albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 686
Nasikia jamaa alifikia hatua ya kutembea na masista(makasisi) wa kanisa katoliki ambao alipewa na parokia za Mbinga kama waalimu wenye weledi na taaluma ambao aliwaomba ili wafundishe kwenye shule yake ya Bakili Muluzi! Huyu Komba alijichumia laana!!
Pia kule Kimara kamjengea Lulu nyumba ambayo vijana wake wameapa kuirejesha hata ikibidi afe mtu!! Tutasikia mengi!!
Kila nikitafakari kifo natamani kuanza kubwia matungi tu.
Sasa amekufaje kabla hajaingia msituni?
atazikwa msituni
Akiwa Songea kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa CCM, rais Kikwete alisema "CCM siyo chama cha kisanii Komba na Diamond wanatosha" leo Ngoja hatunaye kabaki Diamond ataiweza mikiki mikiki ya kampeni?
yaan mfano kesho mara paaaaa lidondoke lichatu la makengeza yan ningetafuta baa moja hapa manzese niifunge walala hoi wanywe bia za bure kusheherekea. madhulumati yote fahari yao ni hapa duniani tu lakni vifo vyao ni vya kidhalili kama cha komba.
mtatua na kutupasua vichwa sana kwa marungu ya polisi lakini na nyie siku zenu zipo nambadi kama sisi tu.
bado miezi saba kufika october.
zanzibar 1
tanganyika 1.
znzbr ilikuwa ya kwanza kupoteza
kiungo wake.
leo tanganyika na wao
wamesawazisha kwa kumpoteza
kamanda wa msituni.
mechi bado inaendelea.
nakubali kabisa mkuu. huyu analindwa na mfumo dhalimu wa kisheria. na wezi wenzake hawadhubuti kumgusa kwani naye atawataja. but ipo siku....Hapana mkuu, Dawa ya wahalifu ni kukamatwa, kuhukumiwa na kufilisiwa ili watu waone, wajifunze na waogope. Huyo nyoka wa makengeza akifa na hela zetu watoto wake wataendelea kula bata na hela zetu.
Dawa nzuri ni kufikishwa mahakamani, kufungwa na kufilisiwa.
Vv
Kifo kinapotokea, tutapata nafasi ya kukumbuka kuwa kumbe nasi tuko hatua moja kutoka mauti. Poleni wafiwa.
Nimesoma na historian fupi ya marehemu, nashindwa kuamini kuwa Capt. Komba alizaliwa 1945-yaani ana miaka 70; kauli zake Bungeni haziwendani kabisa na mtu aliyezaliwa 1945, nadhani aliyetubandikia hiyo historian amekosea kidogo. Komba hawezi kuwa na miaka 70.
Vv