MSUMBA BENNY
Member
- May 25, 2014
- 47
- 4
mleta uzi upo vzuri tumepoteza kura moja ya komba laki bado el ni rais wa awamu ya tano anayebisha malaya anayejiuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kutambua mchango wa hayati capt.Komba kwa Taifa na Afrika kwa jumla,ni vyema channel ya TBc ioneshe live
Shughuli zote za mazishi za msiba wa capt.Komba
Siasa chafu ni zipi ,mbona wewe unamhukumu wakati hayo ndo maoni yake?Je ww ulikuwa nafsini mwa capt kwa matendo na imani yake?Au wewe ni mkamilifu?Siasa chafu msibani hzifai ndugu kwani licha ya kuwa wote twaweza kufa lakini wafiwa waweza kuwa wafuasi wa upinzani sasa au baadae kama tukiwashawishi positively kujipambanua na CCM ya mabavu na kila namna ya ubaya. Usiuige ubaya wao ukatuletea sisi wastaarabu. Ukiweza omba radhi au huwezi basi kaa kimya kwani Mungu yu kazini asikukumbuke nawe bure.
LOWASA namkubali sana ila sasa naanza kumuacha,unajua sera ya CDM ni ufisadi na kuonewa,ambayo imewasaidia,Sasa tukimpa nafasi mbwa hawa CDM watatusumbua sana.ktk kumsafisha.
Tumefunga ukurasa wa mzee wa Msituni..kwishaaaa
Umejaribu kuweka hisia zako hapa ila ukweli uta baki kuwa ukweli. Kama angekuwa ndugu yangu hange weza kujisahau na kujitoa ufahamu na kumtukana kiongozi mkubwa na aliye na heshima kwa Taifa kama Mh Warioba. Alidhani yeye ndiye ataishi kuliko Warioba na kusema at I amezeeka na anakaribia kufa. Sasa Mungu amewafundisha maccm kwamba hakuna ajuae ni lini atakufa. Hili ni somo kwa Maccm waropokaji.
Watu wana Uhuru wa kutoa hisia zao japo kama positive au negative. Mjifunze kwamba matendo mnayofanya yanawaudhi watu.
na hayo marungu ya polisi mnayowaambia watupasue vichwa vyetu kila siku jee? na je kina mwangosi wao si watu? na hao albino mnaowakatakata kila siku kwa shughuli za matambiko ya kufukuzia madaraka na mali mnafikiri wao ni magogo? kumbe na nanyi mnajua sisi sote ni binadamueeeee???!!! maana mnavotutenda ni kama mwayatenda manguruwe vile
Hivi ina kuaje mtu alikua jambazi,fisadi halafu mchungaji au paroko anasimama nakusema Mungu amemsamehe dhambi marehemu ?