Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Ukitaka kujua makundi ndani ya ccm yamefika pabaya wakati kuna wanaoomboleza wapo miongoni mwao wanasherekea kifo cha capt komba ...eti tu kwakuwa hakuwa akiwaunga mkono .....waanaona ni kama askari wa adui kafa .......
Sasa sijui tuseme rip nani .......
Ila kwa wastaarabu ...tunaungana kuomboleza msiba huuu
Sasa sijui tuseme rip nani .......
Ila kwa wastaarabu ...tunaungana kuomboleza msiba huuu