Exactly, kwa Sasa Mbowe Wala sio mzuri tena.Kubadili uongozi baada ya mtu kukaa wa kipindi fulani ni muhimu sana, hata kama ni mzuri kiasi gani. Kuna faida kuliko hasara.
Kura zitaongeaBado ni sahihi kwa sasa Mbowe kuwa mwenyekiti na Lissu kuwa makamu mwenyekiti.
Hali hiyo hata uitishe uchaguzi leo wana Chadema ambao ni watu wanaojielewa vizuri sana watakudhibitishia.
Tatizo la hoja hizi za kiduanzi ni kauli kali zilizokosa majibu wanazotoa bila woga.
Hivi kuna kiongozi wa chama cha siasa mwingine nchi hii anaweza kutamka haya hadharani?
Tatizo lako unatumia ubabe. Huna polite language. Hivi hujui hata kupata opinion ya mtu kuhusu jambo fulani inabidi uongee politely?Pigakura Wacha maneno mengi
Kwani pesa za mama abduli zimeisha?Chadema mmeshapata hela za kuendesha chama au bado mnapiga miayo
Kura bila kampeni? Leta sera zao.Pigakura
Makamu mwenyekiti taifa yule matundu alisema chama kipo hohehae, dhoofu il haliKwani pesa za mama abduli zimeisha?
Kamuite mumeo mpige naye kura.Kama Mbowe anafaa au hatoshi kura zitaelezea wewe pigakura
Hakuna anaefaa hapoView attachment 2983496
FREEMAN MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU LISSU
View attachment 2983500
JOHN HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.
PigakuraMbowe apumzike!
Mabwege yote,View attachment 2983496
FREEMAN MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU LISSU
View attachment 2983500
JOHN HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.