Uchaguzi 2020 CCM asili tunampa Lissu kura zetu

 
Kubaki nyuma ya ulimwengu wa kiliberali sawa lakini nimetoka Paris wiki 2 zimepita wetu wanataka JPM akawafanyizie kazi wakulima wa ngano na wafugaji. Yellow vest wanamhitaji kuliko mnavyodhani. Nyie jifurahisheni lakini mjiandae kisaikolojia
Hivi kwa akili yako anaweza toka nje ya Afrika, aende Paris wakati Afrika yenyewe baadhi ya nchi miaka yote 5 hajaenda.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October

Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yaani kanywe bia tu ukalale mkuu!
 
Kuna wana ccm zaid ya hamsini ninaowafahamu watampa kura Lisu
Na kuna wanachadema kibao hawamuelewi kabisa kibaraka lissu, tena walivyoambiwa kuwa mwakimpa urais wanaume wataolewa wakasema kwa wabunge sawa ila urais lissu hapana yeye na amsterdam wake.
 
"Wakili wa Kimataifa wa Tundu Lissu Ndugu Robert Amsterdam aelezea kitakachowakuta Kenge"

Tafadhalini Ndugu zangu msikilizeni
👇
 
Hiyo mikwara muwe mnawatishia wachunga punda singida mashariki
"Wakili wa Kimataifa wa Tundu Lissu Ndugu Robert Amsterdam aelezea kitakachowakuta Kenge"

Tafadhalini Ndugu zangu msikilizeni
[emoji116]
 
Yanini kutueleza wakati kura ni siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…