zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
This is obvious, she's salty kwa kuangushwa na outsider. Alichagua upande wa Mbowe nao ukashindwa meaning hana tena path ya kuwa top bureaucrat kwenye chama.Maoni ya Catherine Ruge huenda yamesababishwa na hasira ya matokeo ya uchaguzi, maana ameshindwa kutetea nafasi yake ya Katibu wa Bawacha,
Catherine aligombea kama KM wa Bawacha, but kura hazikutosha,Kamati kuwaa ina wajumbe 30+ be assured at least 12 must be women maana kila baraza lazima lichague wajumbe wa CC kwa gender parity, mind you Bawacha inapeleka wote wanawake, na hizi nafasi za mwenyekiti lazima 2 wawe wanawake. Same to baraza kuu nayo gender ipo considered. Kwahiyo gender ipo factored in miaka yote.
Wanawake nao wachukue fomu wasisubiri teuzi, huyo Catherine ruge hajagombea hata nafasi ya kamati kuu sasa anataka nani amuweke hapo mbele?
Mbona Rose Mayemba, Salima Kasunzu wamechaguliwa ujumbe kamati kuu?. Au hujui kamati kuu ndio the most powerful committee ya chama.
ACT chama tanzu cha ccm na ni ngumu mwanamke kuwa kiongozi wa juu cdm kwa sababu mateso wanayopata kutoka kwa vyombo vya dolaCatherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.
Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.
View attachment 3211395
Hahaha Team Lisu kwao wakishinda ndio haki, wakishindwa ni figisu. Demokrasia haitimii kwa wewe tu kushinda, kushindwa nayo ni demokrasia.Hao wawili walifanyiwa figisu nyingi sana wasishinde Rose Mayemba hadi sasa uchaguzi wake hauhitimishwa, yote hayo ilikuwa ili kumuangusha Msigwa. Rose Mayemba anaonekana ni jembe sana, mkweli, mpenda haki. Atafika mbali.
Salma Kasanzu form yake ilifichwa hapo Mlimani city asiweze kufanyiwa usaili.
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=OQFyOVZBlHeIEjhJ
Huyu Catherene Ruge kati wa wanawake wenye nguvu na ushawishi CHADEMA, alikuwemo ktk 10....
Shida yake ni kushindwa kutumia akili ktk kufanya maamuzi badala yake yeye na wenzake kina Wenje, Boni Yai, yule mwenyekiti mpya wa BAWACHA, Yericko Nyerere, Ntobi nk wakakubali kulipwa mapesa ya rushwa yaliyobeba laana ya damu za watanzania wana CHADEMA waliouwawa na Abdul na mama yake Bi Samia Suluhu Hassan...
Hawa kina Catherine wakauza utu na heshima yao huko. Laiti wangekuwa wavumilivu, wakaitetea na kusimama upande wa HAKI bila shaka, kwa uadilifu wao huo hizi nafasi zingekuwa zao tu bila shaka...
Lakini walichagua uchafu, rushwa na ufisadi. Ni nani huyo atawatetea na kuwapa heshima? Wameuza heshima na utu wao. Ni sharti walipie gharama ya matendo yao...
ACT chama tanzu cha ccm na ni ngumu mwanamke kuwa kiongozi wa juu cdm kwa sababu mateso wanayopata kutoka kwa vyombo vya dola
Hivi wale wanawake wawili Rose na Kasanzu walioteuliwa kuingia kamati kuu ni nafasi gani zile?Kwenye siasa hakuna kitu kinaitwa uwezo 100% kuna public appeal...
Kama hizlcho kitu kikipigiwa chapuo vizur kinakuondolea credibility.
Nafasi za kugombea hapo ni chache tu, nyingine zote ni za kuteua...
Kwanini wanawake hawajaonekana?
Mabadliko ni pamoja na hiyo element..
Wakati mnafurahia ushindi kaz haziwasubiri
Uongozi unatakiwa kutolewa kwa merit, hata kama mwanamke, awe na merit, sasa tutajuaje kakosa uongozi hata baada ya kuwa na merit, na si kwa kukosa merit?..kulikuwa na lobbying kwamba pawepo na mwanamke ktk nafasi za juu kama sio Katibu Mkuu, basi mmoja wa manaibu.
..Mwenyekiti wa Bazecha Mama Grace Kiwelu amesikika akisema kwamba aliongea na Freeman Mbowe, na Tundu Lissu, kuhusu kuteuwa wanawake, na walimpa matumaini kuhusu suala hilo.
..Maoni ya Catherine Ruge huenda yamesababishwa na hasira ya matokeo ya uchaguzi, maana ameshindwa kutetea nafasi yake ya Katibu wa Bawacha, au yametokana na Tundu Lissu kutokutimiza alichomuahidi Mwenyekiti wa Bazecha.
..Kwa upande mwingine, Tundu Lissu ameteua wanawake 2 kati ya wajumbe watano wa Kamati Kuu ambao Mwenyekiti ana mamlaka kuteua.
..Pia bado kuna fursa ya kuteua wanawake katika Sekretariet ya Makao Makuu ya chama.
Nina uhakika hujamsikiliza au hata kufuatlia story yake, uchaguzi wa Njombe, Kanda ya Nyasa.H
Hahaha Team Lisu kwao wakishinda ndio haki, wakishindwa ni figisu. Demokrasia haitimii kwa wewe tu kushinda, kushindwa nayo ni demokrasia.
Aende kule akapeweUongozi unatakiwa kutolewa kwa merit, hata kama mwanamke, awe na merit, sasa tutajuaje kakosa uongozi hata baada ya kuwa na merit, na si kwa kukosa merit?
Tumeona hata wanaume wamenyukana na wengine kushindwa.
Kina Mbowe, Wenje, Odero, wameshindwa, wale si wanawake.
Sasa tutajuaje wanawake wameshindwa kwa sababu ya patriarchy na si kwa sababu ya kushindwa kwa kukosa merit tu?
Analalamika hakuna mwanamke pale juu, kwani kuna mwanamke gani kagombea nafasi za mwenyekiti na makamu mwenyekiti? Alitaka wanawake wapewe nafasi hizo tu bila kugombea?
Uaneni tuu huko ,CCM ndio chama kimbilio hao matapeli watawazungusha kichwa Hadi mpate moto with zero resultsCatherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.
Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.
View attachment 3211395
Uongozi unatakiwa kutolewa kwa merit, hata kama mwanamke, awe na merit, sasa tutajuaje kakosa uongozi hata baada ya kuwa na merit, na si kwa kukosa merit?
Tumeona hata wanaume wamenyukana na wengine kushindwa.
Kina Mbowe, Wenje, Odero, wameshindwa, wale si wanawake.
Sasa tutajuaje wanawake wameshindwa kwa sababu ya patriarchy na si kwa sababu ya kushindwa kwa kukosa merit tu?
Analalamika hakuna mwanamke pale juu, kwani kuna mwanamke gani kagombea nafasi za mwenyekiti na makamu mwenyekiti? Alitaka wanawake wapewe nafasi hizo tu bila kugombea?
BAWACHA
uKwenye siasa hakuna kitu kinaitwa uwezo 100% kuna public appeal...
Kama hizlcho kitu kikipigiwa chapuo vizur kinakuondolea credibility.
Nafasi za kugombea hapo ni chache tu, nyingine zote ni za kuteua...
Kwanini wanawake hawajaonekana?
Mabadliko ni pamoja na hiyo element..
Wakati mnafurahia ushindi kaz haziwasubiri
Sasa Catherine Ruge kasimama upande wa Mbowe, upande ambao umeshindwa on merit. Kwa nini anaona kashindwa kwa sababu ya patriarchy na si kwa sababu alikuwa upande usio sahihi?..katika meza kuu kuna nafasi 3, yaani Katibu Mkuu, na Manaibu wake wawili, ambao wanateuliwa na mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Naamini Catherine Ruge alitamani kuwepo na uwakilishi wa wanawake ktk nafasi hizo.