Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Watu wanawatetea waarabu kisa tu ni wa dini yao huu ni upuuzi eti ni matajiri ndio maana hawahitaji elimu vipi na wa yemen mbona choka mbaya na hata vita kama vya Iraq tuliona mpaka nyumba za udongo.Utumwa wa kutawaliwa na mbumbumbu mbaya sana.
 
Israeli lawyer, Nofer Bar, said that among those leaving were Israelis who survived the attacks of 7 October and who were no longer able to imagine living in Israel.

While many young people, he explained, saw asylum in Portugal as an opportunity to work and live in Europe later.

Portugal, he added, may change the law at any time and is no longer accepting asylum requests, instead refugees must wait for an interview date to finally decide on their status.

Wewe endelea kukataa tu😂😂
UNHCR inatambua wakimbizi kutoka Eritrea amabao walikuwa Israel na sio wengineo. Unajikanyaga mwenyewe data hizi hapa. Mtu anaweza kuishi portugal BilaVisa unasema Mkimbizi are you serious ?
 
Watu wanawatetea waarabu kisa tu ni wa dini yao huu ni upuuzi eti ni matajiri ndio maana hawahitaji elimu vipi na wa yemen mbona choka mbaya na hata vita kama vya Iraq tuliona mpaka nyumba za udongo.Utumwa wa kutawaliwa na mbumbumbu mbaya sana.
Kinachoniuma nilitembea India na Pakistani yaani nilisikitika sana nchi yangu inavyowatukuza hawa watu. Usione wahindi wanakimbilia Tanzania huko kwao wanatreatiwa kama wanyama. Hata ukiangalia kwa nini mishahara na mazingira ya kazi ya Azam na Metl ni tofauti na TBL na SBL haya tuseme TBL kuna mkono wa mzungu vipi kuhusu Serengeti Breweries. Mambo ni mengi sana ambao watanzania hatujui. Unakuta muhindi ana viwanda pugu road hakuna anachomiliki cha gharama zaidi ya gari analolitembelea. TRA wakimsumbua anawaambia kuwa hana hata nyumba amepanga Upanga. Hapo kwa papo huko kwao India ana mahekalu utadhani anafanya biashara Marekani. Halafu tunakazana kuulizana dola zipo wapi. Mo mwenyewe ameshahamia U.A.E. Aisee Tanzania bado sana tumekazana na hisia badala ya ukweli.
 
Naona unatafuta mlango wa kutokea unaniletea hizo data zako za nini hoja hapa umesema ulitewe wakimbizi wa Isaeel unaletewa unaamisha magoli 🤣

Soma tena nimeleta kiswahili.

Idadi ya Waisraeli wamehamia Ureno kama "wakimbizi" baada ya Lisbon kuwapa Waisraeli "rahisi na rahisi" taratibu za uhamiaji ambazo zinaweza kukamilika kwa chini ya saa 24.

Idhaa ya Kiebrania 12 ilisema kwamba Muisraeli wote anahitaji kuomba hifadhi nchini Ureno ni pasipoti halali, ili kutoa visa ya "mkimbizi" ambayo inaruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo.

Wakimbizi hao wa Israel nchini Ureno pia wataweza kupata usaidizi wa kifedha kutoka kwa serikali, jambo ambalo wengi wao wamekubali, kwa mujibu wa chanzo hicho.

Yaron, ambaye alikimbilia Ureno na anaishi Lisbon, alisema alienda kwa ofisi ya uhamiaji, na walipojua kwamba alikuwa kutoka Israeli, aliweza kupata visa ya "mkimbizi" ndani ya saa chache. Visa lazima iwe upya kila baada ya miezi miwili.

Kulingana na idhaa hiyo, kabla ya vita, hakuna Mwisraeli aliyetafuta hadhi ya ukimbizi nchini Ureno, lakini hali ilibadilika baada ya tarehe 7 Oktoba.

Link hii hapa👇🏽
 
Naona unatafuta mlango wa kutokea unaniletea hizo data zako za nini hoja hapa umesema ulitewe wakimbizi wa Isaeel unaletewa unaamisha magoli 🤣

Soma tena nimeleta kiswahili.

Idadi ya Waisraeli wamehamia Ureno kama "wakimbizi" baada ya Lisbon kuwapa Waisraeli "rahisi na rahisi" taratibu za uhamiaji ambazo zinaweza kukamilika kwa chini ya saa 24.

Idhaa ya Kiebrania 12 ilisema kwamba Muisraeli wote anahitaji kuomba hifadhi nchini Ureno ni pasipoti halali, ili kutoa visa ya "mkimbizi" ambayo inaruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo.

Wakimbizi hao wa Israel nchini Ureno pia wataweza kupata usaidizi wa kifedha kutoka kwa serikali, jambo ambalo wengi wao wamekubali, kwa mujibu wa chanzo hicho.

Yaron, ambaye alikimbilia Ureno na anaishi Lisbon, alisema alienda kwa ofisi ya uhamiaji, na walipojua kwamba alikuwa kutoka Israeli, aliweza kupata visa ya "mkimbizi" ndani ya saa chache. Visa lazima iwe upya kila baada ya miezi miwili.

Kulingana na idhaa hiyo, kabla ya vita, hakuna Mwisraeli aliyetafuta hadhi ya ukimbizi nchini Ureno, lakini hali ilibadilika baada ya tarehe 7 Oktoba.

Link hii hapa👇🏽
Hizi ni nchi ambazo myahudi anweza kuenda bila visa nimeshazileta na Portugal ipo huoni kama hizo data ulizoleta ni propaganda ?
1710194176507.png

1710194192177.png

Leta Info nyingine acha usanii wa kulazimisha kilicho katika ulimwengu wa kusadikika kuwa ukweli. Kama haujui Portugal ipo wapi kwenye Ramani niulize nikuonyeshe.
 
Hizi ni nchi ambazo myahudi anweza kuenda bila visa nimeshazileta na Portugal ipo huoni kama hizo data ulizoleta ni propaganda ?
View attachment 2932227
View attachment 2932228
Leta Info nyingine acha usanii wa kulazimisha kilicho katika ulimwengu wa kusadikika kuwa ukweli. Kama haujui Portugan ipo wapi kwenye Ramani niulize nikuonyeshe.
Hvi huko Ujerumani unasoma ujinga?
Idhaa ya Kiebrania 12 ilisema kwamba Muisraeli wote anahitaji kuomba hifadhi nchini Ureno ni pasipoti halali, ili kutoa visa ya "mkimbizi" ambayo inaruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hoja siyo Muisrael anaenda wapi bila viza nani kakuuliza? Waisrarl wanaenda sehemu kibao bila viza kwa hiyo kama wanaingia bila Ureno wakifika Ureno hawafuati taratibu zozote?🤣
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
A number of Israelis have moved to Portugal as "refugees" after Lisbon granted Israelis "simple and easy" immigration procedures that can be completed in less than 24 hours.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hawa Waisrel baada yakuingiq Ureno wamepewa Viza yq Ukimbizi.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hebrew Channel 12 said that all Israelis need to apply for asylum in Portugal is a valid passport, in order to be issued a "refugee" visa that allows them to live and work in the country.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Tanzania wakati wa Mkapa tulikuwa tunaingia UK bila Viza lakini wakifika UK wanaomba ukimbizi wanapewa Viza ya Ukimbizi.
 
Hvi huko Ujerumani unasoma ujinga?

Idhaa ya Kiebrania 12 ilisema kwamba Muisraeli wote anahitaji kuomba hifadhi nchini Ureno ni pasipoti halali, ili kutoa visa ya "mkimbizi" ambayo inaruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo.

Hoja siyo Muisrael anaenda wapi bila viza nani kakuuliza? Waisrarl wanaenda sehemu kibao bila vizq kwa hiyo kama wanaingia bila Ureno wakifika Ureno hawafuati taratibu zozote?🤣

A number of Israelis have moved to Portugal as "refugees" after Lisbon granted Israelis "simple and easy" immigration procedures that can be completed in less than 24 hours.

Hawa Waisrel baada yakuingiq Ureno wamepewa Viza yq Ukimbizi.

Hebrew Channel 12 said that all Israelis need to apply for asylum in Portugal is a valid passport, in order to be issued a "refugee" visa that allows them to live and work in the country.
Hizo data umetoa kwenye website ya habari. Angalia nchi ambazo zinaruhusiwa kuingia Portugal bila Visa nimeshakutumia data pinga hio data. Israel inaruhusiwa kuingia na kukaa Ureno bila Visa ungejua hao unaowatetea wanafanya nini huku Ulaya baada ya kupewa hifadhi. Sio kila unachokiona kwenye internet ni ukweli inakuwaje uombe hifadhi katika nchi ambayo unaweza kwenda bila visa ? Usitetee ujinga kwa sababu ya Imani ukigundua hizi dini tumeletewa utafika mbali sana.
 
Hapana wamesema kuwa wayahudi ni wakomunisti sio ? Sasa wakomunisti wanashikaje uchumi wa dunia ? Hilo ndioswali langu. Wanajeshi wa SS walitakuwa ku-prove wao kuwa ni Aryan Race kusema kuwa kuna wanajeshi wa SS ambao walikuwa wayahudi huoni uongo. Sijui kuhusu Urusi mimi naongelea kuhusu Ujerumani. Baadhi ya wayahudi walifanikiwa kuwa wanajeshi wa kawaida lakini sio kufikia ngazi za juu za NSDAP(NAZI PARTY).
Hii hatari , hivi hii clip ndogo imekushinda kuielewa hivi hiyo elimu mnayosoma huko ni elimu gani ??

Tulia tena uisome bila jaziba
 
Hizo data umetoa kwenye website ya habari. Angalia nchi ambazo zinaruhusiwa kuingia Portugal bila Visa nimeshakutumia data pinga hio data. Israel inaruhusiwa kuingia na kukaa Ureno bila Visa ungejua hao unaowatetea wanafanya nini huku Ulaya baada ya kupewa hifadhi. Sio kila unachokiona kwenye internet ni ukweli inakuwaje uombe hifadhi katika nchi ambayo unaweza kwenda bila visa ? Usitetee ujinga kwa sababu ya Imani ukigundua hizi dini tumeletewa utafika mbali sana.
Nilishamwona myahudi kutoka Israel anaomba hifadhi hizo nchi za ulaya na akakakataliwa wakamweka ndani wiki moja wakamsafirisha , wala sijahadithiwa nilimwona mwenyewe live
 
Hizo data umetoa kwenye website ya habari. Angalia nchi ambazo zinaruhusiwa kuingia Portugal bila Visa nimeshakutumia data pinga hio data. Isr
ael inaruhusiwa kuingia na kukaa Ureno bila Visa ungejua hao unaowatetea wanafanya nini huku Ulaya baada ya kupewa hifadhi. Sio kila unachokiona kwenye internet ni ukweli inakuwaje uombe hifadhi katika nchi ambayo unaweza kwenda bila visa ? Usitetee ujinga kwa sababu ya Imani ukigundua hizi dini tumeletewa utafika mbali sana.
Vitu vingi ufahamu napata wasiwasi na ufahamu wako mambo ya kusafiri. Kwa hiyo kama nchi unayoweza kungia bila Viza huwezi kuomba ukimbizi? Soma sheria za Ureno kwa raia wa Israel.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
As an Israeli passport holder, you are not required to obtain a Portuguese visa to visit Portugal for 90 days. But if you wish to stay in the country for more than 90 days, you must obtain an appropriate visa that meets your purpose for entering Portugal
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Nakupa darasa….
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kama mmiliki wa pasipoti ya Israeli, huhitajiki kupata visa ya Ureno kutembelea Ureno kwa siku 90. Lakini ikiwa ungependa kukaa nchini kwa zaidi ya siku 90, lazima upate visa inayofaa ambayo inakidhi madhumuni yako ya kuingia Ureno.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Pitia hii link…

Halafu mambo ya dini yamekujaje tena mimi sitetei nakufahamisha wewe hujui lakini bado unabisha kwa faida ya JF weka ushaidi kuwa
Israel inaruhusiwa kuingia na kukaa Ureno bila Visa.
 
Watu wanawatetea waarabu kisa tu ni wa dini yao huu ni upuuzi eti ni matajiri ndio maana hawahitaji elimu vipi na wa yemen mbona choka mbaya na hata vita kama vya Iraq tuliona mpaka nyumba za udongo.Utumwa wa kutawaliwa na mbumbumbu mbaya sana.
Kwa hiyo nyinyi mna elimu kuwazidi waarabu?
 
Nilishamwona myahudi kutoka Israel anaomba hifadhi hizo nchi za ulaya na akakakataliwa wakamweka ndani wiki moja wakamsafirisha , wala sijahadithiwa nilimwona mwenyewe live
Unachokisema hakina mantiki maana wayahudi wapo wengi sana huku. Na wameshikilia biashara na vyeo vingi vikubwa vya serikali. Ukikaa huku utajua nguvu yao ipo wapi. Watu wapo Israel toka mwaka 1948 waarabu wameshindwa kuwafukuza mpaka leo halafu unakuja kuwaita wajinga. Israel ni mpango uliosukwa kiakili. Kila mara waIsraeli wakichokozwa majibu ni mara mia ya wanachokifanya Wapalestina.
 
Ebu tupe tafsiri ya neno ukimbizi.
UNHCR ndio shirika la wakimbizi duniani nilikuambia uje na data za wakimbizi ambao ni wayahudi kutoka UNHCR. NImekuletea Data za UNHCR unakuja kuuliza kuhusu maana ya ukimbizi are you serious ? Unachokitetea hakipo unalazimisha unachokitaka kiwe ukweli lakini unajua kubwa sio ukweli. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya.
 
Wanapuuza elimu?
Uwezo mdogo wa darasani?
Hawataki elimu dunia ?

Sio kwamba waarabu hawapo kabisa hivyo vyuo lakini idadi yao ni ndogo

Mfano mdogo ni idadi ya mataifa yanayoongoza kwa wahitimu kwa mwaka jana 2022/23 chuo cha Havard, hii ni kutoka moja kwa moja kwenye tovuti ya Havard

Havard Alumni

View attachment 2929507
Ndivyo mnavyojidanganya!?
Hamuna exposure kabbisa.
Nioneshe chuo Tz ambacho kina world score kiasi kupata world rank kama hivyo vya Saudi Arabia.
Nchi za kiarabu kila mji una una University yake .
 
Kwa hiyo nyinyi mna elimu kuwazidi waarabu?
Mwarabu na Mhindi hana elimu na ujuzi kuliko mtanzania anayejituma. Nimekupa mfano Tanzania ukitoa mashirika ya Umma makampuni yenye mazingira mazuri ya kazi ni ambayo yana affiliate na wazungu. Ukianza Twiga Cement,Vodacom,TBL, Unilever n.k.Katika makampuni ya simu Vodacom ana mazingira mazuri ya kazi kuliko wenzake fuatilia affiliate za wenzake. Nenda Azam na Metl uangalie mazingira ya kazi na mishahara ndio utajua nani ana utu ?Usione wafu wanafanikiwa na kuishikilia dunia ukadhani wapo hapo kwa sababu ya ubaguzi. Kuna watu walikuwa kama wewe walipoenda kuishi Uarabuni hawakuamini walichokiona na treatment waliyopata. Hivi vitu havisemwi kwa sababu ni taboo. Mimi ninachosema kwa sababu nimeshuhudia kwa macho yangu.
 
Vitu vingi ufahamu napata wasiwasi na ufahamu wako mambo ya kusafiri. Kwa hiyo kama nchi unayoweza kungia bila Viza huwezi kuomba ukimbizi? Soma sheria za Ureno kwa raia wa Israel.

As an Israeli passport holder, you are not required to obtain a Portuguese visa to visit Portugal for 90 days. But if you wish to stay in the country for more than 90 days, you must obtain an appropriate visa that meets your purpose for entering Portugal

Nakupa darasa….

Kama mmiliki wa pasipoti ya Israeli, huhitajiki kupata visa ya Ureno kutembelea Ureno kwa siku 90. Lakini ikiwa ungependa kukaa nchini kwa zaidi ya siku 90, lazima upate visa inayofaa ambayo inakidhi madhumuni yako ya kuingia Ureno.

Pitia hii link…

Halafu mambo ya dini yamekujaje tena mimi sitetei nakufahamisha wewe hujui lakini bado unabisha kwa faida ya JF weka ushaidi kuwa
Israel inaruhusiwa kuingia na kukaa Ureno bila Visa.
Naomba nikuulize data thabiti ya wakimbizi zinatoka wapi ? Nimekuambia leta data ya wakimbizi wayahudi. Mkimbizi anaomba hifadhi. Unaleta info kwenye website ya kawaida kuhusu ukimbizi. Ukibanwa unaenda ku-google data inayoendana na mawazo yako unaleta hapa. Yaani muisrael unasema amepigwa mpaka anaomba hifadhi. Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kuna vitu unavipost havina mantiki.
 
UNHCR ndio shirika la wakimbizi duniani nilikuambia uje na data za wakimbizi ambao ni wayahudi kutoka UNHCR. NImekuletea Data za UNHCR unakuja kuuliza kuhusu maana ya ukimbizi are you serious ? Unachokitetea hakipo unalazimisha unachokitaka kiwe ukweli lakini unajua kubwa sio ukweli. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya.
Wakimbizi wa Kiyahudi kutoka Israeli wanapata faraja na urafiki katika kambi ya mashambani huko Hungaria

Soma na hii upate darsa.

 
Naomba nikuulize data thabiti ya wakimbizi zinatoka wapi ? Nimekuambia leta data ya wakimbizi wayahudi. Mkimbizi anaomba hifadhi. Unaleta info kwenye website ya kawaida kuhusu ukimbizi. Ukibanwa unaenda ku-google data inayoendana na mawazo yako unaleta hapa. Yaani muisrael unasema amepigwa mpaka anaomba hifadhi. Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kuna vitu unavipost havina mantiki.
Bofya hapa…👇🏽
 
Wakimbizi wa Kiyahudi kutoka Israeli wanapata faraja na urafiki katika kambi ya mashambani huko Hungaria

Soma na hii upate darsa.

Unaleta propaganda ndugu yangu. Nimekuambia leta ushahidi kuhusu wakimbizi wayahudi unaleta taarifa ya habari. Leta ushahidi kuhusu wayahudi wakimbizi. Sio taarifa za habari. Unatetea kitu ambacho hakipo.Nimeshakuletea data za UNHCR. Toka mwaka 1948 Israel haijawahi kupigwa mpaka ikapata wakimbizi. Hizo link ulizotuma unaweza uka zi-cite ? Nimekuambia uje na data za wakimbizi unaleta taarifa za kujifariji. Acha kujidanganya AMKA ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom