themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Binti anatumia page zake vibaya sana ipo siku anaowachafua watamchoka then atakuja kuchezea makofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvutia ni kigezo cha kumiliki page ya umbea?Mbona havutii.????
Kibaya kishenziii hata kikisaula sidindi..[emoji57][emoji57][emoji57]
Hahahahahahahhahaahhah asubuhi yote hii tunachekeshana jamaniKuvutia ni kigezo cha kumiliki page ya umbea?
Sema hamnaga watu wana wanawake wabaya kama wanaopenda kuponda wanawake wa wenzao.JF Raha Sana.,...eti kabaya! Kama anafanana na hio picha kwangu mimi ni mrembo sanaaaa
Mi siwaelewagi hawa watu kutwa kusema na kunanga wenzao sijui wao wamekamilika, sura yenyewe utazani kasusiwa
Umesahau macho hatufananiJF Raha Sana.,...eti kabaya! Kama anafanana na hio picha kwangu mimi ni mrembo sanaaaa
Sura mbovu kichizi alafu kaipiga puti/plasta ya hatari...alafu meno sasa!jino moja refu moja fupi hayo ya mbele utadhani kambale!Mi siwaelewagi hawa watu kutwa kusema na kunanga wenzao sijui wao wamekamilika, sura yenyewe utazani kasusiwa
Haha mimi nadhani wanao wazuri, unapata wapi ujasiri wa kusema mtu mbaya wakati wa kwako akitemea hajulikani anakuja au anaenda?Sema hamnaga watu wana wanawake wabaya kama wanaopenda kuponda wanawake wa wenzao.
Na wanajuaga wa kwao wabaya ila wanasema na wa wenzao ili wapate ahueni kwa kumiliki mwanamke asieelewekaHaha mimi nadhani wanao wazuri, unapata wapi ujasiri wa kusema mtu mbaya wakati wa kwako akitemea hajulikani anakuja au anaenda?