Uchaguzi 2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

Sijawahi kuwaamini hawa.....
Mdee alikuwa anakanusha mitandaoni mara paap namuona anaapa....
Nafikiri Hiyo kauli n baada ya jina lake kuliwa kichwa....
 
Watalindwa na kanuni za bunge za ndugai, hawafukuziki. Yaai mnyika peke yake ndio awafukuze?
Unajua kanuni za Bunge zinasemaje? Mbunge lazima awe mwakilishi wa Chama Cha siasa. Kina Mdee wakifukuzwa Chadema watakua wawakilishi wa Chama gani? Ndugai akiruhusu wabaki atakua amevunja kanuni za bunge lake kama alivofanya mwaka jana kwa kina Silinde na Cecil Mwambe.
 
Yule aliyedukuzwa wa chadema bunge lililopita mbona alipeta na kuhushuria bunge kama kawaida? Ili ufukuzaji utimie nyaraka zinatakiwa ziwasilishwe wapi? Na zikubaliwe?
Spika alisema anayo discretionary power...
 
Kama kuna siku mmeatembea uchi tena uchi wa mnyama huku mmeinama ni kuanzia jana mpaka sasa hivi.
Mkuu usije ukala malimao na chumvi tulia kama unanyolewa hii ndio Siasa bwana.
NJAA + VITI + TAMAA = VITIMAALUMU
Mtahangaika sana ila mwisho wa siku mtaishia kuumbuka.
 
Maboya sana hawa ha ha ha ha!
 
Viti maalumu viko kikatiba usaliti wao uko wapi, wanaume wabunge ndio walikuwa wasaliti na leo mnalaumu wanawake. CDM tumieni akili hili swala mnyika angekuwa amepeleka majina tangu mwanzo Mambo yangekuwa shwari, Ila kujiropokea mitandaoni sio solution na kulaumu mjue hapo mnashindana na Dolla lazima ku change mbinu
 
Dr. Slaa hakununuliwa na ccm bali lowassa alinunua chadema mtaendelea kulishwa matango pori. Kinachowauma ni chadema kuzidi kushuka baada ya kumpoteza na yanayotokea ni laana yake kwa waliyomtendea.
 
Dr. Slaa hakununuliwa na ccm bali lowassa alinunua chadema mtaendelea kulishwa matango pori. Kinachowauma ni chadema kuzidi kushuka baada ya kumpoteza na yanayotokea ni laana yake kwa waliyomtendea.
Chadema inashuka huku mkilazimisha ushindi kwa kura za kwenye mabegi meusi.
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
Ina maana huyu kapata mateso zaidi ya mdee? Hamna mwanamke wa chadema aliyeteseka kama mdee inapokuja suala la chadema, hamna!
 
bila shaka hata Mbowe hafai kuwa kinara wa mapambano. Ameishiwa mbinu. Watu hawa hatari habari zao zilishasikika kitambo. Alichukua hatua gani mpaka wanaaibisha na kukatisha tamaa namna hii. Walitakiwa wafukuzwe dakika ya 2 pili tu. Hivi wanajua ni jinsi gani watu watarudi nyuma kuwaunga mkono?Nani tena ata risk maisha yake kwa ajili yao?
Hata kukimbizana na polisi hata kubali. huo muda ni bora akimbizane na mkewe kitandani
 
Ina maana huyu kapata mateso zaidi ya mdee? Hamna mwanamke wa chadema aliyeteseka kama mdee inapokuja suala la chadema, hamna!
mdee kupata mateso zaidi ya Ruge ndio tiketi ya kusaliti na kutotii maamuzi ya chama?Hata kama Ruge angekuwa katukanwa tu na polisi
 
Sasa jaman me ningeona mngefanya jambo bora ni kujifuta kabisa katika ulimwengu wa siasa

Coz chama chenu ni chama cha siasa ila hakuna siasa yoyote mnayofanya Sasa si bora mkawa sacos tu?
 
mdee kupata mateso zaidi ya Ruge ndio tiketi ya kusaliti na kutotii maamuzi ya chama?Hata kama Ruge angekuwa katukanwa tu na polisi
Suala la kusaliti ni mtazamo wako wewe. Mdee ni mbunge wa chadema kutokana na katiba na wala sio hisani. Na kasema ana baraka za mwenyekiti, ongeeni na viongozi wenu wawape ukweli
 
Wafukuzwe tu na mabeberu watatufahamu kuwa magombe yanazidi kugombeka.
 

Wazungu wapi hao? Wazungu wanataka politics of compromises.
Wanachofanya Chadema ndio Christian Democratic Union ndivyo wanavyo taka.
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
Chama gani? Hamna chama hapo. Nenda ufipa kama utakuta kuna ofisi..kila mtu kasambaratika utafikiri panya wamekurupushwa. 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…