Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Maswali magumu wanapita kimya kimyaJibuni Hoja za Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali magumu wanapita kimya kimyaJibuni Hoja za Lissu
Ondoa upuuzi wako hapa mwashambwa kaendablikizo ujuha umemshinda Sasa sijajua wewe ndie mulithi wake au inakuaje hapa?View attachment 2983496
FREEMAN AIKAEL MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU ANTIPUS LISSU
View attachment 2983706
JOHN WEGESA HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatiwa.
Heche is moderate anafaa kwa urais na uwenyekiti,Lissu hasira mno Magufuli no 2Lissu anapaswa kuwa Waziri Mkuu wa Rais fulani lakini kwa nafasi ya Urais HAPANA. Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.
Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.
Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za chama. Wakishindwa basi John Mnyika
SipigiPiga kura
Mihemeko ya Laigwanan Antipas TUndu Lissu ni kama mkojo wa mbogo.Heche is moderate anafaa kwa urais na uwenyekiti,Lissu hasira mno Magufuli no 2
Ila akome kumfuatafuata mama Samia sasaMihemeko ya Laigwanan Antipas TUndu Lissu ni kama mkojo wa mbogo.
Boaada ya zile pyu pyu pyu 16, 32, 40-take your pick Tundu Lissu amekuwa kama mbogo sasa.
Wanja la siasa linawasha.
Bora Magufuli.
Nasikia alisemaga, "Wakwetu huwa hawakosi shabaha"?? Kama hiyo ni kweli, 🤔Ila akome kumfuatafuata mama Samia sasa
Hin gani hizo?Jibuni Hoja za Lissu