Yaaani wana mbwembwe hawa watu, ila ligi ikianza wakiona ni magarasa wanakimbilia kulaumu TFF na marefaMwaka jana kocha wa Yanga alietimuliwa ilikuwa kama hivi"kocha wa kuchukua mataji atua Yanga"
Ulimuona huyo babu yako wawa alivyoenda kutapika baada ya kukimbizwa na dogo Ayoub Lyanga?Dogo kwa ubo lake hilo akikutana na wawa si tutamuokota nje ya uwanja
Kweni dogo ni striker ?Mechi 87 goli 11
Kweni mchezaji mzuri awezi patikana timu ya kawaida?Level ya club bingwa Africa iyo team imepata mafanikio gan?? Mbona anaonekana kama sibomana mweupe
wawa yupi aliyekimbizwa na nchimbi akaishia kucheza utoto na tff wakaona aibu kumwadhibu babu, mbaya zaidi mmeleta kikongwe mwingine atakimbizwa hadi aseme umri wake sahihDogo kwa ubo lake hilo akikutana na wawa si tutamuokota nje ya uwanja
Nyie Utopolo kwa mijisifaView attachment 1547788
Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga
Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania
Carlinhos anatokea kwenye timu ya Interclub ya nchini Angola, ujio wake Yanga na wachezaji wengine waliosajiliwa msimu huu unawapa washabiki na wanachama wa Yanga imani kubwa kuwa msimu ujao utakuwa wa furaha kwao
Leta takwimu zake tuone kama ni mzuriKweni mchezaji mzuri awezi patikana timu ya kawaida?
Inaelekea Yanga ni timu pekee kulalamikia TFF na marefa...tehteh...upo wakati msemaji wa klabu Fulani nchini alikuwa anakwenda kwenye mikutano ya waandishi wa habari akiwa amebeba tv tena basi ya chogo kuwaonyesha waandishi wa habari alichodai ni uonevu wanaofanyiwa Simba na marefa..Yaaani wana mbwembwe hawa watu, ila ligi ikianza wakiona ni magarasa wanakimbilia kulaumu TFF na marefa
Nyie Utopolo kwa mijisifa
Hiyo club INTERCLUB ipo nafasi ya 8 kati ya 16, ikiwa na point 32 nyuma ya kinara Luanda yenye point 54.
Kwa hiyo acheni kujipa matumaini makubwa kupitiliza subirini uwanjani