Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.
Hapa kuna vitu viwili
1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza
2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)
Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tymuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi was hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kisemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.
Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.
UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?
Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje ?
Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts ARVs inaua Figo, ini na mapafu ..
Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...
Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.