Anasemaga ana kazi ila naona ndo hiyo ya InstagramBongo sasa hivi anamishe gani ndio hizi hizi za kutype majungu IG basi?
Aanze yy kwanza....ajifunze kuheshimu watu...soma vizuri kwanini watu wamemposti humu.... otherwise shut up....Daah muogope Mungu.
Afu we Mzigua wewe daaah!!Mi sio mzuri ila huwezi nikatalia nikikuvulia nguo kwanza hata kabla sijavua utanitamani. Sema mdada wa watu wala sio mbaya wa kiasi cha kusema mtu hadindishi akimvulia nguo
Haha basi nimeelewa kiutu uzimaGuess.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we mkorofi
Tatizo mdogo wangu na wewe upo nyuma nyuma kama kotiNdo nani tena huyo, ndo namuona leo
Afu we Mzigua wewe daaah!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo mdogo wangu na wewe upo nyuma nyuma kama koti
Au ndio ww nin?[emoji23][emoji23]Embu tumuone huyo wako anaekudindishaga akisaula kama kamzidi Carry
Labda kwa ndaniMbona havutii.????
Abeee
Sawa bossAanze yy kwanza....ajifunze kuheshimu watu...soma vizuri kwanini watu wamemposti humu.... otherwise shut up....
Huyu binti ana sura ya kishetani yaani kama Jezebeel..Binti anatumia page zake vibaya sana ipo siku anaowachafua watamchoka then atakuja kuchezea makofi
View attachment 1081441
Kuvutia ni kigezo cha kumiliki page ya umbea?
Labda kwa ndani
JF Raha Sana.,...eti kabaya! Kama anafanana na hio picha kwangu mimi ni mrembo sanaaaa
Mfaute pmEmbu tumuone huyo wako anaekudindishaga akisaula kama kamzidi Carry
Mzigua inaelekea umenona Sana mashallwahMi sio mzuri ila huwezi nikatalia nikikuvulia nguo kwanza hata kabla sijavua utanitamani. Sema mdada wa watu wala sio mbaya wa kiasi cha kusema mtu hadindishi akimvulia nguo
Aliwekwaga mabatini na hajakoma sema aliacha kutaja majina ya watu sasa hivi anatumia code. Yapo bado sema sio wengi wanafanya kama zamani