Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia

Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia

View attachment 2816118

Cassie amefungua kesi ya dola milioni 30 dhidi ya Diddy akimtuhumu kwa ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia. Mwanadada huyo anasema muda mfupi baada ya kukutana na Diddy mwaka 2005, akiwa na umri wa miaka 19, alianza tabia ya kumdhibiti na kumnyanyasa ikiwa ni pamoja na kumlazimisha kutumia dawa za kulevya, kumpiga na kumlazimisha kulala na malaya wa kiume huku akirekodi filamu hizo.

Kesi hiyo imeibua hisia za watu wengi mtandaoni wakidai kuwa inaweza kuibua watu wengi waliofanyiwa vitendo kama hivyo na Diddy na kudai kuwa inaweza kuwa ndio mwisho wa Diddy.

Aisee la kumuua 2pac limeishia wapi sijui??
 
Ukishamshtaki mtu hutoichagulia mahakama adhabu na kama kosa ni jinai sio tu madai.

Maana yake Cassie amedhamiria Diddy aende korokoroni. Poor him ana watoto wadogo bado.

Hata hivyo, hawa wanawake wajifunze kuwa watu wa kwenye hii industry ya entertainment kwa ujumla most of them ni Psychos. Kuna vitu huwezi fanya ukiwa sober, lazima kuwe na busta fulani fulani ili mambo yaende. Ni bahati mbaya zaidi kwa weusi kulingana na historia zao za makuzi, mazingira,elimu etc.

They could have known it better. Kama ushahidi utapatikan mbona Watafungwa sana.
Diddy asipoangalia yatakuja kumkuta yaliyomkuta R Kelly. Huko mtandaoni watu wameanza kufukua makaburi.
Story zinadai kuwa wakati Usher mdogo eti eti lakini alimnyanyasa kingono. Maana mama yake usher alimkabidhi usher kwa diddy usher akiwa na umri wa miaka 15 awe ana mentor. So dogo wa miaka 15 alikuwa akiishi na diddy akihang na akina big smalls.
Nmeona comment za mdada fulani shadesroom akidai kuwa alikuwa akifanya kazi kama receptionist kwenye studio yake anasema yule jamaa aliyokuwa akiyafanya na kuwafanyia vijana wadogo ni makubwa mno akiwemo madada kama fauth evans.
Anasema eti atatengeneza audio kuyaeleza mengi akisema jamaa alikuwa mtu mbaya sana.
 
Maana mama yake usher alimkabidhi usher kwa diddy usher akiwa na umri wa miaka 15 awe ana mentor. So dogo wa miaka 15 alikuwa akiishi na diddy akihang na akina big smalls.
Usher alikuwa mzembe tu kama alikuwa anafanyiwa mambo ya ajabu maana hawajapishana sana umri na diddy
 
Diddy alikuwa na miaka 24 usher miaka 15 na tayari diddy ana ela anamiliki record label ujana na pesa vinamchanganya
Maana ulivyosema dogo utadhani alikabidhiwa kwa diddy mwenye miaka 60 kumbe wote walikuwa sawa tu
 
Hawa wanawake wakijua una pesa, uwe makini sana, unaweza fanyiwa mtego ukaingia 18 ukafilisiwa na kufungwa, tena hizi kesi za unyanyasaji kwa nchi kama US zina nguvu sana.

Kapuuzi tu, sasa umetendewa 2005 miaka yote hio upo kimya si unafiki huo.
 
Maana ulivyosema dogo utadhani alikabidhiwa kwa diddy mwenye miaka 60 kumbe wote walikuwa sawa tu
Miaka 15 ni minor 24 ni mtu mzima... Ndio maana mama uake baadaye alisema kati ya vitu anavyovijutia ni kumkabidhi mtoto wa miaka 15 alelewe na mtu mwingne.
Baadaye alimchukua. Kisheria usher alikiwa mtotp ana roll na wala ganja na bang na madem wamejazana mle
 
Wana hakikisha Hawa ma black wenye Hela wote wamepotea yamemkuta ya Robert Kelly wataibuka msululu wa wasichana kumtuhumu mwisho wake atapigwa mvua za mawe kama Kelly
 
Huyu Cassie si ana bwana na kazaa nae watoto Sasa anataka Nini?au ndo hajamove on!!!
 
Back
Top Bottom