Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Acha kunilisha maneno we jamaa.
Sijasema kama Iran ina nguvu kuliko USA embu acha uongo.
Nilichokisema Iran ni threat kwa Israel pale middle East.
Iran hiyo ilishaonesha upinzani toka 1979 ilipopindua serikali rafiki kwa USA.
1980 ikawekewa vikwazo vya kiuchumi.
Kama Iran isingewekewa vikwazo vya kiuchumi ingekua zaidi ya hapa ilipo.
Iran ni tishio kwa maslahi ya USA middle east.
EMbu soma hayo maelezo uelewe silaha za Iran zinamfanya nini USA huko Russia na Ukraine.
Raia wa Iran kukimbilia Ulaya na Marekani kutafuta maisha haiondoi Iran kuwa tishio kwa Israel na jamaa zake.View attachment 2931842View attachment 2931844
This is in the middle east what about the world ? How many missles are there in all US Military Bases in the middle East ? Do you know the U.S has 5 military bases in Saudia Arabia ? The largest U.S Military base in Middle East is in Qatar ?

Naona unaleta visingizio kama sio hivi kama sio vile, jamani mbona hatuoni nguvu ya waarabu. Waisrael wanauza real estate zitakazojengwa katika ardhi walizonyangwanywa wapalestina. Waarabu wapo wapi ?

Hakuna nchi itaweza kumfikia Marekani hata miaka 300 ipite maana Marekani haikumbatii ujinga. Marekani ukikaza matako unatoboa haijalishi dini, ngozi au nchi yako. Unaongelea Iran nchi ambayo ukiwa Sunni hata upambane vipi hauwezi kufanikiwa. Maana wao ni Shia.
 
Asante kwa kuniita Zuzu na Punguwani, Huo uchumi walionao waarabu kwa sasa ambao kwa madai yako ndio unawapa influence duniani kwa nini haujawasaidia katika kuwakomboa Wapalestina ? Mbona unajipinga unaposema waarabu wakiingia vitani uchumi wao utadorora ? Issue sio Assad kuondoka ukipigwa mtama ukaanguuka ukashindwa kusimama bado umeumia hata kama hauna kidonda. Ungesema Assad kasaidiwa na Iran kuijenga upya Syria ningekuona wa maana. Syiria mpaka leo ni Gofu na wananchi wake wamejazana ulaya na Marekani ambako nguvu na juhudi za mtu katika upambanaji unaheshimiwa bila kujali dini, rangi au Taifa.
Aisee kaka una kichwa kigumu sana.
Influence ya kiuchumi ni tofauti na influence ya kijeshi,jaribu kulielewa hilo.
Kwa muda wa miongo mingi waarabu walikua hawana ubavu wa hata kusaidiana kwasababu walikua na uchumi mbovu.
Muongo wa sasa toka 2010 UAE,Qatar na mataifa mengine yameinuka kiuchumi na kuonekana duniani.
Israel inasapotiwa na US,USA yupo kwake anapiganisha watu nje ya ardhi yake.
Leo hii arab league ikiingia vitani shughuli za kiuchumi zikisimama nani atawasapoti kifedha??
Suala la Palestina na Israel ni SUALA KUBWA SANA sio la kulitatua kama udhaniavyo wewe.
Ni suala ambalo lilikaribia kuleta vita MIDDLE EAST NZIMA elewa hilo.
Unachosha sana we jamaa mpaka nakaribia kuacha mjadala na wewe.
Kwahiyo unataka Arab league iingie vitani kwa pupa ipoteze miaka yote iliyojitahidi kujijenga ijitegemee kiuchumi??
NAKUSHAURI NENDA TAFUTA ARTICLES MTANDAONI USOME SIASA ZA MASHARIKI YA KATI HUWENDA ZITAKUSAIDIA NA UJUE KWANINI MZOZO WA PALESTINA NI MGUMU.
Syria itajengwa we kubomoka kwake haikuhusu.
UNAJUA KAMA SYRIA ASSAD ANGETOLEWA NA ANGEWEKWA AMERICAN PUPPET KUNGETOKEA NINI MIDDLE EAST??
Arab league imepoteza nguvu kwa USA kufanya regime change Misri kwa kumuua Mohammed Morsi na kumsapoti El sisi.
Inamaana Kama Assad angetoka mazima Syria ingekua nchi mwiba kwa waarabu pale middle east.
Hilo hilijui maana hujai fatilia.
 
Aisee kaka una kichwa kigumu sana.
Influence ya kiuchumi ni tofauti na influence ya kijeshi,jaribu kulielewa hilo.
Kwa muda wa miongo mingi waarabu walikua hawana ubavu wa hata kusaidiana kwasababu walikua na uchumi mbovu.
Muongo wa sasa toka 2010 UAE,Qatar na mataifa mengine yameinuka kiuchumi na kuonekana duniani.
Israel inasapotiwa na US,USA yupo kwake anapiganisha watu nje ya ardhi yake.
Leo hii arab league ikiingia vitani shughuli za kiuchumi zikisimama nani atawasapoti kifedha??
Suala la Palestina na Israel ni SUALA KUBWA SANA sio la kulitatua kama udhaniavyo wewe.
Ni suala ambalo lilikaribia kuleta vita MIDDLE EAST NZIMA elewa hilo.
Unachosha sana we jamaa mpaka nakaribia kuacha mjadala na wewe.
Kwahiyo unataka Arab league iingie vitani kwa pupa ipoteze miaka yote iliyojitahidi kujijenga ijitegemee kiuchumi??
NAKUSHAURI NENDA TAFUTA ARTICLES MTANDAONI USOME SIASA ZA MASHARIKI YA KATI HUWENDA ZITAKUSAIDIA NA UJUE KWANINI MZOZO WA PALESTINA NI MGUMU.
Syria itajengwa we kubomoka kwake haikuhusu.
UNAJUA KAMA SYRIA ASSAD ANGETOLEWA NA ANGEWEKWA AMERICAN PUPPET KUNGETOKEA NINI MIDDLE EAST??
Arab league imepoteza nguvu kwa USA kufanya regime change Misri kwa kumuua Mohammed Morsi na kumsapoti El sisi.
Inamaana Kama Assad angetoka mazima Syria ingekua nchi mwiba kwa waarabu pale middle east.
Hilo hilijui maana hujai fatilia.
Mara useme waarabu wana hela unakuja unasema tena wakiingia vitani watayumba kiuchumi. Naomba nikuulize Je marekani kuna hela anapewa ili amsaidie Ukraine na Israel katika vita.?Je huoni kauli yako inadhihirisha kuwa waarabu inabidi warudi wajipange upya ?

Unasema nataka Waarabu waingie vitani basi naomba nibadilishe swali "Waarabu wanamwogopa nani mpaka wanashindwa kuikomboa Palestina ?" Naomba unijibu hapo.
 
This is in the middle east what about the world ? How many missles are there in all US Military Bases in the middle East ? Do you know the U.S has 5 military bases in Saudia Arabia ? The largest Military base in Middle East is in Qatar ?

Hakuna nchi itaweza kumfikia Marekani hata miaka 300 ipite maana marekani haikumbatii ujinga. Marekani ukikaza matako unatoboa haijalishi dini, ngozi au nchi yako. Unaongelea Iran nchi ambayo ukiwa Sunni hata upambane vipi hauwezi kufanikiwa. Maana wao ni Shia.
Unahama hama au sio??
Sie tunazungumzia Iran kuwa theat middle east ukahamia duniani.
Umesoma hiyo article vizuri??
Inaeleza kuwa Russia anatumia silaha za IRAN huko Ukraine na ndizo zilizomfanya aendelee kutunisha misuli mpaka sasa huko Ukraine.
Utaelewa kwanini US aliweka vikwazo vya silaha kwa Iran.
Na sasa anakaribia kurutubisha silaha ya nuclear.
Suala la sunni au shia usilizingatie Iran wapo sunni na wanatoboa.
Au unataka nikupe mifano??
Ila Iran ni nchi yenye hali ngumu kiuchumi kwasababu ya vikwazo walivyoekewa toka 1980 vya kiuchumi.
Hizo kambi za USA na Bahrain zilikataa kutumika maana wanajua kabisa hakuna kombora wanaloweza kuzuia la Iran.
Iran ikiamua kutoa makombora yake ina uwezo wa kupiga hizo kambi za US Qatar,Bahrain na Sudia.
Pia Iran anapigana proxy war.
Ana makundi ya washika silaha mengi tuu.
Fuatilia mapigano ya 2019 ya Houthi kulipua visima vya mafuta vya Saudi arabia,walitumika houthi ila zilitumika silaha za IRAN.
 
Unasema nataka Waarabu waingie vitani basi naomba nibadilishe swali "Waarabu wanamwogopa nani mpaka wanashindwa kuikomboa Palestina ?" Naomba unijibu hapo.
Waarabu hawamuogopi mtu bali kihistoria mzozo wa Palestina na Israel ni mgumu.
Nakusihi nenda kafuatilie.
Pia ujue waarabu hawana back up wakiingia vitani na kuharibika kiuchumi.
Itizame Lebanon ilipopigana na Israel 2006 mpaka sasa ina makovu ya kiuchumi.
Pia utambue ukiigusa Israel vita itakua baina ya EU,NATO na wewe.
NATO na EU ni zaidi ya mataifa kumi.
Wapo wataotoa silaha na wapo wataotoa fedha.
Rejelea Ukraine,Ukraine haina shida ndio maana ina morale ya vita maana inasaidiwa kisilaha na kifedha na imeshaahidiwa kurekebishiwa nchi yake vita ikiisha.
Waarabu wana mtu gani wa kuwasapoti hivyo ilhali wapo wenyewe??
 
Unahama hama au sio??
Sie tunazungumzia Iran kuwa theat middle east ukahamia duniani.
Umesoma hiyo article vizuri??
Inaeleza kuwa Russia anatumia silaha za IRAN huko Ukraine na ndizo zilizomfanya aendelee kutunisha misuli mpaka sasa huko Ukraine.
Utaelewa kwanini US aliweka vikwazo vya silaha kwa Iran.
Na sasa anakaribia kurutubisha silaha ya nuclear.
Suala la sunni au shia usilizingatie Iran wapo sunni na wanatoboa.
Au unataka nikupe mifano??
Ila Iran ni nchi yenye hali ngumu kiuchumi kwasababu ya vikwazo walivyoekewa toka 1980 vya kiuchumi.
Hizo kambi za USA na Bahrain zilikataa kutumika maana wanajua kabisa hakuna kombora wanaloweza kuzuia la Iran.
Iran ikiamua kutoa makombora yake ina uwezo wa kupiga hizo kambi za US Qatar,Bahrain na Sudia.
Pia Iran anapigana proxy war.
Ana makundi ya washika silaha mengi tuu.
Fuatilia mapigano ya 2019 ya Houthi kulipua visima vya mafuta vya Saudi arabia,walitumika houthi ila zilitumika silaha za IRAN.
Unaleta sababu za nyuma za miaka ya 80 mimi umeona naongelea vita ya siku sita ? Mimi nimekwambia kuwa Marekani ina kambi zaidi ya nane Middle East. Tukichukua missiles katika kambi zote hizo utaweza kulinganisha na missiles za Iran ? Umeshakubali kuwa U.S.A yupo juu ya Iran leta mada nyingine. Kuhusu Israel na Palestina hata mdogo wa miaka sita anajua kuwa hakuna wa kumwekea paka kengele .
 
Unaleta sababu za nyuma za miaka ya 80 mimi umeona naobgelea vita ya siku sita ? Mimi nimekwambia kuwa Marekani ina kambi zaidi ya nane Middle East. Tukichukua missiles katika kambi zote hizo utaweza kulinganisha na missiles za Iran ? Umeshakubali kuwa U.S.A yupo juu ya Iran leta mada nyingine. Kuhusu Israel na Palestina hata mdogo wa miaka sita anajua kuwa hakuna wa kumwekea paka kengele .
HIyo imetumika kama reference kujua nguvu ya Iran.
2019 ni Miaka 80 nyumaa??
We jamaa unachekesha.
Iran sio rahisi kama udhaniavyo.
MWAKA HUU BAHRAIN,SAUDI ARABIA NA OMAN ZIMEKATAA KAMBI ZAO KUTUMIKA DHIDI YA HOUTHI YEMEN INAYOUNGWA MKONO NA IRAN.
Jiulize kwanini.
Hakuna mtu anaetaka nchi yake igeuke kuwa magofu hata siku moja kwa kushambuliwa na makombora ya Iran.
USA IKISEMA IINGIE VITA NA IRAN ITAPATA HASARA HAIKUWAHI KUPATA MAANA IRAN ANAZO ICBM ZINAZOWEZA TOKA IRAN MPAKA USA.
Kaa ukijua hilo.
Kuhusu Palestina Hizbollah Lebanon wapo kwaajili ya kumfunga paka kengele.
Fuatilia mzozo wa middle east kwa kina.
 
Waarabu hawamuogopi mtu bali kihistoria mzozo wa Palestina na Israel ni mgumu.
Nakusihi nenda kafuatilie.
Pia ujue waarabu hawana back up wakiingia vitani na kuharibika kiuchumi.
Itizame Lebanon ilipopigana na Israel 2006 mpaka sasa ina makovu ya kiuchumi.
Pia utambue ukiigusa Israel vita itakua baina ya EU,NATO na wewe.
NATO na EU ni zaidi ya mataifa kumi.
Wapo wataotoa silaha na wapo wataotoa fedha.
Rejelea Ukraine,Ukraine haina shida ndio maana ina morale ya vita maana inasaidiwa kisilaha na kifedha na imeshaahidiwa kurekebishiwa nchi yake vita ikiisha.
Waarabu wana mtu gani wa kuwasapoti hivyo ilhali wapo wenyewe??
Ndugu yangu mimi nimeufuatiliahuu mzozo kilivyo mpaka naongea hapa. Ndio maana nikakuambia WaIsrael sio kirahisi kuwapiga inabidi warudi wasome wainfiltrate dunia. "Kuanzia kuanza kwa mawazo ya kizayuni mpaka kuundwa kwa Israel" nimefuatilia historia vizuri.

Naona unazidi kujipinga umesema "Pia utambue ukiigusa Israel vita itakua baina ya EU,NATO na wewe. NATO na EU ni zaidi ya mataifa kumi." Hii inaonesha kuwa bila kuinfiltrate EU na NATO Israel haipigwi. Nchi za Ulaya ukiwa na uwezo hawakupingi ndugu yangu. Leo hii Ma C.E.O wa makampuni makubwa Marekani hawana asili ya Marekani mpaka waziri mkuu wa Uingereza hana asili ya Uingereza. Wapalestina wakomae na shule waingie katika Influence ya mataifa ya Ulaya na Marekani
 
HIyo imetumika kama reference kujua nguvu ya Iran.
2019 ni Miaka 80 nyumaa??
We jamaa unachekesha.
Iran sio rahisi kama udhaniavyo.
MWAKA HUU BAHRAIN,SAUDI ARABIA NA OMAN ZIMEKATAA KAMBI ZAO KUTUMIKA DHIDI YA HOUTHI YEMEN INAYOUNGWA MKONO NA IRAN.
Jiulize kwanini.
Hakuna mtu anaetaka nchi yake igeuke kuwa magofu hata siku moja kwa kushambuliwa na makombora ya Iran.
USA IKISEMA IINGIE VITA NA IRAN ITAPATA HASARA HAIKUWAHI KUPATA MAANA IRAN ANAZO ICBM ZINAZOWEZA TOKA IRAN MPAKA USA.
Kaa ukijua hilo.
Kuhusu Palestina Hizbollah Lebanon wapo kwaajili ya kumfunga paka kengele.
Fuatilia mzozo wa middle east kwa kina.
Hakuna wa kumsumbua Israel ushakubali kuwa Marekani yupo Juu ya Iran mbona mada ishaisha kitambo ndugu yangu.
 
Ndugu yangu mimi nimeufuatilia mpaka naongea hapa. Ndio maana nikakuambia WaIsrael sio kirahisi kuwapiga inabidi warudi wasome wainfiltrate dunia. Kuanzia kuanza kwa mawazo ya kizayuni mpaka kuundwa kwa Israel"" nimefuatilia historia vizuri.

Naona unazidi kujipinga umesema "Pia utambue ukiigusa Israel vita itakua baina ya EU,NATO na wewe. NATO na EU ni zaidi ya mataifa kumi." Hii inaonesha kuwa bila kuinfiltrate EU na NATO Israel haipigwi. Nchi za Ulaya ukiwa na uwezo hawakupingi ndugu yangu. Leo hii Ma C.E.O wa makamouni makubwa Marekani hawana asili ya Marekani mpaka waziri mkuu wa Uingereza hana asili ya Uingereza. Wapalestina wakomae na shule waingie katika Influence ya mataifa ya Ulaya na Marekani
Hapo ndipo unapokwama wewe.
Pia unaonesha hujui diplomasia inaendeshwajwe.
KUipiga Israel sio mpaka u infiltrate mataifa makubwa ACHA HIZI BANGI.
UNATAKIWA UJIPANGE KIUCHUMI NA KIJESHI KIASI CHA KUSHINDANA NA HAO WAKUBWA.
LEBANON ILIWEZA KUKOMBOA BINT JUBEIR 2006 KWA KUMPIGA ISRAEL JE LEBANON ILI INFILTRATE KATIKA MATAIFA MAKUBWA??
Unachoshindwa kuelewa wewe waarabu wanajijenga kukamata world influence na sasa wameanza kiuchumi kesha wataenda kujipanga kijeshi ambapo washachukua hatua ya kuikaribisha teknolojia ya silaha toka Iran.
Wewe huwezi elewa hili.
WANACHOTAKA WAO WAWE NA NGUVU ZA KUMTUNISHIA MISULI HUYO USA NA EU.
Kaa ufuatilie tena pia soma kwa kuelewa.
 
Hakuna wa kumsumbua Israel ushakubali kuwa Marekani yupo Juu ya Iran mbona mada ishaisha kitambo ndugu yangu.
Kama Marekani iko juu ya Iran mbona Iran haijashambuliwa mpaka sasa??
NIKULETEE USHAHIDI WA NCHI INAYOSUMBUA ISRAEL???
Screenshot_2024-03-11-20-47-28-63_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Hapo ndipo unapokwama wewe.
Pia unaonesha hujui diplomasia inaendeshwajwe.
KUipiga Israel sio mpaka u infiltrate mataifa makubwa ACHA HIZI BANGI.
UNATAKIWA UJIPANGE KIUCHUMI NA KIJESHI KIASI CHA KUSHINDANA NA HAO WAKUBWA.
LEBANON ILIWEZA KUKOMBOA BINT JUBEIR 2006 KWA KUMPIGA ISRAEL JE LEBANON ILI INFILTRATE KATIKA MATAIFA MAKUBWA??
Unachoshindwa kuelewa wewe waarabu wanajijenga kukamata world influence na sasa wameanza kiuchumi kesha wataenda kujipanga kijeshi ambapo washachukua hatua ya kuikaribisha teknolojia ya silaha toka Iran.
Wewe huwezi elewa hili.
WANACHOTAKA WAO WAWE NA NGUVU ZA KUMTUNISHIA MISULI HUYO USA NA EU.
Kaa ufuatilie tena pia soma kwa kuelewa.
Asante sana kwa kusema navuta Bhangi. Wayahudi hawataki nchi yeyote ya Uarabuni wao wanataka kwao makao makuu yao ya Jerusalem. Hivyo basi hizo nchi unazotaja hazina kipaumbele. Naomba uniletee mapigano ambayo iliwafanya wayahudi waikimbie Israel toka wayahudi wahamie israel mwaka 1948. Umesema waarabu wameanza kiuchumi halafu wanaenda kijeshi kwa wasomi wapi ? Unadhani jeshi ni watu ? Jeshi lingekuwa watu Urusi isingepata tabu ingemaliza vita ndani ya Mwezi Mmoja.
 
Kama Marekani iko juu ya Iran mbona Iran haijashambuliwa mpaka sasa??
NIKULETEE USHAHIDI WA NCHI INAYOSUMBUA ISRAEL???View attachment 2931893
Sasa unadhani hapo wamemkomoa myahudi myahudi mmoja akifa wao wanaua wangapi ? Tatizo ndugu zangu mnakazania vitu ambavyo havipo. Wayahudi ndio wanaongoza kwa karibia kila kitu kwa hii dunia. Mafanikio wanayopata Wapalestina ni kuwapeleka vijana wao wengi Jannah Firdaus. Halafu nimekuambia niletee nchi iliyoipiga Israel mpaka wayahudi wakalilia kuwa wakimbizi na kuanza kuondoka ?
 
Asante sana kwa kusema navuta Bhangi. Wayahudi hawataki nchi yeyote ya Uarabuni wao wanataka kwao makao makuu yao ya Jerusalem. Hivyo basi hizo nchi unazotaja hazina kipaumbele. Naomba uniletee mapigano ambayo iliwafanya wayahudi waikimbie Israel toka wayahudi wahamie israel mwaka 1948. Umesema waarabu wameanza kiuchumi halafu wanaenda kijeshi kwa wasomi wapi ? Unadhani jeshi ni watu ? Jeshi lingekuwa watu Urusi isingepata tabu ingemaliza vita ndani ya Mwezi Mmoja.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Israel inataka ardhi zaidi ya hiyo iliyopewa.
1947 walikatiwa ardhi 1948 wakaanza kufanya expansion tokea Palestina na kuimega Gaza wakaingia mpaka central Syria kama ulikua hujui.
Walimega na ardhi ya Lebanon na kuikalia toka 1960 mpaka 2000 walipotangaza kuondoka 2006 wakaondoshwa kinguvu.
Waliivamia ardhi ya Misri Sinai toka 1967 mpaka 1973 walipoondoshwa.
KAMA ISRAEL WANAITAKA JERUSALEM PEKEYAKE 1948 KWANINI WALIANZA EXPANSION OF TERRITORY???
Kakaangu soma kwa kuelewa,huko juu nilikueleza kuwa Waarabu ili kujiimarisha kijeshi WAMEIKARIBISHA TEKNOLOJIA YA SILAHA YA IRAN.
Soma taratibu kwa kuelewa.
UAE imeanza kuunda silaha ndogo na za kati ukitaka nakuletea mfano wa hizo silaha.
QAtar na Saudi Arabia wameanza ku recruit weapon technology toka Iran.
Sijasema kuwa wanajipanga kiwatu.
Aiseee!!
 
Sasa unadhani hapo wamemkomoa myahudi myahudi mmoja akifa waao wanaua wangapi ? Tatizo ndugu zangu mnakazania vitu ambavyo havipo. Watu ndio wanaongoza kwa karibia kila kitu kwa hii dunia. Mafanikio wanayopata wapalestina ni kuwapeleka vijana wao wengi Jannah Firdaus. Halafu nimekuambia niletee nchi iliyoipiga Israel mpaka wayahudi wakalilia kuwa wakimbizi na kuanza kuondoka ?
Mbona unahama hama kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Umetoka kusema hakuna nchi inayoisumbua Israel nimekupa ushahidi unahama unataka nchi ilioifanya Israel idai ukimbizi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Lebanon sio Palestina.
Lebanon wanabonda kaka wanabonda tena snaaa.
Kuna kambi ya North Israel ililipuliwa yoooteee sawa useme kambi ya Lugalo ilipuliwe,hakuna mjeda wa Israel alitoka hai.
 
Ni vi-Nchi masikini tu ndo vina hii dhana ya ukisoma ng'ambo ndo umeula. Sana sana vi-Nchi vya bara la Asia(dunia ya pili) na Afrika(dunia ya tatu/bara la giza).
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Israel inataka ardhi zaidi ya hiyo iliyopewa.
1947 walikatiwa ardhi 1948 wakaanza kufanya expansion tokea Palestina na kuimega Gaza wakaingia mpaka central Syria kama ulikua hujui.
Walimega na ardhi ya Lebanon na kuikalia toka 1960 mpaka 2000 walipotangaza kuondoka 2006 wakaondoshwa kinguvu.
Waliivamia ardhi ya Misri Sinai toka 1967 mpaka 1973 walipoondoshwa.
KAMA ISRAEL WANAITAKA JERUSALEM PEKEYAKE 1948 KWANINI WALIANZA EXPANSION OF TERRITORY???
Kakaangu soma kwa kuelewa,huko juu nilikueleza kuwa Waarabu ili kujiimarisha kijeshi WAMEIKARIBISHA TEKNOLOJIA YA SILAHA YA IRAN.
Soma taratibu kwa kuelewa.
UAE imeanza kuunda silaha ndogo na za kati ukitaka nakuletea mfano wa hizo silaha.
QAtar na Saudi Arabia wameanza ku recruit weapon technology toka Iran.
Sijasema kuwa wanajipanga kiwatu.
Aiseee!!
Sio haujaelewa Israel inataka ardhi yote ya Palestine na sio nchi nyingine hio ndio haki yao. Njoo na ushahidi kuwa Israel inataka nchi nyingine mbali na Palestine. Yaani Israel inataka kuwaondoa wapalestina katika Ramani ya dunia.
 
Mbona unahama hama kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Umetoka kusema hakuna nchi inayoisumbua Israel nimekupa ushahidi unahama unataka nchi ilioifanya Israel idai ukimbizi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Lebanon sio Palestina.
Lebanon wanabonda kaka wanabonda tena snaaa.
Kuna kambi ya North Israel ililipuliwa yoooteee sawa useme kambi ya Lugalo ilipuliwe,hakuna mjeda wa Israel alitoka hai.
Haujanijibu swali langu, sijabadilisha swali nakuuliza kwa bold letters

Nimekuambia leta nchi ambayo imeisumbua Israel mpaka wayahudi wakaomba hifadhi katika nchi zingine kama wakimbizi toka Israel ilipoweka himaya Palestina mwaka 1948 ?
 
Back
Top Bottom