Carlinhos, Kiungo fundi na bora kabisa kutoka Angola atua nchini kujiunga na Yanga

Carlinhos, Kiungo fundi na bora kabisa kutoka Angola atua nchini kujiunga na Yanga

Yanga ijiandae kwenda kuilaumu tena kuwa inaipendelea simba
 
Ni kweli huyo ni bonge la mchezaji,lakini yanga watujibu mambo yafuatayo:
1.je hao wachezaji wote wamesajiliwa kwa matakwa ya kocha yupi,maana mpaka sasa hawana kocha mkuu
2.lugha ni moja ya changamoto kubwa sana kwenye ufundishaji,.kakati wao ni upi?
3.yanga ni klabu ambayo haina fedha,huyo kocha na hao wachezaji nani atawalipa huko mbeleni?
4.kila kitu kinafanywa na gsm,je wana back up plan,in case gsm wakijitoa ghafla?
5.muundo mzima wa klabu ya yanga hauelewi kabisa,hatujui chain of comand ya yanga ikoje,sasa kwa hali hii, urugu ikitokea miongoni mwa viongozi,nani atamrekebisha mwenzie?
Fanya yako na timu yako,ya Yanga waachie wana Yanga.
 
Wale wazee wanaolelewa kituo cha msimbazi watatapishwa ugoro
 
View attachment 1547788

Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga

Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania

Carlinhos anatokea kwenye timu ya Interclub ya nchini Angola, ujio wake Yanga na wachezaji wengine waliosajiliwa msimu huu unawapa washabiki na wanachama wa Yanga imani kubwa kuwa msimu ujao utakuwa wa furaha kwao
Jamaa wa kulia hapo kwa hilo jicho ni kama nasema "Tumepigwa"
 
Carlinhos ni sawa na chama 434,chikwende 10987
 
Back
Top Bottom