Kwa hyo wewe unamtaka mtu anaeisema ccm na syo kuiondoa ccm kwq kuwasemea wananchi?Heche hana ushawishi Mkubwa kwa sasa. Badala yake, ningeshauri aanzie kwenye nafasi ya chini kidogo, mathalani Ukatibu Mkuu. Baadae anaweza kupanda
Tundu Antipas Lissu pekee ndiye mwenye muscles za kukikalia kiti hicho. Yeye ndiye mtu madhubuti wa kuisema serikali ya CCM bila kumung'unya maneno. Hatetereki wala hababaishwi na danganya toto za Suluhu.
Wameshindwa wameanza kufitinishaJibuni Hoja za Lissu
sio kipaumbele chetu kwa sasa, tunataka wote wawe wamoja kutetea haki na utawala boraView attachment 2983496
FREEMAN MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU LISSU
View attachment 2983500
JOHN HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.
Kwani demokrasia inamtaka akae madarakani miaka mingapi kwenye uongozi wa juu?Binafsi sijaona wa kumpiku Mbowe! Mbowe bado ni hazina kwa CHADEMA! Kwangu naona ni mwanasiasa wa Siasa za Wastani! Ana hekima na busara! Hana siasa zilizojaa jaziba na mihemko iliyopita kiasi.
Sijaona kama Mbowe amechoka sana kiasi cha kutomhitahi katika nafasi hiyo!
Wampe meya Jacob na MdudeView attachment 2983496
FREEMAN MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU LISSU
View attachment 2983500
JOHN HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.
Mimi upande wangu MBOWE nae apumzike hiyo tunaita power monger yeye tu miaka yote halafu waite ccm haitaki kutoka madarakani wakati hata mwenyekiti wao hana mpango wowote wa kuachia kiti.View attachment 2983496
FREEMAN MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU LISSU
View attachment 2983500
JOHN HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.
Lissu anapaswa kuwa Waziri Mkuu wa Rais fulani lakini kwa nafasi ya Urais HAPANA. Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.Heche hana ushawishi Mkubwa kwa sasa. Badala yake, ningeshauri aanzie kwenye nafasi ya chini kidogo, mathalani Ukatibu Mkuu. Baadae anaweza kupanda
Tundu Antipas Lissu pekee ndiye mwenye muscles za kukikalia kiti hicho. Yeye ndiye mtu madhubuti wa kuisema serikali ya CCM bila kumung'unya maneno. Hatetereki wala hababaishwi na danganya toto za Suluhu.
Sasa pigakuraHeche hana ushawishi Mkubwa kwa sasa. Badala yake, ningeshauri aanzie kwenye nafasi ya chini kidogo, mathalani Ukatibu Mkuu. Baadae anaweza kupanda
Tundu Antipas Lissu pekee ndiye mwenye muscles za kukikalia kiti hicho. Yeye ndiye mtu madhubuti wa kuisema serikali ya CCM bila kumung'unya maneno. Hatetereki wala hababaishwi na danganya toto za Suluhu.
Binafsi sijaona wa kumpiku Mbowe! Mbowe bado ni hazina kwa CHADEMA! Kwangu naona ni mwanasiasa wa Siasa za Wastani! Ana hekima na busara! Hana siasa zilizojaa jaziba na mihemko iliyopita kiasi.
Sijaona kama Mbowe amechoka sana kiasi cha kutomhitahi katika nafasi hiyo!Oka
Sioni kama ni tatizo Mbowe akiwa m/kiti wa Chadema for life. Tatizo letu kama taifa ccm.Mbowe ni kiongozi mzuri sana. Lakini mimi naamini walioweka ukomo wa uongozi wana sababu nzuri sana. Hata uwe kiongozi mzuri namna gani, lakini kuna vitu uta-overlook kama utakaa kwenye madaraka kwa muda mrefu. Na pia una set pecedence mbaya itakayotumiwa na viongozi wengine wenye uchu wa madaraka. Na pia kupata mawazo mapya ni muhimu kwani binadamu huwezi kuwa mzuri kwa kila jambo. Mwisho: fulani anaweza kuwa ni kiongozi mzuri sana, na mkadhani akiondoka hakuna wa kuziba pengo lake, lakini akiondoka akaja mtu mwingine na akawa mzuri kuliko yule mliyedhani ni mzuri sana.
Mbowe sababu ni mchaga mwenzetu, na Chadema ni chama cha wachaga,,ndo waazilishi na ni Mali yetuView attachment 2983496
FREEMAN AIKAEL MBOWE
View attachment 2983499
TUNDU ANTIPUS LISSU
View attachment 2983706
JOHN WEGESA HECHE
JINSI YA KUPIGA KURA.
1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"
#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatiwa.