TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Kumekuwa na kawaida ya kutokea matukio ya vifo vya wanasiasa kuelekea chaguzi mbalimbali nchini Tanzania. Uzi huu umetengwa mahsusi kuweka rekodi za matukio hayo kwa lengo la kufanya tathmini.

1. Mh. John Komba - Heart Attack - 29 Feb 2015

Leo ni tarehe 29 Feb 2015? Weka vizuri kumbukumbu yako.
 
siku zote huwa nasema kuna watu unaweza kuwaona ukadhani ni binadamu,wengine wamebaki kuwa kama misukule inayotembea mfano wake ni yeriko nyerere,huwezi shangilia kifo cha binadamu mwenzako hata kama ulikuwa humpendi,ni afadhali kukaa kimyaa kuliko kuandika ujinga then unajiita msomi,taahira wa mwituni

Hilo lako kwa lugha rahisi linaitwa unafiki, wewe utaongeaje kitu ambacho roho yako inapingana nacho? Kumbe pole yako inabidi tuihoji maana haieleweki kuwa umesema pole kuonesha usomi wako au umesema pole toka rohoni,
 
Kifo hakichagui CCM wala Chadema, hakuna mwenye uwezo wa kukwepa kifo. Wote tupo katika safari moja. Kila nafsi itaonja mauti.


Tunaposubiri hiyo siku ambayo hatuijui tuwe waadilifu/waaminifu kwa taifa hili na Mungu. Daima matendo na maneno yetu yadhihirishe haki na kweli kwa manufaa ya watanzania.

Enyi wanasiasa na wananchi wote kwa jumla mwaka huu nchi inapotakiwa kutekeleza uandikishaji wa wapiga kura, kura ya maamuzi kuhusu katiba mpya na uchaguzi mkuu tutende haki. Hakuna haja ya kufanya udanganyifu maana hata tukipata madaraka na utajiri tutakufa na kuviacha vyote hivyo. Ni afadhali ufe masikini kama Nyerere lakini ukakumbukwa kwa kutenda haki.

RIP Komba
 
Weka na wahasibu au kada nyingine ili tupate kujua kama kweli wanaokufa ni wanasiasa zaid kuelekea uchaguzi!!!!
 
Dah.! pumnzika salama mzee naona umeamua kuingia msituni mapema kama ulivyo sema
 
Hicho Ndicho Kikubwa Kwani Madeni Yalimzidi Mno Na Ilikuwa Ni Leo Ambapo Ule Uwanja Wake Mkubwa Uliopo Sehemu Nzuri Kibiashara Maeneo Ya Basihaya Upigwe MNADA Kisha Zifuatie Na Nyumba Zake Na Mali Zake Sasa Kwa Mtaji Huo Kuna Cha Kuishi Kweli? Jamaa Pesa Zake Zote Za Mikopo Kazitumia Vibaya Na Madada Zetu Na Mademu Zetu Na Najua Msanii Elizabeth Michael a.k.a LULU Atakuwa Ameumia Mno Kwani Ile Nyumba Kubwa Aishiyo Yeye Na Mama Yake Mbezi Kimara Marehemu Ndiyo Kasababisha Achilia Mbali Vinchechede Vingine. Huyu Jamaa Hakika Sitamsahau Pale Ambapo Alipomwita Rafiki Yangu Mmoja Maeneo Ya Kawe Na Kumwambia Ampe Shilingi Ngapi Ili Aachane Na Demu Wake Kisha Yeye ( Marehemu ) Amchukue......Hivyo Ni Baadhi Tu Ya Visa Vyake. Nipo Sasa Hapa Maeneo Karibu Kabisa Na Nyumbani Kwake Na Kuna NYOMI Ya VIP Na Sisi Watoto Wa Kitaa Cha Mbezi. Sasa Ni Wakati Wa Watoto Wake Kukatana Mapanga Kwa Kugombania Mali Za Urithi Ambazo Hata Hivyo Nyingi Zitapigwa Tu MNADA Hata Kama Karesti Ini Pisi!

Jamani Watanzania tunaishi katika utani ...Nadhani watani Za wangoniiiii ...Leo WATAKUA na mengi ya kutaniana ...
Wangoniiiii ni Kina Zuma ...kwa Hiyo he can do anything to win a woman ....so tusimlaumu please ...!!, ni Kama Umlaum MZARAMO ngomani ...

Kwa Kweli kwa namna alivyokitetea chama hasa kampeni Za Rais Kikwete ...Mkapa ..Mwinyi ..wabunge wengi ..chama kwa ujumla....walimkubali kwa mema yake ..ingetakiwa wamkubali na kwa madhaifu yake ........
Wewe fikiria anawaambia nini watoto wake .....pale ambapo Mali zote alizochuma zinapigwaaaa Mnada ...na wezake wanashindwa angalau kumsaidia watoto wake wasimlaumu.....
Inauma Sana Kama Mzazi Mali zinauZwa Watoto wamekuwa wakubwa ...wanakughasi kwa nini Mali Za familia zinauzwa ..na marafiki uliowasaidia wakitambua madhaifu yako ....wana kuacha kwa kuwa tu katoa msimamo tofauti
 
Hicho Ndicho Kikubwa Kwani Madeni Yalimzidi Mno Na Ilikuwa Ni Leo Ambapo Ule Uwanja Wake Mkubwa Uliopo Sehemu Nzuri Kibiashara Maeneo Ya Basihaya Upigwe MNADA Kisha Zifuatie Na Nyumba Zake Na Mali Zake Sasa Kwa Mtaji Huo Kuna Cha Kuishi Kweli? Jamaa Pesa Zake Zote Za Mikopo Kazitumia Vibaya Na Madada Zetu Na Mademu Zetu Na Najua Msanii Elizabeth Michael a.k.a LULU Atakuwa Ameumia Mno Kwani Ile Nyumba Kubwa Aishiyo Yeye Na Mama Yake Mbezi Kimara Marehemu Ndiyo Kasababisha Achilia Mbali Vinchechede Vingine. Huyu Jamaa Hakika Sitamsahau Pale Ambapo Alipomwita Rafiki Yangu Mmoja Maeneo Ya Kawe Na Kumwambia Ampe Shilingi Ngapi Ili Aachane Na Demu Wake Kisha Yeye ( Marehemu ) Amchukue......Hivyo Ni Baadhi Tu Ya Visa Vyake. Nipo Sasa Hapa Maeneo Karibu Kabisa Na Nyumbani Kwake Na Kuna NYOMI Ya VIP Na Sisi Watoto Wa Kitaa Cha Mbezi. Sasa Ni Wakati Wa Watoto Wake Kukatana Mapanga Kwa Kugombania Mali Za Urithi Ambazo Hata Hivyo Nyingi Zitapigwa Tu MNADA Hata Kama Karesti Ini Pisi!
Dah! nasomaga biblia mara chache sana labda nusu page kila baada ya miezi 7 ila kuna baadhi ya maneno huwa nayakumbuka kama hili hapa: "yaliyofichwa uvunguni ipo siku yataanikwa jamvini kwenye mataa ya ubungo" (naomba kukosolewa)......Komba(R.I...): "nikupe shilingi ngapi uniachie demu wako"
 
Mungu ailaze pema peponi roho ya John Komba. Nawaombea faraja wafiwa wote familia, ndugu na jamaa na wote ambao wameguswa na msiba huu. Amen.
 
Vijana wa CHADEMA jifunzeni kuwa kila mtu atakufa. Hata hao mnaowaona kama malaika lazima waonje mauti.

Vijana wa Chadema ....wanaojua hawawezi kumponda ....kwakuwa kwa Sasa familia yote yaKomba ni CHADEMA ...Komba peke yake Ndio alikuwa amebaki ccm ...lakini alimuunga mkono Lowassa ...kitu ambacho hakikuwafurahisha wenye makali ...waakaamua kumuacha afilisiwe
 
Back
Top Bottom