Carrymastory kuwashambulia watu mtandaoni bila kuwa na ulinzi unahatarisha usalama wako

Haha mimi nadhani wanao wazuri, unapata wapi ujasiri wa kusema mtu mbaya wakati wa kwako akitemea hajulikani anakuja au anaenda?
Na wanajuaga wa kwao wabaya ila wanasema na wa wenzao ili wapate ahueni kwa kumiliki mwanamke asieeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…