CCM haihitaji Katiba Mpya hata kidogo inahadaa umma ili kuusahaulisha na mambo ya Loliondo

CCM haihitaji Katiba Mpya hata kidogo inahadaa umma ili kuusahaulisha na mambo ya Loliondo

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
 
Hiyo ni danganya bwege, wanajua wananchi kwa sasa wanafuatilia kila kitu katika mambo yanayoendelea nchini.

Kuwatoa kwenye reli, na kufanya waanze kuimba katiba mpya.
 
Nimekulia hapa hapa tz, sijafika hata Burundi, lakini lazima niseme sijui kama kuna watu wanajiofanya wanajua na wasioeleweka kama watz ni kulalama lalama tuuuu muda wote kama wanawake walioolewa matala.

Hatueleweki tunataka nn, tunasimamia nn na wala tunamuhitaji nani.

Kwenye huu ujinga wa kuongeaongea kingese, nitaendelea kuihusudu ile mbinu ya marehemu ya kuwafirimbia mbali waropokaji maana hakuna maana na wala hakuna utofauti.
 
Wameongezea na operation ya uhamiaji ya 10 days ngoja tuone ngonjera zao za kuwahadaa walipa kodi!
Yaani, badala ya kutumia busara zaidi kwa kuwashirikisha wananchi wa maeneo hayo, na kujaribu kuwapa mantiki ya zoezi lako linaloendelea, sasa mie naona vile kutumia 'nguvu na raslimali nyingi' unnecessarilly' kama ndio italeta suluhisho la kudumu. Sie masikio yetu tu, labda 'wahamiaji ndio sababu kuu ya vurugu.

Hahahahaaaa..kaazi kwelikweli.
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
Kumbuka msemo wa Sugu; au huu: "tumbo likichafuka lazima uende wapi? Na usipoenda ndiyo mwisho wa safari yako!"
Kwahiyo kuhusu ajenda ya Katiba mpya wabishi wamefika hapo.[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?

Mchawi mpatie mtoto wako amlee. Tuwaachie wenyewe CCM tuone mwisho wa uongo wao utakuwa wapi?
 
Nimekulia hapa hapa tz, sijafika hata Burundi, lakini lazima niseme sijui kama kuna watu wanajiofanya wanajua na wasioeleweka kama watz.........ni kulalama lalama tuuuu muda wote kama wanawake walioolewa matala. Hatueleweki tunataka nn, tunasimamia nn na wala tunamuhitaji nani!
Kwenye huu ujinga wa kuongeaongea kingese, nitaendelea kuihusudu ile mbinu ya marehemu ya kuwafirimbia mbali waropokaji maana hakuna maana na wala hakuna utofauti.

Peleka udikteta Burundi na rwanda. Yani Uhuru wa maoni unaingilia. Ruhusuni watu waseme hata yasiyiyokupendeza.
 
Kama sikosei Chadema na baadhi ya Watanzania walitamani tuwe na mridhiano na suala la katiba mpya, kwa awali ccm wamekubali sasa kama ni danganya toto au kweli hiyo watajua ila ni kuwa kinachohitajika naona ndio process zimeanza.

Kama Chadema wanaijua ccm kuwa katiba mpya hawaitaki sasa walijadili nao ili iweje??? Kikubwa tusubiri tuone lolote linaweza kutokea
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
Inawezekana pana ukweli fulani kwenye hoja yako ila napenda ufahamu kuwa suala la Katiba Mpya ni letu Wananchi na siyo suala la CCM.Mgogoro wa Ngorongoro ni kati ya Wananchi na serikali ya CCM ambayo imeshauza ardhi ya Wananchi kwa wawekezaji na tutasimama nao hadi kieleweke.
Nikukumbushe kuwa tukiandika Katiba Mpya ya Wananchi tutaweza kudai vyote yaani ardhi ya Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar ni mali ya umma/Wananchi,kila mwenye nchi anayo haki ya kuishi popote katika JMT hivyo hakutakuwa na migogoro ya kuchonga kama iliyotokea Kimara,Ngorongoro nk.
Serikali inapomhamisha mwenye nchi itatakiwa alipwe fidia atakayoihitaji/stahili na itakuwa ndani ya Katiba yetu Mpya/kisheria.Unyakuaji wa ardhi umesababisha adha kubwa sana hapa nchini tangia Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar.
KATIBA MPYA ni sasa.
 
Wameongezea na operation ya uhamiaji ya 10 days ngoja tuone ngonjera zao za kuwahadaa walipa kodi!
Hapa Tanzania kila anayehoji lolote linalotendwa na serikali ya CCM anapatikana na hatia ya kutokuwa raia,uchochezi au kukwepa kodi/uhujumu uchumi.
Hivi Watanzania tangia tupate Uhuru hatufahamu haki zetu na kila anayesema ukweli au mwenye hoja tofauti na serikali ya CCM siyo raia?
Hata Wamasai wanaoongea Kiingereza,Kifaransa,Kijerumani au Spanish anakuwa siyo Mtanzania?Elimu ya Watanzania tangia 1961 ilikuwa inafundisha ujinga?
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
Mama hana tamaa ya madaraka, hana roho ya kukunja subiri uone show. Alishasema kuwa atafanya maamuzi ambayo anajua yataathiri hata nafasi yake ya Urais uchaguzi ujao ila hajali.
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
Wameiiba katiba mpya kama walivuofanya wakati ule.CCM hawawezi kutaka katiba mpya.
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?

Kizazi kilichopo cha wapinzani hakina political readiness ya kwenda toe to toe na CCM. Wataendelea kukumbuka shuka kukishakucha!
 
Kwanza naomba kuweka tahadhali kuwa upumbavu sio tusi bali ni hali ya kutokumia akili ili kug'amua na kufanya maamuzi sahihi.

Mdee na wenzake wamepigwa chini kwenye ombi lao sasa ndio nini?

Mnapiga mayowee kama vile hamna akili? Mnasahau kuwa katiba ya nchi inasiginwa kila siku? Very stupid.

Duru za ndani zinadai kuwa Ngorongoro kuna crisisi kubwa na shaba zilitembea.

Wamasai kibao wameumizwa na kupotea japokuwa ukweli hauwekwi wazi. CCM wameona walinyamazishe hili kwa danganya toto ya katiba mpya.

Ccm hii ikubali kuwa na katiba itakayoruhusu tume huru? Itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa na wakurugenzi wasiibe uchaguzi?
Hilo nalo ni swali fikirishi !!
 
Mama hana tamaa ya madaraka, hana roho ya kukunja subiri uone show. Alishasema kuwa atafanya maamuzi ambayo anajua yataathiri hata nafasi yake ya Urais uchaguzi ujao ila hajali.
Akiweza atakuwa amejitengenezea legacy kubwa ya kukumbukwa !! Narudia ! Akiweza !!
 
Back
Top Bottom