albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 686
bado miezi saba kufika october.
zanzibar 1
tanganyika 1.
znzbr ilikuwa ya kwanza kupoteza
kiungo wake.
leo tanganyika na wao
wamesawazisha kwa kumpoteza
kamanda wa msituni.
mechi bado inaendelea.
zanzibar 1
tanganyika 1.
znzbr ilikuwa ya kwanza kupoteza
kiungo wake.
leo tanganyika na wao
wamesawazisha kwa kumpoteza
kamanda wa msituni.
mechi bado inaendelea.