kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
wakimaliza kazi watavishwa taji 🐒Mawakala tangu wameanza zoezi la kuandikisha hawaja pata chochote licha ya kushiriki kikamilifu kufanya uhamasishaji , wanajigharamia wenyewe chakula na hakuna posho yeyote wamepewa kwa kazi hii hadi sasa , je? Hawakuwa na budget au kuna watu wa chama ngazi ya halimashauri wamekula? hebu tuifute aibu hii!
Hapana hawajalipwa tuwe wakwelili tukisaidie chama isije ikawa fedha zimetolewa na zimeishia kwa watu halafu watoto wa watu wapo kazini wanataabikaWameshalipwa Wote labda unazungumzia Vyama vya Upinzani
Ninyi mbona hamvalishani mataji bali mnajilipa miposho iliyo nona? Wakumbukeni na wanao kijenga chama huku chiniwakimaliza kazi watavishwa taji 🐒
Hatujuani mzee yawezekana wewe umeanza uanachama wakati wa usajili wa kidigitali wenzio tuna kadi za gamba na usajili wetu ni chini ya namba 20000Chama chako wapi wewe acha usanii. We sema umefata pesa.
Wizi mtupu.
Chama kina resources nyingi ni vizuri kuwakumbuka hawa wanao jenga chama ngazi ya mashinaNi vizuri mkajitolea kwa Chama, Chama kinajengwa na wanachama na sio Chama kutumika kwa Ajili ya matumbo ya watu.
Ili wakumbukwe inabidi wajitolee kwanza ili kuwaondoa wenye tamaa ya either kufanya kazi za Chama kutegemea return, lakini pia kupata viongozi wajao wenye uchungu na Chama.Chama kina resources nyingi ni vizuri kuwakumbuka hawa wanao jenga chama ngazi ya mashina
Raia hawajagoma labda umegoma wewe ,lakini raia wamejitokeza kujiandikisha kwa wingi kabisaSasa raia wamegoma kujiandikisha ulipwe na nini?
Haupo sahihi , wange wagharamia hata chakula tuu, maana hizo siku zote wameacha kutafuta chakula cha familia zao majumbaniKwani hawawezi kujitolea tu. Nyie ndiyo mnaendekeza matumizi mabaya ya fedha. Serikali iwalipe wandikishaji tena unataka chama kiwalipe hao wanaongalia tu.
Ofisi za chama wazijua,Raia hawajagoma labda umegoma wewe ,lakini raia wamejitokeza kujiandikisha kwa wingi kabisa
Unaelewa maana ya forum? , basi kulikuwa hakuna haja ya kuleta taarifa yeyote humu jamii forum maana kila taarifa inayo letwa ina ofisi zake . Acha ujuaji.Ofisi za chama wazijua,
Iweje uje kulalamikia JF?
mtu analipwaje kazi haijaisha gentleman 🤣Ninyi mbona hamvalishani mataji bali mnajilipa miposho iliyo nona? Wakumbukeni na wanao kijenga chama huku chini
Basi sawa yaishe ndugu.Unaelewa maana ya forum? , basi kulikuwa hakuna haja ya kuleta taarifa yeyote humu jamii forum maana kila taarifa inayo letwa ina ofisi zake . Acha ujuaji.