Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
ukiangalia Mhehe/ Mbena moja moja wapo pasua kichwa lakini ukiangalia kwa jicho la wastani / average wanawake wengi wahehe na wabena wanapoingia kwenye ndoa huwa ni loyal, ride or die, wavumilivu, humheshimu mwanaume kwa hiari, hawana tamaa ya mali, n.k.

Nina katabia kabovu sana ka kupenda kuchungulia magrupu ya wanawake, hata huko huwa naona wekiwasemwa hivyo japo wenzao huwaona ni ushamba katika dunia ya sasa, niliwahi kuiona comment "kumnyenyekea mwanaume nimeshindwa, nimemwachia rafiki yangu mnyalukolo yani hata mme wake akichelewa kurudi basi watakula watoto tu ila yeye hali" na kweli hata mimi nimeshuhudia.

Tukio la kwanza namjua alieacha kabisa kunywa bia alikuwa mnywaji wa bia tu wala si mlevi lakini kwajili ya mme wake aliacha, pia uheheni ni kawaida kukuta mwanaume kapata ulemavu ama kaoa na ulemavu lakini mwanamke bado anajishusha, yupo loyal, hana tamaa, n.k.
 
Ndio ndio !japo hawapendi ndugu was mume hasa mama mkwe!!!
Hapana aisee, kaka yangu nae kaoa huko, mambo yapo freshi tu.

Kwa ujumla wapo vizuri ila ukiangalia moja moja wapo wale pasua kichwa.

Lakini inategemeana na ndugu, kama anaona wana nia mbaya na mme wake basi ni ngumu kuelewana
 
Hapana aisee, kaka yangu nae kaoa huko, mambo yapo freshi tu.

Kwa ujumla wapo vizuri ila ukiangalia moja moja wapo wale pasua kichwa.

Lakini inategemeana na ndugu, kama anaona wana nia mbaya na mme wake basi ni ngumu kuelewana
sijui kuhusu wahehe lakini wabena nawapenda sana hawa watu. si ajitokeze mbena mmoja mrembo kistuli mwenye tela lake nimuoe
 
Back
Top Bottom