Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

ukiangalia Mhehe/ Mbena moja moja wapo pasua kichwa lakini ukiangalia kwa jicho la wastani / average wanawake wengi wahehe na wabena wanapoingia kwenye ndoa huwa ni loyal, ride or die, wavumilivu, humheshimu mwanaume kwa hiari, hawana tamaa ya mali, n.k.

Nina katabia kabovu sana ka kupenda kuchungulia magrupu ya wanawake, hata huko huwa naona wekiwasemwa hivyo japo wenzao huwaona ni ushamba katika dunia ya sasa, niliwahi kuiona comment "kumnyenyekea mwanaume nimeshindwa, nimemwachia rafiki yangu mnyalukolo yani hata mme wake akichelewa kurudi basi watakula watoto tu ila yeye hali" na kweli hata mimi nimeshuhudia.

Tukio la kwanza namjua alieacha kabisa kunywa bia alikuwa mnywaji wa bia tu wala si mlevi lakini kwajili ya mme wake aliacha, pia uheheni ni kawaida kukuta mwanaume kapata ulemavu ama kaoa na ulemavu lakini mwanamke bado anajishusha, yupo loyal, hana tamaa, n.k.
Kina segito dada zangu wapewe maua yao kwa kweli!
 
Utandawazi unaathiri maadili, saiz unakuta mtu kabila flan ila kakulia tamadun tofauti, japo kwa wastan ni kweli hao wahehe na wabena ni wake sana
 
ukiangalia Mhehe/ Mbena moja moja wapo pasua kichwa lakini ukiangalia kwa jicho la wastani / average wanawake wengi wahehe na wabena wanapoingia kwenye ndoa huwa ni loyal, ride or die, wavumilivu, humheshimu mwanaume kwa hiari, hawana tamaa ya mali, n.k.

Nina katabia kabovu sana ka kupenda kuchungulia magrupu ya wanawake, hata huko huwa naona wekiwasemwa hivyo japo wenzao huwaona ni ushamba katika dunia ya sasa, niliwahi kuiona comment "kumnyenyekea mwanaume nimeshindwa, nimemwachia rafiki yangu mnyalukolo yani hata mme wake akichelewa kurudi basi watakula watoto tu ila yeye hali" na kweli hata mimi nimeshuhudia.

Tukio la kwanza namjua alieacha kabisa kunywa bia alikuwa mnywaji wa bia tu wala si mlevi lakini kwajili ya mme wake aliacha, pia uheheni ni kawaida kukuta mwanaume kapata ulemavu ama kaoa na ulemavu lakini mwanamke bado anajishusha, yupo loyal, hana tamaa, n.k.
Cut the sh***t men wangekuwa hivyo ngwengwe isingekuwa high kiasi hicho tena ninazungumza Niko kikazi Kwa wabena uku ninayaona mengi sana.
 
Sasa watu wanaweza kuvumilia kero za mama mwenye mji...ashindwe kulea ndoa
Mabek 3 bora kabisa
 
Kuweka ndago (utajiri wa kuua hasa mtoto) ndo wako vizuri kwelii.
Lol
 
Cut the sh***t men wangekuwa hivyo ngwengwe isingekuwa high kiasi hicho tena ninazungumza Niko kikazi Kwa wabena uku ninayaona mengi sana.
Naomba takwimu za watu wanaojitokeza kupima njombe na iringa halafu tufananishe na mikoa mingine
 
Back
Top Bottom