KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
CCM haimiliki chochote zaidi ya watu wa aina yakonenda mahakamani, lakini ujue hiyo halmashauri nayo ni mali ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM haimiliki chochote zaidi ya watu wa aina yakonenda mahakamani, lakini ujue hiyo halmashauri nayo ni mali ya CCM
Chama cha MajiziSiyo huo tuu, uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha ulijengwa na askari mstaafu wa Kiingereza Colonel Middleton na baadaye akaukabidhi kwa Arusha Township Counsil lakini haya majizi wame unyakua kwa nguvu.
Thibitisha kama Heci ni mzee wa vijiweniuna shilingi ngapi hadi muda huu mleta uzi? ndio nyie mnakaa kwenye vijiwe vya retco, sokomatola , panapouzwa magezeti na washona viatu na kupiga stori za kijinga sana , wewe una hakika hati ya ardhi ya eneo hilo inasomaje ,
Kinyimeni kura, kikataeni chenyewe na katiba yake ya 1977Mimi toka Jana nalalamika hii CCM imepora mashamba ya wananchi Sae uko uko Mbeya hivi ichi chama kina nini?
Thibitisha kama Heci ni mzee wa vijvijiwe
Kwanini wakubali kuporwa kibwege ?Wananchi Wajenge uwanja mwingine tu
Please attach the title deedhuyu ni mtu wa kijiweni huoni hoja za kitoto hizi anazatoa, kuanza kufikiri kiwanja kinamilikiwa na nani huku hajui hati ya umiliki inasomaje ni kipimo cha kuwa huna kazi maalumu mjini
Hebu wewe mwenyewe hati ya kiwanja, kwa heshima na taadhima twakuomba uiwekehuyu ni mtu wa kijiweni huoni hoja za kitoto hizi anazatoa, kuanza kufikiri kiwanja kinamilikiwa na nani huku hajui hati ya umiliki inasomaje ni kipimo cha kuwa huna kazi maalumu mjini
HapanaKwani hivi viwanja vingine wanavyo miliki walijenga wao ?[emoji848][emoji848]
Likewise:Sisi wana Mbeya ni wahanga wa matukio ya kibabe ya kidhalimu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na chama hiki mumiani. Miongoni mwa udhalimu huo ni kuporwa kwa uwanja wa wananchi, uwanja wa Sokoine kisha CCM kujimilikisha.
Uwanja wa Sokoine ulijengwa na wananchi wa Mbeya Mjini, kisha ukapewa jina la uwanja wa Mapinduzi, kabla ya mwaka 1984 haujabadilishwa jina na kuitwa uwanja wa Sokoine, baada ya kifo cha waziri mkuu ndugu Edward Moringe Sokoine.
Wananchi walihamasika kujenga uwanja huu kwa nguvu zao wenyewe baada ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kukataa msaada wa kujengewa uwanja wa kisasa na serikali ya China kwa sharti uitwe kwa jina la kiongozi wao, Mao Tse Dong.
Wananchi ndio walichanga fedha zao, walifyatua matofali, na walijitoa kikamilifu kwa moyo mmoja hadi kukamilika kwa uwanja. Mwaka 1992 Augustino Lyatonga Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alitembelea mkoa wa Mbeya na kuhutubia kwenye uwanja wa Sokoine.
Kipindi hicho ndio vyama vya upinzani vimeruhusiwa kufanya siasa. Akaikuta bendera ya NCCR MAGEUZI inapepea uwanjani hapo, sanjari na bendera bendera ya Taifa huku bendera ya CCM ikiwa haipo kabisa uwanjani hapo.
Mrema kwa hasira akasema hawezi kuhutubia bendera ya chama pinzani ikiwa inapepea. Akaamuru bendera hiyo ishushwe na kuanzia hapo uwanja ni mali ya CCM.
NCCR MAGEUZI ni chama kilichokubalika sana enzi hizo mkoani Mbeya, kiliweza kuibwaga CCM kwenye uchaguzi wa diwani jimbo la Mbeya Mjini chini ya mgombea wake Mwalimu Polisya Sikumbula Mwaisyeje.
Sasa ni wakati sahihi kwa CCM kurejesha kwa wananchi uwanja huo, kwani haujawahi kuwa mali yao na wala CCM haikuwahi kuutolea jasho kwa namna yoyote.
Uwanja wa Sokoine sio mali ya CCM, Mbeya sio mali ya CCM. kataa CCM, kataa dhuluma.
Following the dissolution of the former East African Community in 1977, the Member States negotiated a Mediation Agreement for the pision of Assets and Liabilities, which they signed in 1984.WWewe
Wewe mwandishi ulikua Chama gani Cha siasla wakati uwanja wa sokoine unajengwa?Hivi wakati jumuiya ya afrika mashariki inavunjika Mali zake zilirudishwa nchi ganii?
Wananchi bado wako, tena wako wengi kwani idadi yao imeongezeka; kama nchi bado tuhahitaji viwanja tena vingi, onyesheni uwezo wenukwa kuhamsisha watu wasombe mawe mjenge viwsnje kwanimaeneo yako mengi- ila kwa vile akili yenu imeishia kwenye maandamano mtabaki kusema viwanja n vyenu.Sisi wana Mbeya ni wahanga wa matukio ya kibabe ya kidhalimu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na chama hiki mumiani. Miongoni mwa udhalimu huo ni kuporwa kwa uwanja wa wananchi, uwanja wa Sokoine kisha CCM kujimilikisha.
Uwanja wa Sokoine ulijengwa na wananchi wa Mbeya Mjini, kisha ukapewa jina la uwanja wa Mapinduzi, kabla ya mwaka 1984 haujabadilishwa jina na kuitwa uwanja wa Sokoine, baada ya kifo cha waziri mkuu ndugu Edward Moringe Sokoine.
Wananchi walihamasika kujenga uwanja huu kwa nguvu zao wenyewe baada ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kukataa msaada wa kujengewa uwanja wa kisasa na serikali ya China kwa sharti uitwe kwa jina la kiongozi wao, Mao Tse Dong.
Wananchi ndio walichanga fedha zao, walifyatua matofali, na walijitoa kikamilifu kwa moyo mmoja hadi kukamilika kwa uwanja. Mwaka 1992 Augustino Lyatonga Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alitembelea mkoa wa Mbeya na kuhutubia kwenye uwanja wa Sokoine.
Kipindi hicho ndio vyama vya upinzani vimeruhusiwa kufanya siasa. Akaikuta bendera ya NCCR MAGEUZI inapepea uwanjani hapo, sanjari na bendera bendera ya Taifa huku bendera ya CCM ikiwa haipo kabisa uwanjani hapo.
Mrema kwa hasira akasema hawezi kuhutubia bendera ya chama pinzani ikiwa inapepea. Akaamuru bendera hiyo ishushwe na kuanzia hapo uwanja ni mali ya CCM.
NCCR MAGEUZI ni chama kilichokubalika sana enzi hizo mkoani Mbeya, kiliweza kuibwaga CCM kwenye uchaguzi wa diwani jimbo la Mbeya Mjini chini ya mgombea wake Mwalimu Polisya Sikumbula Mwaisyeje.
Sasa ni wakati sahihi kwa CCM kurejesha kwa wananchi uwanja huo, kwani haujawahi kuwa mali yao na wala CCM haikuwahi kuutolea jasho kwa namna yoyote.
Uwanja wa Sokoine sio mali ya CCM, Mbeya sio mali ya CCM. kataa CCM, kataa dhuluma.