CCM achaneni na wahuni wapita njia wapeni nafasi wafia chama mmnawakatisha tamaa sana

CCM achaneni na wahuni wapita njia wapeni nafasi wafia chama mmnawakatisha tamaa sana

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
CCM ni chama kikubwa na kikongwe hakiwezi kuwa chama cha kitegemea wahamiaji waganga njaa toka upinzani ili kukisemea. Hao no waganga njaa wamekuja kula walivyoyelea jasho wanaccm kindakindaki. Mnawaumiza sana mnapowapuuza na kuwapa majukwaa na vyeo wale waliokuwa wakiwatukana majuzi tu hapo.

Na hawa waganga njaa wajanja sana wakija CCM wanajifanya kuandika artiles nyingi za kuisifia serikali ili wapate mkate wao. Hivyo ndivyo walivyoganya hata wale mliowatoa NCCR. Achaneni nao wapeni background responsibility lakini msiwachukulie kama ndiyo roho ya CCM. CCM ilikuwepo kabla ya wao kuja hivyo msiwaone kama malaika
 

Attachments

  • VID-20240803-WA0084.mp4
    984.8 KB
  • Screenshot_20240805-114723.jpg
    Screenshot_20240805-114723.jpg
    417.8 KB · Views: 1
CCM ni chama kikubwa na kikongwe hakiwezi kuwa chama cha kitegemea wahamiaji waganga njaa toka upinzani ili kukisemea. Hao no waganga njaa wamekuja kula walivyoyelea jasho wanaccm kindakindaki. Mnawaumiza sana mnapowapuuza na kuwapa majukwaa na vyeo wale waliokuwa wakiwatukana majuzi tu hapo.

Na hawa waganga njaa wajanja sana wakija CCM wanajifanya kuandika artiles nyingi za kuisifia serikali ili wapate mkate wao. Hivyo ndivyo walivyoganya hata wale mliowatoa NCCR. Achaneni nao wapeni background responsibility lakini msiwachukulie kama ndiyo roho ya CCM. CCM ilikuwepo kabla ya wao kuja hivyo msiwaone kama malaika
Nasikia tumbili Peter Msigwa ndiye anachukua nafasi ya Kinana
 
CCM ni chama kikubwa na kikongwe hakiwezi kuwa chama cha kitegemea wahamiaji waganga njaa toka upinzani ili kukisemea. Hao no waganga njaa wamekuja kula walivyoyelea jasho wanaccm kindakindaki. Mnawaumiza sana mnapowapuuza na kuwapa majukwaa na vyeo wale waliokuwa wakiwatukana majuzi tu hapo.

Na hawa waganga njaa wajanja sana wakija CCM wanajifanya kuandika artiles nyingi za kuisifia serikali ili wapate mkate wao. Hivyo ndivyo walivyoganya hata wale mliowatoa NCCR. Achaneni nao wapeni background responsibility lakini msiwachukulie kama ndiyo roho ya CCM. CCM ilikuwepo kabla ya wao kuja hivyo msiwaone kama malaika
CCM kama chama kina taratibu zake ndugu. Kuna vyama vingine mtu anahamia leo kesho anakuwa Mgombea Urais! Ahahahahaha!! CCM hilo haliwezekani, lakini kikipigania chama kama anavyofanya Mch. Msigwa ni sahihi kabisa kwa CCM!
 
Kwa muktadha wa maneno ya Polepole, basi mchungaji Msigwa ni mhuni.
 
Majembe yako upinzani ndio maana wakihamia CCM wafia CCM lazima wawekwe pembeni kuyapisha majembe toka upinzani.
 
CCM ni chama kikubwa na kikongwe hakiwezi kuwa chama cha kitegemea wahamiaji waganga njaa toka upinzani ili kukisemea. Hao no waganga njaa wamekuja kula walivyoyelea jasho wanaccm kindakindaki. Mnawaumiza sana mnapowapuuza na kuwapa majukwaa na vyeo wale waliokuwa wakiwatukana majuzi tu hapo.

Na hawa waganga njaa wajanja sana wakija CCM wanajifanya kuandika artiles nyingi za kuisifia serikali ili wapate mkate wao. Hivyo ndivyo walivyoganya hata wale mliowatoa NCCR. Achaneni nao wapeni background responsibility lakini msiwachukulie kama ndiyo roho ya CCM. CCM ilikuwepo kabla ya wao kuja hivyo msiwaone kama malaika
CCM ni chama cha kutaifa cha kizalendo kwa waTanzania wote....
kina zingatia sifa, vigezo vya kitaaluma, uadilifu, uaminifu, utii, bidii, mila, desturi na utamaduni wa chama kuwapa dhamana mbalilili wana chama wake bila kujali amejiunga lini CCM...

hakina misingi ya kibaguzi wala upendeleo kama unavyotamani iwe na kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa....

nadhani hilo la kubagua eti sijui huyu muhamiajia kutoka kwenye vyama vya kidugu ukimpa nafasi eti yule mwingine mzaliwa chamani atakasirika, ni likafanyika huko huko kwenye hivyo vyama vyenye sura za kikabila, kikanda au kidini, ambavyo upendeleo na kujuana ndio utaratibu wa kupeana nafasi, vyeo na madaraka...

CCM hakuna kuoneana wivu wala kukasirika kwasababu eti mwingine kapata nafasi mwingine bado :BASED:
 
CCM ni chama cha kutaifa cha kizalendo kwa waTanzania wote....
kina zingatia sifa, vigezo vya kitaaluma, uadilifu, uaminifu, utii, bidii, mila, desturi na utamaduni wa chama kuwapa dhamana mbalilili wana chama wake bila kujali amejiunga lini CCM...

hakina misingi ya kibaguzi wala upendeleo kama unavyotamani iwe na kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa....

nadhani hilo la kubagua eti sijui huyu muhamiajia kutoka kwenye vyama vya kidugu ukimpa nafasi eti yule mwingine mzaliwa chamani atakasirika, ni likafanyika huko huko kwenye hivyo vyama vyenye sura za kikabila, kikanda au kidini, ambavyo upendeleo na kujuana ndio utaratibu wa kupeana nafasi, vyeo na madaraka...

CCM hakuna kuoneana wivu wala kukasirika kwasababu eti mwingine kapata nafasi mwingine bado :BASED:
Ni chama cha majizi, fullstop.
 
CCM ni chama kikubwa na kikongwe hakiwezi kuwa chama cha kitegemea wahamiaji waganga njaa toka upinzani ili kukisemea. Hao no waganga njaa wamekuja kula walivyoyelea jasho wanaccm kindakindaki. Mnawaumiza sana mnapowapuuza na kuwapa majukwaa na vyeo wale waliokuwa wakiwatukana majuzi tu hapo.

Na hawa waganga njaa wajanja sana wakija CCM wanajifanya kuandika artiles nyingi za kuisifia serikali ili wapate mkate wao. Hivyo ndivyo walivyoganya hata wale mliowatoa NCCR. Achaneni nao wapeni background responsibility lakini msiwachukulie kama ndiyo roho ya CCM. CCM ilikuwepo kabla ya wao kuja hivyo msiwaone kama malaika
 

Attachments

  • tiktok_1722845086451.mp4
    5.9 MB
Back
Top Bottom