CCM acheni kulalama huku mkijua mnao viongozi wa kisiasa wenye makanisa

CCM acheni kulalama huku mkijua mnao viongozi wa kisiasa wenye makanisa

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mama Lwakatare na mbunge wa Kawe wa sasa ni kati ya maaskofu wanaoshiriki siasa na kuongoza wafuasi makanisani! Na viongozi wengi wenye makanisa binafsi ambao hutuambia mungu wao ndiye kamchagua rais na si sisi wananchi! Haya yote hayalalamikiwi.

Enzi za Magufuli viongozi wa makanisa binafsi walikuwa wakiamkia Ikulu kuunga mkono juhudi ili makanisa yao na ouvu wao udumu kamalile tukio lililotokea Moshi ambako watu kadha walipoteza maisha na mhusika hakuguswa, hakuna kiongozi wa CCM aliyelalamika ili wahanga wapewe haki zao.

CCM acheni kulalamika kwa sababu mnayo madaraka .
 
Wanajitoa ufahamu tu,

Inajulikana wazi kuwa Nchi alikabidhiwa mtu (Kanisa) aiongoze.
 
Yaani wameiibia nchi mpaka wanaogopa vivuli vyao,matajiri wote wakuu nchini hatuna hata mzawa mmoja, tusiogope kuusema ukweli, ukweli ndio unaokuweka huru, it's craze mfumo wetu wa kiuchumi hautuletei matajiri wazawa, limekua shamba la shangazi
 
Yaani wameiibia nchi mpaka wanaogopa vivuli vyao,matajiri wote wakuu nchini hatuna hata mzawa mmoja, tusiogope kuusema ukweli, ukweli ndio unaokuweka huru, it's craze mfumo wetu wa kiuchumi hautuletei matajiri wazawa, limekua shamba la shangazi
Utulivu na ukimya unaiponza nchi, watu wameigeuza shamba la bibi.
Yaani wameiibia nchi mpaka wanaogopa vivuli vyao,matajiri wote wakuu nchini hatuna hata mzawa mmoja, tusiogope kuusema ukweli, ukweli ndio unaokuweka huru, it's craze mfumo wetu wa kiuchumi hautuletei matajiri wazawa, limekua shamba la shangazi
 
Utulivu na ukimya unaiponza nchi, watu wameigeuza shamba la bibi.
Uzuzu wa kiuoga wa middle class, na kujifanya kuja na mada humu za kuwafanya waonekane ni star's, mabadiliko ya kweli yapo ni street battles
 
Uzuzu wa kiuoga wa middle class, na kujifanya kuja na mada humu za kuwafanya waonekane ni star's, mabadiliko ya kweli yapo ni street battles
Sijakuelewa japo sijawafanya wainekane stars, siwapendi na sijawahi kuwapenda sababu ya ubinafsi wao.
 
Back
Top Bottom