CCM hatutakubali taswira ya Rais kuchafuliwa, kuruhusiwa mikutano isiwe kisingizio

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
 
Kuna majitu yalitakiwa kubaki porini huko yahangaishane na wanyama wenzao kama Sokwe, Nyani, Tumbili...lakini mapenzi ya Mungu yamewafanya waishi na binadamu wenzao wenye utashi wa kibinadamu, lakini bado yanaishi na fikra za wanyama wasiostarabika mbele za binadamu.

Rais alikuwa na akili timamu kuliko nyinyi majnun wahed. Ukiona jitu kama wewe linakuja kuonya baada ya tamko rasmi la Rais/ matakwa ya katiba, ujue jitu hilo ni limbumbumbu au lina roho ya Sokwe au Nyani basi tu tunaishi nalo mtaani kwa bahati mbaya.

Hebu nyinyi mbumbumbu wachache wa CCM tumieni akili sio vitisho.
 
Ushanza kufoka hata kabla ya mikutano yenyewe kuanza!!.....

Ccm ni chama kama vyama vingine.... Tofauti ni kwamba ni chama tawala.... Japo uongozi wenu ulijipa cheo cha kukataza mikutano lkn katiba bado ina ruhusu...... Subiria waanze ndo uje acha kujitesa na mawazo ya kufikirika

Kakonko vipi..hakuna changamoto huko...ni vyama vya upinzani ndo tatizo tu!
 
Mbona mmeanza kujihami mapema hivyo?. Mnajua bibi alikuwa anazunguka huko duniani na hakuna lolote alilofanya mnafikiri upinzani utaacha kusema ukweli?. Mnafikiri watageuka chawa na kuanza kumsifia?.
 
Watu wako makini na taifa lao, Urais ni kitu GANI ? Taifa kwanza Urais uja na kuondoka ila taifa lipo miaka nenda Rudi ,acheni Mambo ya kitoto nyie mjiitao Wana ccm
 
Umeandika upumbavu mwingi sana. Mikutano ipo kikatiba, kama kuna watu wanachafua taswira ya Rais ni wa huko huko CCM ambao wamechukizwa na maridhiano yanayoendelea na si wengine bali ni wale wafuasi wa marehemu maarufu kama Sukuma Gang. Na tunazo taarifa zenu kuwa mumeandaa watu wa kuja kuleta fujo kwenye mikutano yetu ili ionekane kuwa mikutano hiyo ni chanzo cha uvunjifu wa amani ili kuweka uhali wa zuio haramu la mikutano hiyo kama alivyowadanganya yule mwovu.
 
Watu kama wewe ndio mnafanya ccm ionekane ni Chama Cha Mambuzi.
 
Nakufananisha na kahaba mmoja hivi tena mpumbavu kabisa. Wewe ni nani nchi hii?
 
Mental illness. It is called MNS, meaning Mental, Neurological disorder and Substance misuse(abuse). Ndicho kinachokusumbua mkuu. Ila usikate tamaa, matibabu yapo na unapona. Pole.
 
Nilijua hamtakubali kuchafuliwa kwa mwenyekiti wa CCM
 
Mbona hujiamini, unatapatapa kana kwamba unataka kuzama kwenye maji.
 
Ni vizuri sasa wasaidizi wa Rais wakamsaidia kwa ushauri ili asije akaboronga.

Rais ni mtu na si MTAKATIFU
 
Atakae mkashfu rais sheria zipotu, ashughulikiwe kikamilifu.

Ujingawako umeanzia hapo kwenye hiyo list, hukuwa na haja ya kuwaweka ACT sababu huyo zito ni sehemu ya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…