Pre GE2025 CCM asilimia 95 tunamuunga Mkono Mbowe. Hatumtaki Lissu. Tunataka Mbowe agombee na Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni kutafuta huruma, kwamba akishindwa mseme sisiemu imemsaidia Mbowe
 
Kama umeusoma huu uzi wote nakumaliza fumba macho tuombe
 
Kwa uchambuzi wako mwana CCM mwenzangu. Nani anawafaa CDM. kati ya Mbowe na Lissu?
nadhan wenyeviti wa kanda walishaonyesha uelekeo kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kuufwata,

ni muhimu kusubiri matokeo ya uchaguzi 🐒
 
Nd
Ndege wa rangi moja huruka pamoja. Mbowe na ccm wote madikteta wajinga
 
Na pia Kuna Wana ccm wanamtaka kibaraka Lisu eg Slaa,Msigwa nk
Msigwa kibaraka tena? Wa cdm? Kumbuka yupo kwetu. CCM hawamtaki Lissu kabisa. Nawe unajua hilo nyuzi zako zimo humu ni Shahid. Lissu hafai nawe umerudia rudia mara nyingi.
 
Mtu mwenye sifa ya kupenda rushwa ataleta tofauti gani na CCM?
 
Huyu mwamba kacheza na fasihi lakini kuna watu hawajamwelewa.... Ni mwendo wa satire & irony
 
Hahahahaahahaha HEBU ncheke mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…