Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Issue ya viwanja ngumu Sana. Sikujenga uwanja WA majimaji lkn Baba yangu wakati huo walishiriki KAZI ya ujenzi wa uwanja huu kwa majitoleo. Cha kushangaza Timu imeachwa ipamambane lkn uwanja wakachukua.
Kimsingi aliyeleta madhara yote haya ni Yule yule aliyeshauri Mali zote zilizomilikiwa na chama wkt wa mfumo WA chama kimoja ziende Serikalini tar 1.7.1992 vilipoanza vyama vingi vyama vyote vianze upya. Ccm hawakukubali kukabidhi Mali zote hizo vikiwemo viwanja na majengo. Ila naamini ni suala la Muda Tu. Atatokea Rais hukohuko Ccm mwaka wake atakabidhi kwa upendo Tu ili mambo yasiwe mengi
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Kimsingi aliyeleta madhara yote haya ni Yule yule aliyeshauri Mali zote zilizomilikiwa na chama wkt wa mfumo WA chama kimoja ziende Serikalini tar 1.7.1992 vilipoanza vyama vingi vyama vyote vianze upya. Ccm hawakukubali kukabidhi Mali zote hizo vikiwemo viwanja na majengo. Ila naamini ni suala la Muda Tu. Atatokea Rais hukohuko Ccm mwaka wake atakabidhi kwa upendo Tu ili mambo yasiwe mengi
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app