Hivi uongozi ni madegree?Tanzania ya 1961 ilikuwa ile yenye injinia 2, madaktari 2, n.k. Tanzania ya leo 2020 yenye graduate 500000 kwa mwaka unatuletea chama cha viongozi wa form 6!!!!!!!!!!!!!!!!! Rubbish!
hata makuwadi wa wakoloni nao walikuwa wakimkatisha tamaa hivi hivi Mwalimu (RIP mzee wetu) - kwamba eti Watnganyika wasingekuwa na uwezo wa kujitawala.Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?
Tafuta visingizio vyote lakini leo hii hatuhitaji form 6 kuunda na kuongoza chama kinachotaka kutshika dola.Hivi uongozi ni madegree?
Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?
Bila hata kutumia neno upuuzi, hivi nawe unaamini TZ inaweza tawaliwa na chama kama CHADEMA? CUF?, ACT?, TLP? DP? nk. Hebu nichagulie chama unachoona kinaweza tawala TZ mwaka huu 2020. Hawa akina LIssu tulioona wanaingiza dada zao Bunge la katiba? Hawa akina Zitto walioingiza mama zao bunge la Katiba? Hawa akina Mbowe wanaoumia usiku wa ulevi ktk umri huo?
Lakini bado hatujaona watu wa kuwapa kutawala ndiyo maana inaendelea kutawala
Ndio maana Mwl. Nyerere alisema, "I cannot let my country go to the dogs"!Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?
UPUUZI MTUPU! Hiyo tathmini kwamba upinzani hauna sifa ya kutawala Nchi uliufanya lini na wapi? Na ulitumia vigezo gani kufikia hitimisho lako? Tuondolee UPUMBAVU wako hapa!
Jee kwa maoni yako upinzani umejitayarisha kuchukua nchi? Tafadhari tuhabarishe ili tueneze injili.
Ukitaka kujua Upinzani ni hovyo hata CCM ikiwa dhaifu bado wanashindwa kuitoa. November utaona watakavyopotea. Inasikitisha.Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?
Upinzani ni cowards kama mnauchungu kweli tokeni nendeni mkadai haki zenu mkiendelee hivi mtakufa mnalalamika tu.Kichaa mwingine huyu hapa alikuwa na hadhi kubwa Nchini na ndani ya hicho chama cha wahuni, wezi na mafisadi lakini bila woga wala aibu alionyesha kutokuwa na imani na hiyo tume ya wahuni na majizi wenyewe mnaita Tume ya uchaguzi. Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu ZWAZWA wewe kwa sasa kichwa kimejaa kamasi.
View attachment 1577497
Usitoe sifa sana maana ANC inaongoza kwa rushwa na kuiangusha SA kiuchumi kiasi hata familia moja ya wahindi kushikilia uchumi wa nchi. CCM hali ikoje? Unawakumbuka akina Rostam Aziz hadi kuitwa waweka hazina wa CCM? Wakaingiza wabunge kwa pesa yao na kuwapa uwaziri watu wadhaifu kabisa kama akina Ngereja? Kwa ujumla vyama hivi vikongwe, vimekuwa ni vichaka vya rushwa na vikwazo vya maendeleo.Hufai wewe...katika vyama bora Africa CCM ni namba one, wakifuatiwa na ANC
Nakuunga mkono! Hawa ni wapinzani hovyo!! CDM ilipopata wabunge wengi ikaamini itaendelea kupaa na haikuhitaji vyama vingine kwenye serikali kivuli. Mbowe akaanza kupozi kama naye ni rais. Wameanguka sasa haonekani hata majukwaani.Ukitaka kujua Upinzani ni hovyo hata CCM ikiwa dhaifu bado wanashindwa kuitoa. November utaona watakavyopotea. Inasikitisha.
Aah, wapi!!!Jee kwa maoni yako upinzani umejitayarisha kuchukua nchi? Tafadhari tuhabarishe ili tueneze injili.
Hata M/kiti haijulikani yuko wapi! Juzi tu wakichagua viongozi Mlimani City, walijidai kuimarisha chama 'kisayansi.' Sijui ilikuwa sayansi gani hiyo kwa wasiomaliza shule. Leo hii Mgombea anatwanga mitaani peke yake kwa magari. CCM wameiona hiyo, wnakanyaga kwa umoja; M/kiti, waziri mkuu na makamu wa rais. wao ni mmoja kona zote amalize kilometa za mraba zaidi ya laki 9! Wazembe tu!Jee kwa maoni yako upinzani umejitayarisha kuchukua nchi? Tafadhari tuhabarishe ili tueneze injili.
Huoni maana yake? Tayari wanatawala!!..mtoa mada unajichanganya.
..kama ccm haifai, maana yake haina sifa za kutawala.
Huoni maana yake? Tayari wanatawala!!