajiona wako smart kuliko dunia nzima na miongoni mwao ni kama huyo so mmpe muda kuna siku ataleta ushuhuda hapa.

Usitumie muda wako kubishana ili ajifunze lazima ashuhudie.
Sina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.
Binafsi nimeona watu waliokuwa na Hali mbaya wakaanza kutumia Arv Waka recover na magonjwa nyemelezi yameisha na Wana afya before kutumia hzo dawa. Kuna mtu before ya kuzaliwa Mimi mgonjwa Ila anakula Arv vizuri Sasa ana afya yake na alishuhudia dawa zimemsaidia Sana ana miaka more than 25 akitumia.

Hizo logic zipo ni nzuri ziko kisiasa zaidi zilizotengenezwa na ma conspiracy huko, lakini Mimi nimeshuhudia mifano halisi ya wagonjwa na jinsi walivo recover, hyo ya kusema si kweli napenda kuwafahamu wasio tumia na waliotumia yupi afya imeimarika since nimewaona waliotumia na ku change nataka nione hao wasio tumia na Hali zao hii kuandika tu fact's bila ushahidi can't buy it Kuna watu hubadili vitu vya uongo vionekane ka kweli.

Sorry na Mambo mengi sijapitia hoja zote kukujibu maana kila mtu na Imani yake
 
Sina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.
Binafsi nimeona watu waliokuwa na Hali mbaya wakaanza kutumia Arv Waka recover na magonjwa nyemelezi yameisha na Wana afya before kutumia hzo dawa. Kuna mtu before ya kuzaliwa Mimi mgonjwa Ila anakula Arv vizuri Sasa ana afya yake na alishuhudia dawa zimemsaidia Sana ana miaka more than 25 akitumia.

Hizo logic zipo ni nzuri ziko kisiasa zaidi zilizotengenezwa na ma conspiracy huko, lakini Mimi nimeshuhudia mifano halisi ya wagonjwa na jinsi walivo recover, hyo ya kusema si kweli napenda kuwafahamu wasio tumia na waliotumia yupi afya imeimarika since nimewaona waliotumia na ku change nataka nione hao wasio tumia na Hali zao hii kuandika tu fact's bila ushahidi can't buy it Kuna watu hubadili vitu vya uongo vionekane ka kweli.

Sorry na Mambo mengi sijapitia hoja zote kukujibu maana kila mtu na Imani yake
Nimemwambia huyo jamaa kwamba kama HiV hayupo aende pale ambiance nimwonyeshe mala.ya mwenye ngwengwe aende akapige kavu kavu tuone kama atakubal..hao watu wanaoongeaga sana ndo waoga ajabu
 
Kuna Daktar kajibu maswali hapo juu.

ARV kwa miezi mitatu yakwanza Lazima utaomba Pooo na kama huli chakula cha kutosha na chenye lishe , utaacha kutumia.
Watu hawa wanalalamika Uchovu usokua wa wa kawaida, ndoto za ajabu ajabu, kukosa usingizi, kutapika, kuharisha ,kichefu kisichokawaida,, kutoka na rashes mwilin, kuwaka moto miguuu , baadhi ya viungo kua na ganzi n.k .. haya ni baadhi ya madhira madogo madogo,, na mtu anapokutwa nahaya kiasi chakuhatarisha Maisha yake, huwa anabadilishiwa dawa .

2... Mkuu, Kumeza dawa kila siku sio jambo dogo, hawa watu huwa wanajinyanyapa wenyewe, niwatu walokata tamaa, ndio maana wanahitaji msaada mkubwa sanaa , sababu zipo nyingi zakwann wanakataa dawa, sababu za mgonjwa mwenyewe, sababu zilizotokana na utumiaji wa dawa kiasi kwamba mtu anaamua tu kuacha.

Na Mtu aliyeanza kunywa dawa, akiacha tu , anaondoka mapema .
Duuuuh mbona mateso makubwa haya?
 
Wanafunzi wanaoenda kufanya mafunzo ya vitendo maofisini inabidi wazazi/walezi muwaonye watoto wenu ili wakifika kule wajue linalowapeleka tu la mafunzo.

Kule makazini wengi walishapata kuathirika na virusi vya ukimwi.

Watoto tulieni acheni tamaa.

Tamaa huzaa dhambi, dhambi huzaa mauti Yani kifo!

Kwanini mnakuwa na tamaa ya kutaka simu kali?, nguo kali n.k?

Kuna ofisini fulani kuna mama fulani huwa anajitolea siku ya kwanza ya kianza mafunzo anawaambia watoto shikeni lililowaleta mtaondoka salama la sivyo msije mkaondoka na ukimwi!

Basi wale ambao wanavilanga huenda kuwahadithia wale wanaume kuwa fulani katuambia mna ukimwi hivi na hivi halafu wale wanaume wanaanza kumchukia yule mama wakati hajataja jina la mtu .

Mimi huwa najiuliza kama wewe ni mwanafunzi wa chuo unasoma ili iweje?

Si uje kuwa na bright future au siyo?

Sasa unakuwa na bright future huku afya yako ikiwa mashakani?

Sasa huo u bright utakuwepo kweli?
Tatzo utamu kaka...sio kwamba wanapenda.tatzo utamu
 
Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.

Hapa kuna vitu viwili

1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza

2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)

Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tumuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi wa hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kinasemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.

Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana ya Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.

UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?.. Kila mtu anaweza kufa Kama some principles zimevunjwa.

Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje wakati ukimwi hauuwi?

Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts kuwa ARVs inaua Figo, ini na mapafu na Nyie wanawake mko kwenye hatari ya cervical cancer .. umewahi kujiuliza kwanini mashirika mengi yanayofadhili hizo ARVs yameanzisha vitengo vya kansa ya shingo ya kizazi ? ... Umewahi kujiuliza kwanini hii cansa kwa wanawake imeshamiri miaka ya kuanza kutumia ARVs ? Kwa Nini miaka ya nyuma hili tatizo ilikuwa almost halipo.

Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...

Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.

Sikia binti Malaria inaua watu wengi kuliko huo ugonjwa feki wa HIV ila kwanini hela nyingi inapelekwa kwenye HIV na sio malaria ? ... Katafute takwimu za wizara ya afya uone vifo vya Malaria na HIV uone n ugonjwa upi unaua Sana wabongo. Ndio maana nakwambia this is bussiness .. Vifo vya mama na mtoto ni vingi bongo kuliko huo upuuzi.
Mtaalamu umeelezea vizuri lakini napingana na wewe kwenye hoja zako,ni kweli PCR inapima viral load yaan idadi ya virus tu lakini kama ukitaka kumuona kirus mwenyewe anaonekana kwa kutumia electronic microscope,kwa hiyo kirusi kikiingia mwilini kinashambulia white blood cells ambazo zipo response kwa ajili ya kupambana na magonjwa,
Kwanini unakubali malaria ipo afu unakataa HIV??

Kwa hoja zako hauna tofauti ukisema malaria haiui Bali inasababisha anemia ,anemia ndo husababisha kifo,both malaria na ukimwi ni factor for death indirectly

California love
 
Back
Top Bottom