Hii nchi waliikuta na wataiacha...mambo ya kuhisi wao ndo wenye hisa na nchi hii yana kikoma...huyu komba alikua mshiriki mkubwa wa kumtukana judge walioba ktk bunge la katiba,sasa ona amefariki akiwa hata ajajindikishe kupinga kura ktk mfumo mpya..hili ni funzo kwa kina makonda na kina chenge..mungu anamakusudi yake,amefariki akiwa ata kabla ya kujua ataenda kupigana pori lipi..before he thought of kiling our daughters and son,God has shown him the way,ts true death is certain,n may the almight forgive him hs sins.