CCM haikujenga uwanja wa Sokoine Mbeya, iliwapora wananchi. Uwanja urudishwe kwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

Issue ya viwanja ngumu Sana. Sikujenga uwanja WA majimaji lkn Baba yangu wakati huo walishiriki KAZI ya ujenzi wa uwanja huu kwa majitoleo. Cha kushangaza Timu imeachwa ipamambane lkn uwanja wakachukua.
Kimsingi aliyeleta madhara yote haya ni Yule yule aliyeshauri Mali zote zilizomilikiwa na chama wkt wa mfumo WA chama kimoja ziende Serikalini tar 1.7.1992 vilipoanza vyama vingi vyama vyote vianze upya. Ccm hawakukubali kukabidhi Mali zote hizo vikiwemo viwanja na majengo. Ila naamini ni suala la Muda Tu. Atatokea Rais hukohuko Ccm mwaka wake atakabidhi kwa upendo Tu ili mambo yasiwe mengi

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Ikirudi halmashauri si ndiyo hao hao ccm [emoji1]

Ova
 
Uwanja wa biafra wenyewe wameuchukua lakini haukua wao

Ova
 
Hata majimaji songea tulishiriki kubeba matofali Yali fyatuliwa MTO matarawe,jeshi walitugawia maharage ya kopo na biskuti ngumu Sana kutafuna.
 
Kwahiyo uwanja uwe Mali ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…