4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Hata Mimi naitaka, aisee watuwekee na mahali Kama ni kata flani n.kNatamani nione hii orodha ya hivi vituo vipya vya afya na hizo sekondari mpya zilizojengwa na tozo mwenye kujua aorodheshe hapa
Kweli Watanzania hatuna jemaAcheni blah blah!
Alieanzisha ni mwana ccm aliepitishwa na cc ya CCM kuwa hapo alipo;
Mngekuja na matamko haya;-
"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya"
"Mzee warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
Unatengeneza Tatizo mwenyewe halafu unatoa tamko la kulaani mwenyewe!!Kweli Watanzania hatuna jema
Mkuu vituo vingine wamejengea matumboni mwao, ukiona tumbo kubwa limefunikwa shati la kijani jua ni zahanati/kituo Cha afya hicho kinapita.Kabla ya yote tunataka kujua hivyo vituo vya afya 234 vilipojengwa au vinapojengwa KWa kutaja na kata hivyo na shule,
Jedwali chini linaonesha mpaka 2021 to 2022 March ni vituo 34 tu vya afya vilisajiliwa, Sasa hivyo vituo 234 vimejengwa ndani ya miezi 6 ?
Naunga mkono hojaBasi yule Jamaa wa Relwe mrudisheni kazini mlimuonea.
Natamani nione hii orodha ya hivi vituo vipya vya afya na hizo sekondari mpya zilizojengwa na tozo mwenye kujua aorodheshe hapa
😂😂🤣 Sio kweli bhana, Serikali itatuwekea nasi tuvitembelee, Ili kupongeza inapobidiHakuna atakayekupatia hiyo orodha ya majina ya sekondari,primary schools au hospitali.Watakutajia idadi na kiasi cha mabilioni hewa lakini vilipo hapa Tanzania,hilo sahau ni siri ya nchi.
Infinsi .pamoja na hayo zimeleta ahuen katika bei za mafutaNatamani nione hii orodha ya hivi vituo vipya vya afya na hizo sekondari mpya zilizojengwa na tozo mwenye kujua aorodheshe hapa
Hatukutakiwa kuomba orodha,kama miradi ni halali na imelenga wananchi wenye nchi taarifa kama hizo siyo za kuombea bali zilitakiwa ziwe zinapatikana kwa njia za wazi.Sasa hapa Tanganyika si walifuta mtandaoni kila kitu kilichohusu Rasimu ya Katiba ya Wananchi wa Tanzania iliyoandikwa na Tume ya Jaji Warioba?😂😂🤣 Sio kweli bhana, Serikali itatuwekea nasi tuvitembelee, Ili kupongeza inapobidi
Kweli mkuu umeongea maneno kuntuHatukutakiwa kuomba orodha,kama miradi ni halali na imelenga wananchi wenye nchi taarifa kama hizo siyo za kuombea bali zilitakiwa ziwe zinapatikana kwa njia za wazi.Sasa hapa Tanganyika si walifuta mtandaoni kila kitu kilichohusu Rasimu ya Katiba ya Wananchi wa Tanzania iliyoandikwa na Tume ya Jaji Warioba?
Hata hii habari haitolewi kwa Wananchi ili kuwafumba macho.
Hapo hapo ulipo uliza watakuonesha vituo na sekondari zilipo,Kweli mkuu umeongea maneno kuntu
Ni pamoja na Wewe?Kuongoza wa Tz ni kazi rahisi mno. Maana hawana tofauti na maiti
Tunashida kubwa Sana, then hatupendaniKweli Watanzania hatuna jema
Naona waziri wa tozo saiz kiti hakikaliki, ANAPUYANGA Kila Mahali akijipa hata KAZI zisomhusu.CCM yatoa maelekezo kwa Serikali kuhusu tozo,Asante CCM kwa kulituliza Taifa,
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kuchukua ushauri wa wananchi kuhusu tozo sambamba na kujielekeza katika kubana matumizi ya serikali na kutanua wigo wa kodi.
View attachment 2350888
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kuchukua ushauri wa wananchi kuhusu tozo sambamba na kujielekeza katika kubana matumizi ya serikali na kutanua wigo wa kodi.
Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Septemba 8, 2022 jijini Dar es Salaam na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka wakati akizungumzia maazimio ya kikao cha Kamati Kuu kilichokaa jana Septemba 8, 2022 kikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
CCM imeingilia kati tozo siku chache baada ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba pamoja na mawaziri wenzake kujitokeza kuzungumzia tozo wakati kukiwa na malalamiko ya wananchi na wadau wengine kuhusu tozo hizo.
Shaka amesema Kamati Kuu imewapongeza Rais Samia na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi kwa kazi nzuri wanayoifanya na pia kwa utekelezaji mzuri wa ilani ya uchaguzi.
View attachment 2350889
Amesema Kamati Kuu inatambua mafanikio yaliyofikiwa kutokana na mapato ya tozo kama vile ujenzi wa vituo vya afya 234 pamoja na sekondari 214. Hata hivyo, imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua maoni ya wananchi kuhusu tozo za miamala ya kielektroniki.
"Kamati Kuu ya halmashauri kuu ya CCM Taifa umeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa wananchi kuhusu tozo.
"Kamati Kuu ya CCM imeielekeza Serikali kufikiria na kujielekeza katika kubana matumizi ya Serikali lakini pia kuendelea kujenga mazingira rafiki na wezeshi ili kujenga uchumi imara unaozalisha kwa lengo la kutanua wigo wa kodi pamoja na kubuni vyanzo vipya vya kodi ili kuwa na viwango na mfumo rafiki wa kodi kwa kila mmoja," amesema Shaka.
Shaka amewataka wasaidizi wa Rais Samia washuke chini kwa wananchi ili kusikiliza shida zao sambamba na kujua hali halisi ya maisha yao. "Tunafuatilia mwenendo na uwajibikaji wa wateule wote wa Rais. Chama ndiyo mwenye mali, kwa hiyo lazima tuimamie serikali," amesema Shaka wakati akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari katika Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba jijini hapa.
What if hilo tatizo likiachwaUnatengeneza Tatizo mwenyewe halafu unatoa tamko la kulaani mwenyewe!!
Wote si Hao hao sasa nani anawajibika!!?
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Nzuri Sana hiiCCM chama cha wanyonge na walalahoi kamwe wasingekubali Wananchi waendelee kulalamika,
VIVA CCM VIVA
VIVA SAMIA VIVA
VIVA KINANA VIVA
VIVA CHOGOLO VIVA
VIVA SHAKA VIVA
VIVA......... VIVA