MnyukanoTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Anaongoza mawaziri/wakuu wa taasisi kubwa ambao hawajala kiapo kwakewalipomwambia avunje baraza la mawaziri aanze upya na lakwake si alijitia mjanja? shauri yake
Inawezekana walikuwa wanamvimbisha kichwa sasa mgema kalitia maji.Mibavicha ndio haimtaki! Tena haimtaki kuanzia hapa juzi ila toka aapishwe mibavicha yote ilikuwa ndio kipenzi chao
Hata Magu mlisema hawamtaki 2020.Huu mnyukano ni mkali sana. Mama awe makini sana ndani ya chama hawamtaki 2025. Ajiandaee kisaikolojia.
Siyo kwamba walikuwa wanamvimbisha kichwa bali ndio uhalisia wenu!Inawezekana walikuwa wanamvimbisha kichwa sasa mgema kalitia maji.
Sasa hapo anahujumiwaje ,wakati ni maelekezo alipewa na yeye akakubali hatogombea 2025?Huu ndio ushahidi huyu mama anahujumiwa. Huu ni ushahidi kuwa hata ndani ya CCM ana upinzani mkali
Asiposhtuka itakula kwake mazima
Kwamba hao mawaziri ndio wanamhujumu?Anaongoza mawaziri/wakuu wa taasisi kubwa ambao hawajala kiapo kwake
Madhara yake ni haya
Nakumbuka alishauliwa sana akajiona much know
Hii habari kaiandika Shaka sio mimi.Umeandika kishabiki sana, as if Bwana Lowassa ndiyo anahama kipindi hicho mkambeba juu kwa juu
Nilishauri kuwa;Anaongoza mawaziri/wakuu wa taasisi kubwa ambao hawajala kiapo kwake
Madhara yake ni haya
Nakumbuka alishauliwa sana akajiona much know
Ungefanyareshufle kubwa, mnoo... [emoji3] [emoji3]Ningekua mimi mama samia ningewanyoosha mbogamboga yani ikifika 2024 wako hoi hakuna mwenye hamu na ikulu kudadeki.
Hakuna wakumpa maelekezo Amiri Jeshi na raia namba moja [emoji106]Sasa hapo anahujumiwaje ,wakati ni maelekezo alipewa na yeye akakubali hatogombea 2025?
Kwahiyo kuhujumiana ndilo toleo jipya la ngoma ya CCM, basi acha tuicheze hadi mwisho.Siyo kwamba walikuwa wanamvimbisha kichwa bali ndio uhalisia wenu!
Huwa mnacheza ngoma wanayopiga ccm kila siku
Wewe unamuhujumu huyu mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnataka kuaminisha uma kwamba kuna watu wana mhujumu mama.
Mwanzo mlifikiri hata kukamatwa kwa Mbowe ni hujuma ndani ya chama ila juzi mwenyewe kakiri anajua kila kitu!
Kivuli cha Magu bado kinawatandika. Yani hata baada ya Magu kufariki bado mnafikiri kushindwa kwenu ni kwa sababu yake.
Hao watu wanaomhujumu muwe mnawataja kwa majina na kwa vipi wanamhujumu
DahTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
et waswahili wanasema "meno ya mbwa hayaumani"Hii habari ingeandikwa na Tanzania daima leo leo waziri angelifungia kwa muda usiojulikana
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app