Carrymastory kuwashambulia watu mtandaoni bila kuwa na ulinzi unahatarisha usalama wako

Carrymastory kuwashambulia watu mtandaoni bila kuwa na ulinzi unahatarisha usalama wako

...Beauty is in the Eyes of the Beholder....or at least, the Beer holder !![emoji16][emoji16]
 
Zamani alikuwa ananiuza pale Mwananyala kwa mama zakaria

Kazinang’ang’aniza kuwa kasafi
 
Ndo nani huyo???
Nenda IG tafuta tamthilia moja inaitwa Kimya milele huyo dada kaingiza kama changudoa ila akapendwa sana na Gentleman mmoja anaitwa Denis.
Jina la mwisho la Getrude limenitoka ukimuona yule ndivyo alivyo wangu Very beautiful women katimia kila idara kuanzia Risepsheni hadi unyayo guu guu kweli tako tako kweli sura sura kweli alafu hana kitambi. Kwa kifupi ni Getrude copy kabisa hadi urefu
 
Back
Top Bottom