kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Yikpe mwingine huyu ni suala la muda tuPicha la KutishaView attachment 1548089
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yikpe mwingine huyu ni suala la muda tuPicha la KutishaView attachment 1548089
Kumbe huna habari ooh, basi wenzio wameanzisha kituo cha kulelea wazee pale msimbaziwawa yupi aliyekimbizwa na nchimbi akaishia kucheza utoto na tff wakaona aibu kumwadhibu babu, mbaya zaidi mmeleta kikongwe mwingine atakimbizwa hadi aseme umri wake sahih
Huyu dogo yupo vizuri sana namjua. Ila tatizo lake hawezi kudumu na timu zaidi ya mwaka mmoja. Maana yake yanga wakimboa hata kesho anaishia. Ila ni bonge la mchezajiYikpe mwingine huyu ni suala la muda tu
Mbona anafanana na yule mcheza show wa Awilo LongombaView attachment 1547788
Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga
Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania
Carlinhos anatokea kwenye timu ya Interclub ya nchini Angola, ujio wake Yanga na wachezaji wengine waliosajiliwa msimu huu unawapa washabiki na wanachama wa Yanga imani kubwa kuwa msimu ujao utakuwa wa furaha kwao
Mchezaji anaangaliwa uwanjani kwenye mechi haya maswala ya takwimu kwa bongo bado sanaLeta takwimu zake tuone kama ni mzuri
Kulalamika ndiyo jadi yetu,mkae chonjo Mambo yakiwa ndivyo sivyo.Msije kulalama baadae kuwa Simba inanunua mechi!
Hao wachumba ndiyo msosi wa mnyama[emoji881][emoji881]
Aaaahh,Simba ni timu ya wahenga + wazee + kununua mechi +kubebwa na Tff,lakini mwishoni mwa msimu wahenga watuziba midomo kwa kuibuka top scores,Okwi + Boko - Kagere.Kushabikia Simba na Yanga ni Raha Sana ,kupigana vijembe,kukatishana tamaa,mchezaji mzuri kuitwa bomu,timu yangu pendwa kupambwa na media ,kulishana matango Poli ni Jambo la kawaida, viongozi kuwahadaaa mashabiki ni kawaida tu,kazi ni kwako shabiki kutumia akili yako ipasavyo kudadavua mbovu na mbichi.Kumbe huna habari ooh, basi wenzio wameanzisha kituo cha kulelea wazee pale msimbazi
Ni kweli huyo ni bonge la mchezaji,lakini yanga watujibu mambo yafuatayo:View attachment 1547788
Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga
Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania
Carlinhos anatokea kwenye timu ya Interclub ya nchini Angola, ujio wake Yanga na wachezaji wengine waliosajiliwa msimu huu unawapa washabiki na wanachama wa Yanga imani kubwa kuwa msimu ujao utakuwa wa furaha kwao
Hapo ngedele wamepigwaMchezaji anaangaliwa uwanjani kwenye mechi haya maswala ya takwimu kwa bongo bado sana
WamepigwaHapo ngedele wamepigwa
We ushawahi kumuona ?Wamepigwa
Ushawahi kumuona akicheza?
Ndo maana hasa ya utani wa jadi mkuu. Washabiki wengi hawajui hili, wanabaki kuchukiana tu badala ya kutanianaAaaahh,Simba ni timu ya wahenga + wazee + kununua mechi +kubebwa na Tff,lakini mwishoni mwa msimu wahenga watuziba midomo kwa kuibuka top scores,Okwi + Boko - Kagere.Kushabikia Simba na Yanga ni Raha Sana ,kupigana vijembe,kukatishana tamaa,mchezaji mzuri kuitwa bomu,timu yangu pendwa kupambwa na media ,kulishana matango Poli ni Jambo la kawaida, viongozi kuwahadaaa mashabiki ni kawaida tu,kazi ni kwako shabiki kutumia akili yako ipasavyo kudadavua mbovu na mbichi.
Nasubiri tarehe 30We ushawahi kumuona ?