- Thread starter
- #81
23 November 2024
BREAKING NEWS
CHADEMA KANDA YA NYASA
KIJIJI KIZIMA KILIVYOJITOKEZA KUMLAKI FREEMAN MBOWE
View: https://m.youtube.com/watch?v=4i7z4Uk6Il4
Katika ziara yake mikoa ya Songwe na Mbeya viongozi wa kitaifa na kikanda wakiongozwa mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe wapokewa na umma wa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi wa TAMISEMI 2024 ambapo CHADEMA wamebisha hodi na kufanya mikutano zaidi ya kumi kuelekea tarehe 27 November 2024 siku ya jumatano ambapo uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 utafanyika nchi nzima
Video hii ikionesha wananchi wa Ndanto wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya kanda ya Nyasa CHADEMA walivyoupokea msafara wa chama walicho na matumaini nacho kwa ukubwa kabisa kuwavusha kutoka uongozi wa chama dola kongwe kichovu cha CCM
BREAKING NEWS
CHADEMA KANDA YA NYASAKIJIJI KIZIMA KILIVYOJITOKEZA KUMLAKI FREEMAN MBOWE
View: https://m.youtube.com/watch?v=4i7z4Uk6Il4
Katika ziara yake mikoa ya Songwe na Mbeya viongozi wa kitaifa na kikanda wakiongozwa mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe wapokewa na umma wa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi wa TAMISEMI 2024 ambapo CHADEMA wamebisha hodi na kufanya mikutano zaidi ya kumi kuelekea tarehe 27 November 2024 siku ya jumatano ambapo uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 utafanyika nchi nzima
Video hii ikionesha wananchi wa Ndanto wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya kanda ya Nyasa CHADEMA walivyoupokea msafara wa chama walicho na matumaini nacho kwa ukubwa kabisa kuwavusha kutoka uongozi wa chama dola kongwe kichovu cha CCM