Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tena
Itafika mwisho siku moja
Inaonesha hajuwi maana ya R nne za mama Samia.8 July 2024
‘Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) - 'Samia Anahofia Mageuzi Yataiondoa CCM Madarakani’
Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), amesema kwamba sababu kubwa ya kufeli kwa mchakato wa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini, kama vile upatikanaji wa Katiba Mpya, ni hofu aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan kwamba endapo mageuzi hayo yatatokea, chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaweza kuondoka madarakani.
SIna la kusema!
CCM wako mitaani kuandikisha wapiga kura!
Huenda kilichofanyika uchaguzi serikali za mitaa 2019 kinaenda kutokea tena!
It is obvious8 July 2024
‘Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) - 'Samia Anahofia Mageuzi Yataiondoa CCM Madarakani’
Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), amesema kwamba sababu kubwa ya kufeli kwa mchakato wa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini, kama vile upatikanaji wa Katiba Mpya, ni hofu aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan kwamba endapo mageuzi hayo yatatokea, chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaweza kuondoka madarakani.
Julai 2024
Mbinga Mjini, Ruvuma
Tanzania
CHADEMA MBINGA WAKITOA ELIMU YA UCHAGUZI VIJIJINI
View: https://m.youtube.com/watch?v=FfMHlS9TGuQ
Viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) jimbo la Mbinga mjini wakiongozwa na mwenezi wa chama hiko kamanda Wurso Aloyce, mwenyekiti wa BAWACHA kamanda Mariam Mapunda, katibu wa jimbo kamanda Amina Saidi, mwenyekiti wa chama wilaya kamanda Steven Mateso pamoja na mwanachama mwakilishi wa wadau mkoa wa Ruvuma kamanda Menrick Sanga.
Wamefanya ziara ya operesheni maalum katika kijiji cha Rudisha kilichopo kata ya Kilimani jimbo la Mbinga mjini, wamefika kijijini hapo na kutoa elimu ya uraia na elimu ya uchaguzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mtaa mwaka huu 2024
Kata Kilimani wilaya ya Mbinga mjini ina vijiji vifuatavyo: Kilimani, Sepukila, Mhekela, Rudisha, Mkwaya na Njomlole.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 14,594. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,529 waishio humo.
Bwaga moyoShukrani kwa umakini, na kumradhi kwa Catherine Magige kwa usumbufu wa Google Typo predictions / Artificial Intelligence G6 smartphone
Moderator JamiiForums arekebishe kichwa cha habari.