CCM Dodoma: Hakuna haja ya Katiba Mpya Tanzania kwa sasa, Katiba ya Mwaka 1977 bado inafaa

CCM Dodoma: Hakuna haja ya Katiba Mpya Tanzania kwa sasa, Katiba ya Mwaka 1977 bado inafaa

Dawa ni Kura ya Maoni ili Wananchi wenyewe waseme kama wanataka Katiba au la sio CCM Katiba ni ya Wananchi
 
Naunga mkono hoja,CCM ni chama mama kukitoa madarakani itakuwa ngumu,ikitokea siku hiyo dunia itasimama,hitaji la wananchi sio katiba Bali ni Maisha bora kwa kila mtanzania...
Kesho huyo unayesema fikra zake zidumu akisema anataka kuleta Katiba mpya, wewe na wapumbavu wenzako mtakuwa wa kwanza kupongeza na kuunga mkono.

Nyie Mataga misukule wafuata upepo mna akili fupi sana.
 
View attachment 1765327
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa​

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, imesema hakuna haja ya kuwa na Katiba Mpya kwa sasa kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 bado inafaa.

Kimesema katiba hiyo imewezesha kufanyika kwa mabadiliko ya uongozi wa juu serikali, Rais Samia Suluhu Hassan, akishika madaraka bila kuwapo na mgogoro wowote baada ya kutokea kwa kifo cha Rais John Magufuli.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mara baada ya kufanyika kikao cha halmashauri kuu hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Godwin Mkanwa, alisema:

"Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma tunaona Katiba hii ya toleo la 1977 bado inafaa sana na hakuna ulazima wa kuichokonoa, hakuna ulazima wa kutafuta Katiba Mpya wakati hii imetupitisha salama."

Mkanwa alisema katika Katiba Pendekezwa, kuna kifungu kinasema kuwa endapo Rais akifariki dunia akiwa madarakani, lazima zipite siku 90 na baada ya hapo uitishwe uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo.

"Halmashauri Kuu inaona kama Katiba Pendekezwa ingekuwa ndiyo Katiba inayotumika sasa, isingetutoa salama,” alisema.

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kufanyika Mkutano Mkuu wa CCM wa kumpitisha Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, halmashauri kuu hiyo ya Dodoma imewaomba wajumbe wa kumpitisha kwa asilimia 100 kutokana na uwezo alionao.

Mkutano huo maalum unatarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu jijini Dodoma.

Mkanwa aliwaomba wajumbe kumchagua kwa kishindo ili kumpa nguvu ya kutekeleza majukumu yake.

"Kama ambavyo tumemsikia kwa siku hizi 37 tangu awe Rais wetu, ameonyesha mwelekeo ambao kila mtanzania amekubali, tumchague kwa asilimia 100 ili sasa tumpe nguvu ya kutekeleza majukumu yake ipasavyo," alisema.

Vilevile, alisema halmashauri kuu hiyo imetoa azimio la kumpongeza Rais Samia na kumpa pole ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. Magufuli.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Haya sasa kakojoe ulale
 
Huyu akipekuliwa uskute Hana viungo vya uzazi vya kiume,unakuta aropokarpoka tuu..
Utadhani katiba ni mali Ya ccm....
 
CCM bana, hivi hawa jamaa huwa wanaogea kwa kutumia data halisi? mapungufu yote haya tuliyonayo mtu anasimama tena kwa ujasiri kabisa anasema katiba kwa sasa NO...

Jamani haya matumbo haya ni hatarii....
 
View attachment 1765327
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa​

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, imesema hakuna haja ya kuwa na Katiba Mpya kwa sasa kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 bado inafaa.

Kimesema katiba hiyo imewezesha kufanyika kwa mabadiliko ya uongozi wa juu serikali, Rais Samia Suluhu Hassan, akishika madaraka bila kuwapo na mgogoro wowote baada ya kutokea kwa kifo cha Rais John Magufuli.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mara baada ya kufanyika kikao cha halmashauri kuu hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Godwin Mkanwa, alisema:

"Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma tunaona Katiba hii ya toleo la 1977 bado inafaa sana na hakuna ulazima wa kuichokonoa, hakuna ulazima wa kutafuta Katiba Mpya wakati hii imetupitisha salama."

Mkanwa alisema katika Katiba Pendekezwa, kuna kifungu kinasema kuwa endapo Rais akifariki dunia akiwa madarakani, lazima zipite siku 90 na baada ya hapo uitishwe uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo.

"Halmashauri Kuu inaona kama Katiba Pendekezwa ingekuwa ndiyo Katiba inayotumika sasa, isingetutoa salama,” alisema.

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kufanyika Mkutano Mkuu wa CCM wa kumpitisha Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, halmashauri kuu hiyo ya Dodoma imewaomba wajumbe wa kumpitisha kwa asilimia 100 kutokana na uwezo alionao.

Mkutano huo maalum unatarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu jijini Dodoma.

Mkanwa aliwaomba wajumbe kumchagua kwa kishindo ili kumpa nguvu ya kutekeleza majukumu yake.

"Kama ambavyo tumemsikia kwa siku hizi 37 tangu awe Rais wetu, ameonyesha mwelekeo ambao kila mtanzania amekubali, tumchague kwa asilimia 100 ili sasa tumpe nguvu ya kutekeleza majukumu yake ipasavyo," alisema.

Vilevile, alisema halmashauri kuu hiyo imetoa azimio la kumpongeza Rais Samia na kumpa pole ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. Magufuli.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Apia wee duuh! wa Tz kufikiri wakati mwingine ni mzigo wala sikujua walakh
 
Watuambie

Kwa nini serikali ya CHADEMA kupitia Rais wake Tundu Lissu walitumia mabillioni ya Kodi yetu kuanza mchakato wa katiba mpya huku wakijua kuwa Katiba iliyopo inafaa...,?

CCM ulikuwa wapi kuwakemea CHADEMA?
 
katiba sio ndo solution ya mambo.inshu ni nchi na wananchi kuwa kitu kimoja.utaifa na uzalendo.Taifa likiwa na spirit ya utaifa kwanza na uzalendo ,watu watawaza kulijenga taifa na kulilinda kwa udi na uvumba,just like China.Naamini hiyo katiba inayoliliwa na wachache sio kwa muktadha wa kulilinda taifa ,Bali kwa muktadha wa namna ya kupenyeza maslahi ya wazungu.
uko vizuri nimekuelewa huo ndio uhalisia
 
View attachment 1765327
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa​

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, imesema hakuna haja ya kuwa na Katiba Mpya kwa sasa kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 bado inafaa.

Kimesema katiba hiyo imewezesha kufanyika kwa mabadiliko ya uongozi wa juu serikali, Rais Samia Suluhu Hassan, akishika madaraka bila kuwapo na mgogoro wowote baada ya kutokea kwa kifo cha Rais John Magufuli.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mara baada ya kufanyika kikao cha halmashauri kuu hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Godwin Mkanwa, alisema:

"Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma tunaona Katiba hii ya toleo la 1977 bado inafaa sana na hakuna ulazima wa kuichokonoa, hakuna ulazima wa kutafuta Katiba Mpya wakati hii imetupitisha salama."

Mkanwa alisema katika Katiba Pendekezwa, kuna kifungu kinasema kuwa endapo Rais akifariki dunia akiwa madarakani, lazima zipite siku 90 na baada ya hapo uitishwe uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo.

"Halmashauri Kuu inaona kama Katiba Pendekezwa ingekuwa ndiyo Katiba inayotumika sasa, isingetutoa salama,” alisema.

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kufanyika Mkutano Mkuu wa CCM wa kumpitisha Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, halmashauri kuu hiyo ya Dodoma imewaomba wajumbe wa kumpitisha kwa asilimia 100 kutokana na uwezo alionao.

Mkutano huo maalum unatarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu jijini Dodoma.

Mkanwa aliwaomba wajumbe kumchagua kwa kishindo ili kumpa nguvu ya kutekeleza majukumu yake.

"Kama ambavyo tumemsikia kwa siku hizi 37 tangu awe Rais wetu, ameonyesha mwelekeo ambao kila mtanzania amekubali, tumchague kwa asilimia 100 ili sasa tumpe nguvu ya kutekeleza majukumu yake ipasavyo," alisema.

Vilevile, alisema halmashauri kuu hiyo imetoa azimio la kumpongeza Rais Samia na kumpa pole ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. Magufuli.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Yupo sawa kwa upande wake, sab haimuathir! Sab hata walio pitisha kikokotoo wao hawalipi kodi kuanzia mshahara mpaka mafao yao!
 
Katiba sio takwa la Ccm ni haki/takwa la Watanzania. Watulize kama alivyosema yule jamaa wa Mbeya.
 
Kwenye maoni, wananchi walishasema Kuhusu wanataka Nini kwenye katiba mpya..

Mada Kwa Sasa je, Rasimu ya Warioba itekelezweje
 
View attachment 1765327
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa​

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, imesema hakuna haja ya kuwa na Katiba Mpya kwa sasa kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 bado inafaa.

Kimesema katiba hiyo imewezesha kufanyika kwa mabadiliko ya uongozi wa juu serikali, Rais Samia Suluhu Hassan, akishika madaraka bila kuwapo na mgogoro wowote baada ya kutokea kwa kifo cha Rais John Magufuli.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mara baada ya kufanyika kikao cha halmashauri kuu hiyo, Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Godwin Mkanwa, alisema:

"Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma tunaona Katiba hii ya toleo la 1977 bado inafaa sana na hakuna ulazima wa kuichokonoa, hakuna ulazima wa kutafuta Katiba Mpya wakati hii imetupitisha salama."

Mkanwa alisema katika Katiba Pendekezwa, kuna kifungu kinasema kuwa endapo Rais akifariki dunia akiwa madarakani, lazima zipite siku 90 na baada ya hapo uitishwe uchaguzi wa kujaza nafasi hiyo.

"Halmashauri Kuu inaona kama Katiba Pendekezwa ingekuwa ndiyo Katiba inayotumika sasa, isingetutoa salama,” alisema.

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kufanyika Mkutano Mkuu wa CCM wa kumpitisha Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, halmashauri kuu hiyo ya Dodoma imewaomba wajumbe wa kumpitisha kwa asilimia 100 kutokana na uwezo alionao.

Mkutano huo maalum unatarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu jijini Dodoma.

Mkanwa aliwaomba wajumbe kumchagua kwa kishindo ili kumpa nguvu ya kutekeleza majukumu yake.

"Kama ambavyo tumemsikia kwa siku hizi 37 tangu awe Rais wetu, ameonyesha mwelekeo ambao kila mtanzania amekubali, tumchague kwa asilimia 100 ili sasa tumpe nguvu ya kutekeleza majukumu yake ipasavyo," alisema.

Vilevile, alisema halmashauri kuu hiyo imetoa azimio la kumpongeza Rais Samia na kumpa pole ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. Magufuli.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Huyo jamaa, akapimwe akili, na msichukulie utani! Sab hata kichaa hsjui kua yeye ni kichaa! Kwan kwa ulimwengu huu amboa hata kuna kitu kinaitwa "climate change", yeye mwenyewe alivyo sasa ni tofaut na alivyo kua miaka kumi ikiyo pita, af anasema katiba haihitaji mabadiliko!!!? Mpekekeni hospitali.
 
Back
Top Bottom