gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
Asante kwa taarifa , ambao muko karibu tafadhari mtuwakirishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Lowasa ni mtu maarufu zaidi hata ya Rais JK...maana JK kafika msibani ila hajaanzishiwa thread.Nilikua sijui ndo naanza kuelewa sasa..
Nani amuogope mwizi wa mali ya umma wewe mwanamke una kichaa nini.Uogaaaa una wasumbuaa .... Hapo ajapiga campaign.... Kaenda msiban.... Jaman viongozi wana zaliwaaaa msikurupukeee
labda aende upinzani au aunde chama lake. ndani ya ccm asahau hilo.Mungu akulinde Mh.Lowassa, Watanzania tulio wengi bado tunaamini wewe ndio tumaini letu lijalo!
Pamoja na yote namtofautisha Mh.Lowasa na wanasiasa wengine ambao ni ni wanasiasa matajiri au wana nafasi zao,sijawahi kumsikia akisema maneno ya KEBEI/DHARAU au maneno ya KUUZI wananchi,iwe ni bungeni,kwenye magazeti au kwenye vikao vyao,hana kauli kama za nyoka wa makengeza,au za bibi yetu wa milioni10 ya mboga,au za tutakula majaniau wauza juisi, kwa hilo nampongeza, kwa jinsi anvyosemwa nadhani angeshakuwa ameropoka mengi ya kuuzi.
uuuuuuuuuuuwi, wewe angalia, unajitafutia mada kesi, huyo ni supana mkononi, ni ene taimu atalowasika, ni hele tu ndo inamshikilia hapo kwa mdaLeo....nataka nipeane mkono na huyu fisadi...nimvute kamkonoo.....nipime kiwango chake cha kupoozaaa......nipo hapa msibaniii
Baba wa taifa alituachia wosia huyu lowasa tusije kumpa uongozi aliona mbali sana yule mzee haiwezekani mtu anunue urais.
Siasa chafu msibani hzifai ndugu kwani licha ya kuwa wote twaweza kufa lakini wafiwa waweza kuwa wafuasi wa upinzani sasa au baadae kama tukiwashawishi positively kujipambanua na CCM ya mabavu na kila namna ya ubaya. Usiuige ubaya wao ukatuletea sisi wastaarabu. Ukiweza omba radhi au huwezi basi kaa kimya kwani Mungu yu kazini asikukumbuke nawe bure.kwenye heding yako ondoa neno 'MAREHEMU'
marehemu au (marhumu) ni mtu alokuwa mwema akiwa hai.na sifa hii huyu bwana hana huyu mwite (MAYYITI) Kwa Kiswahili Mwite 'mfu' Hi Inamstahili.
Halafu Mbona Wabunge Wengi Wamekufa Lakin Katibu Hakuja Apa Kutoa Tangazo La Kuwapeleka Karimjee Au Kwa Kuwa Uyu Ni Mpiga Zumari La Kuwahadaa Masikini Wawachague Il Muibe Pigo La Mungu Ni Hilo Kidumu Chama Chenu.
Huu ndio Upashkuna tunaoukemea.