TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

mleta uzi upo vzuri tumepoteza kura moja ya komba laki bado el ni rais wa awamu ya tano anayebisha malaya anayejiuza
 
muudumu leta chupa nyingine tafadhari......teh teh teh nteh nteh...mzee wa msituni karejea msituni
 
Kwa kutambua mchango wa hayati capt.Komba kwa Taifa na Afrika kwa jumla,ni vyema channel ya TBc ioneshe live

Shughuli zote za mazishi za msiba wa capt.Komba

Kwa mchango upi? ? Kuingia msituni. ...
 
Nakubaliana na ninyi kama kuna mtu amesahau wosia baba mzazi akhumbushwe basiiiiiii
 
Siasa chafu msibani hzifai ndugu kwani licha ya kuwa wote twaweza kufa lakini wafiwa waweza kuwa wafuasi wa upinzani sasa au baadae kama tukiwashawishi positively kujipambanua na CCM ya mabavu na kila namna ya ubaya. Usiuige ubaya wao ukatuletea sisi wastaarabu. Ukiweza omba radhi au huwezi basi kaa kimya kwani Mungu yu kazini asikukumbuke nawe bure.
Siasa chafu ni zipi ,mbona wewe unamhukumu wakati hayo ndo maoni yake?Je ww ulikuwa nafsini mwa capt kwa matendo na imani yake?Au wewe ni mkamilifu?
Before pointing a finger at someone make sure your hands are clean=Bob Marley and the wailers.

 
Hivi ina kuaje mtu alikua jambazi,fisadi halafu mchungaji au paroko anasimama nakusema Mungu amemsamehe dhambi zote marehem?
 
Nipe ufafanuzi mtani wangu aliwakera kiasi hiko umauti unasemwa fanya dua
 
LOWASA namkubali sana ila sasa naanza kumuacha,unajua sera ya CDM ni ufisadi na kuonewa,ambayo imewasaidia,Sasa tukimpa nafasi mbwa hawa CDM watatusumbua sana.ktk kumsafisha.
 
R.I.P dunia mapito ila cjui why hakujitungia wimbo
 
Mwaka huu wa uchaguzi, tunguri za CCM zitamaliza wengi.
 
Ovyo kabisa Komba hana faida kwa Taifa.watu wali kufa Nugwi TBC Inapiga tarabu.Komba wa kazi gani?
 
LOWASA namkubali sana ila sasa naanza kumuacha,unajua sera ya CDM ni ufisadi na kuonewa,ambayo imewasaidia,Sasa tukimpa nafasi mbwa hawa CDM watatusumbua sana.ktk kumsafisha.

"Mbwa" utagongwa meno nyuma na mbwa shauri yako.
 
Umejaribu kuweka hisia zako hapa ila ukweli uta baki kuwa ukweli. Kama angekuwa ndugu yangu hange weza kujisahau na kujitoa ufahamu na kumtukana kiongozi mkubwa na aliye na heshima kwa Taifa kama Mh Warioba. Alidhani yeye ndiye ataishi kuliko Warioba na kusema at I amezeeka na anakaribia kufa. Sasa Mungu amewafundisha maccm kwamba hakuna ajuae ni lini atakufa. Hili ni somo kwa Maccm waropokaji.
Watu wana Uhuru wa kutoa hisia zao japo kama positive au negative. Mjifunze kwamba matendo mnayofanya yanawaudhi watu.

Mimi sijaweka hisia wala sitawaliwi na hisia ndiyo maana nimekuwa politically neutral tangu utoto wangu, umeongelea habari za ndugu zako kama vile hawana kasoro kwamba Capt. Komba angekuwa ndugu yako hangeweza kujisahau na kujitoa ufahamu kwa kiasi kile cha kumtukana Jaji Warioba, simama na kuongelea habari zako usiongelee habari za ndugu zako maana ukweli wa ndugu zako unaujua wewe mwenyewe hapa unaongea tu kwa sababu sikufahamu(na pengine hata ID yako siyo realistic) na inawezekana ndugu zako wamejisahau sana kuliko! ila ukweli hauwezi kuusema, sijamtetea Capt. Komba kwa kauli yake dhidi ya Jaji Warioba ndiyo maana nikasema kila mtu ana mapungufu yake lakini pamoja na mapungufu yetu tusifikie mahali pakufurahia kifo cha mtu, mwenyewe unakiri kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa hisia zake either positively or negatively hivyo bado ukweli wa KILA MTU NA MTAZAMO WAKE UTABAKI PALEPALE! Na ulipomalizia hapo umeonyesha na kuni term mimi kama mCCM(mtazamo wako which is deadly wrong)! Mimi naongea hapa sina upande kisiasa nimezaliwa Karatu na kukulia Karatu na sasa hivi naandika hii comment nikiwa Karatu jimbo la upinzani nikikushukia nondo za ufisadi wa CHADEMA hapa Karatu kwenye Ardhi, Bodi ya maji, kiwanda cha ushirika cha maziwa nk utalia machozi, mimi sitaki kuwa mnafiki wala ku take side na kuona ufisadi wa upande ule na kufunika wa upande huu! Naongea as a politically non-aligned man mtafute mtu yeyote wa Karatu hata walioko humu kama yuko atakayepinga hayo niliyosema hapo juu, naongea facts, I'm not a politician!
 
na hayo marungu ya polisi mnayowaambia watupasue vichwa vyetu kila siku jee? na je kina mwangosi wao si watu? na hao albino mnaowakatakata kila siku kwa shughuli za matambiko ya kufukuzia madaraka na mali mnafikiri wao ni magogo? kumbe na nanyi mnajua sisi sote ni binadamueeeee???!!! maana mnavotutenda ni kama mwayatenda manguruwe vile

You got me wrong my brother! Polisi wanachofanya ni ukatili na unyama wa hali ya juu na Premier Pinda kuagiza wananchi tupigwe ni kauli inayokinzana na utawala wa sheria(ni kauli ambayo inaweza sikika kwenye nchi ambayo haina utawala wa sheria tu) and to set the record straight nilipambana against Pinda kwa kauli yake, Mauaji ya Albino yananisikitisha na kunihuzunisha kuliko! jaribu kupitia comments zangu kwenye threads zilizotoa habari za mauji ya Albino utajua ukweli, Tafuta comments zangu kuhusu mauaji ya Mwangosi huwa sikai upande wa madhalimu yanayomwaga damu ya watu wasio na hatia ili kulinda madaraka yao ambayo watayaacha na kurudi mavumbini(maana HAKIka wote tutakufa na Mungu atatuhukumu kwa matendo yetu bila kuangalia huyu alikuwa kiongozi au muongozwa)!, Hapo mwisho umeniweka kwenye kundi la watawala wa sasa which is absolutely wrong! I'm also a victim of on going brutality but not letting my condition of being oppressed affect my position of humanity na kufurahia kifo cha mtu
 
hamna jipya hapa pia. kifo kwa kiumbe hai yoyote. nani kakamilika kiumbe hai hapa duniani asie kosea ? komba kama kiumbe alimkosea mh. warioba. sasa yuko.mbele ya haki. SISI TULIOHAI.MDA HUU WAJIBU TUMUACHIE MUUMBA WAKE NDIE ATAEUHUKUMU. WW.NA MM WATARAJIWA WA KUZIMU. TUNAMUELEZA NANI ? AU TUNAHADHI GANI YA KUHUKUMU KIUMBE HAI ? AU MFU ?
 
Back
Top Bottom