Bouncer
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 344
- 248
mwenzenu sijui nikoje... nikisikia msiba huwa nasikitika sana hata kwa nisie mjua. but kwa komba sijui kwa nini sisikii kuguswa kabisa na huu msiba.. yaani naona kawaida tu! dah tufanye yaliyo mema wakati wa uhai wetu bandugu ili tuache positive legacy tutakapo pumzika.
RIP Komba... but haitoki moyoni WHY!!??
RIP Komba... but haitoki moyoni WHY!!??