Uchaguzi 2020 CCM haina uwezo wa kumuondoa mgombea yeyote kwa sababu ya kutoa rushwa, labda iwe kwa sababu nyingine

Hawa watu wameoza kwa rushwa!

Ccm hawastahili kuwepo uraiani, wote kuanzia mwenyekiti wao mpaka mfagiaji wa Lumumba!

Wamewaaminisha watanzania kuwa upinzani ni dhambi, ujinga wa watanzania ndo mtaji wao wa kisiasa
 

Unahisi chadema ndo watakaonyooka? huoni mmeanza nyie kunyooka hadi unafikiria kufanya upuuzi ambao haumithiliki? vipi akimaliza miaka yote hiyo unayofikiria kumpa then akaja kiongozi wa hovyo zaidi? mtabadilisha tena iwe miaka miwili? GrowYourBrainUpDude!
 
Yametimia
Talimba
Taletale
Shigongo
Zungu
Mwakasaka
👆Walitoa rushwa

Badala yake ameunguliwa kapuya kawekwa mkwewe mkulu, au kimei kapata upendeleo, silinde na gekul
 
Yametimia
Talimba
Taletale
Shigongo
Zungu
Mwakasaka
👆Walitoa rushwa

Badala yake ameunguliwa kapuya kawekwa mkwewe mkulu, au kimei kapata upendeleo, silinde na gekul
Mgombea wa ccm kyela aliongoza kwa kutoa rushwa nzito zikiwemo pikipiki kwa makatibu kata wote
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…