Kimsingi sijasikia matusi lakini nilichokiona ni kijana mmoja aliyekosa akili akipayuka bila kutafakari kuwa anavunja sheria za uchaguzi....Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Kwa mujibu wa Sheria za jf unatakiwa kula Ban kwa name calling , na kuandika uongo , Jf siyo kama vikao vya ccm ambavyo Makonda anaweza kuropoka lolote na kumsimanga PM , humu kuna sheria zakeNyani haoni kundule, hata wewe Joyce mukya umepora mume wa mtu.
Habari njema sana kwa sisi tunao iombea njaa ccm.Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Achana na hilo la kukurupuka na mibangi yake kichwani kama li Mdude Nyagali ambalo muda wote ni moshi wa Bangi tu kichwani kama lipo kwenye jiko la kuni😀😀😀Nadhani ni Catheline Magige
Mkuu nimekuelewa ila ujue matusi au siyo matusi ni jinsi gani ulivyo chukulia binafsi.Kimsingi sijasikia matusi lakini nilichokiona ni kijana mmoja aliyekosa akili akipayuka bila kutafakari kuwa anavunja sheria za uchaguzi....
Kampeni za urais ndani ya CCM zitaondoka na roho za watu
Cc PawKwa mujibu wa Sheria za jf unatakiwa kula Ban kwa name calling , na kuandika uongo , Jf siyo kama vikao vya ccm ambavyo Makonda anaweza kuropoka lolote na kumsimanga PM , humu kuna sheria zake
Hao mazumbukuku yanatwanga tu maana hata hizo sheria hawazijui kwao ni sawa tuKwa mujibu wa Sheria za jf unatakiwa kula Ban kwa name calling , na kuandika uongo , Jf siyo kama vikao vya ccm ambavyo Makonda anaweza kuropoka lolote na kumsimanga PM , humu kuna sheria zake
Ndio maana nasema akili yako haipo sawa.maana aliye sawa kichwani na anayejitambua hawezi akakaa na kuanza kutunga vihabari vya uongo na uzushi .wewe bado ni mtoto na mwenye akili ya kitoto sana.Najua na shemeji yako yaani diwani ni rafiki yangu
Kweli Mkuu.Wanasemaga Nyani haoni kundule.
Yaani kwa maisha ya hovyo aliyo nayo huyu mama asingekuwa na jeuri ya kumsimanga Mpina