Castrol Ponella atoka jela

pantheraleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
692
Reaction score
880
Aliyekuwa producer wa kundi maarufu la Mambo poa,Castrol Ponella. Ametoka jela miezi 5 iliyopita kwa msamaha wa rais,toka 2004 hadi mwaka huu.

Alipelekwa jela kwa kumchoma kisu mwanamuziki Steve 2k na kumsababishia kifo.

Hakutaka vyombo vya habari kujua ndio maana akatulia kwanza.

Source: East Africa radio & Dj Seki.
 
Duuh.. Ninaamini ilikuwa ni bahati mbaya na aliumia kutokana na kifo cha mshkaji wake.. na mbaya zaidi yeye kuwa ni sababu ya kifo hicho.. Amuweke Mungu mbele na kujaribu kuwafikia wote walioguswa na msiba huo..
 
Duuh.. Ninaamini ilikuwa ni bahati mbaya na aliumia kutokana na kifo cha mshkaji wake.. na mbaya zaidi yeye kuwa ni sababu ya kifo hicho.. Amuweke Mungu mbele na kujaribu kuwafikia wote walioguswa na msiba huo..

kweli gereza sio kaburi,yeye mwenyewe anasema hakujua kwamba atatoka,vilevile amesema anatamani kufanya kazi na Fid Q akiwepo Darasa. Alivutiwa na Darasa ile track yake ya nishike mkono.
 
Kifo cha Steve 2K kilisikitisha sana, lakini ndio maisha. Castro ajipange vema, aendelee na game kama kawaida
 
Huyu jamaa nilisoma kwenye gazeti la udaku kwamba waligombana kwa ajili ya dem,,Steve akamfuata getoni kwake akiwa na kisu,katika purukushani za steve kutaka kumchoma jamaa,jamaa akabahatika kumpokonya kisu na kumchoma steve.
 
ukiua hata utoke jela maisha yako sio marefu haijarish ulikusudia au bahati mbaya ,mifano ipo mingi sana kwa walio ua kufa mapema

Guarantee(life span) yao inakuwa ni miaka mingapi kaka? Mbona naona wengi wanaishi na wanawazika wale wanaosemekana ni wema?
 
Huyu jamaa nilisoma kwenye gazeti la udaku kwamba waligombana kwa ajili ya dem,,Steve akamfuata getoni kwake akiwa na kisu,katika purukushani za steve kutaka kumchoma jamaa,jamaa akabahatika kumpokonya kisu na kumchoma steve.

kumbe ndo ilikuwa hivi...........sikuwahi kujua sosi ya kifo au tukio lenyewe
 
Huyu jamaa nilisoma kwenye gazeti la udaku kwamba waligombana kwa ajili ya dem,,Steve akamfuata getoni kwake akiwa na kisu,katika purukushani za steve kutaka kumchoma jamaa,jamaa akabahatika kumpokonya kisu na kumchoma steve.

No woman no cry.
 
Alivyotoka tu akaenda zake Songea. Anasema amekuwa akiwasiliana sana na J-mo kipindi alivyotoka jela,kabla J-mo hajasafiri uholanzi.
 
Alivyotoka tu akaenda zake Songea. Anasema amekuwa akiwasiliana sana na J-mo kipindi alivyotoka jela,kabla J-mo hajasafiri uholanzi.

J Moe Uholanzi kenda lini? Huyu bro nae Punda nini?
 
natamani steve 2K angekuepo/
ye ndo mchizi wangu kam pingu na deso/
aliniintroduce kwa castro producer aliyefanya dot com/
free castro ponella watu wake wa jela wanasema huyu msela ni soo/
#amani kwako Castro
 
Amesema lazima afanye collabo ya Fid Q na Darasa,yeye atasimama kama producer. Anasema kashafanyafanya mazoezi kwenye studio area za Songea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…