CCM hatutakubali taswira ya Rais kuchafuliwa, kuruhusiwa mikutano isiwe kisingizio

CCM hatutakubali taswira ya Rais kuchafuliwa, kuruhusiwa mikutano isiwe kisingizio

Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Hivi unakaa Kakonko ipi na busara ndogo kiasi hiki? Kakonko ninayoijua Mimi, Busanda au Magamba?
 
Kama wewe ndo umepewa jukumu la kutangaza matokeo Basi mtashinda majimbo yote
 
Wale akina MABULA wa Ilemela na Nyamagana pressure imegoma kushuka.

Kila utakalowauliza wanajibu "mama" utadhani mama ndo atagombea ubunge ktk majimbo yao😃😃
 
Kuna nchi Afrika mashariki inaongozwa na Mapaka
022051WA0004jc_1.jpg
 
Kama ccm itakaa kimya marais wastaafu au marehemu kukashifiwa majukwaani kwa uongo basi wawe tayari kuona samia naye anakashifiwa.
Wapo wananchi wapo tayari kuwavaa wapinzani kama lissu wakileta zao za kumkashifu jpm nakuleta propaganda za kizandiki kama walivyoandaliwa huko the hague na mabeberu.
Jpm hakuwa malaika, tutaanika usanii wake hadharani
 
Hivi unakaa Kakonko ipi na busara ndogo kiasi hiki? Kakonko ninayoijua Mimi, Busanda au Magamba?
Wewe unajua Kakonko ipi,chatuna Busanda (Kasanda); Magamba (Mabamba) hata hivyo hii iko Kibondo.
Wapi nimekosa busara?
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Rais mwenyewe anakiri kuwa ni mchafu na ana chawa wengi
 
Bangi tu hizo, ungejua ccm ilivyo chosha watu ungekaa kimya tu badala ya kuandika huu upumbavu uliyo andika.

Ccm mpaka wanaamua kufanya kazi ya kuiba kura kwenye kila uchaguzi, wanajua maana yake.
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Sisi watanzania wenye akili timamu hatuwezi kukubari kiongozi wetu wa nchi akachafuliwa kwaiyo asieweza kufranya siasa za kistaarabu ataaga mashindano mapema sana
 
Sisi watanzania wenye akili timamu hatuwezi kukubari kiongozi wetu wa nchi akachafuliwa kwaiyo asieweza kufranya siasa za kistaarabu ataaga mashindano mapema sana
Exactly!
Lzm ustarabu tuupe kipaumbele cha kwanza - hawa CDM hawa only time
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Kaa ulee ujauzito wako dada angu mambo ya kujifanya unapiga mkwala wakati ur just a fuckn Lady ni kujivunjia heshima dada angu better ukae kimya kuficha stress zako narudia ur just nothing
 
Kama mtu ni msafi, uchafu anakuwanao kivipi? Kwani makubaliano si hoja kwa hoja, na sio hoja kwa mtutu wa bunduki!
 
Back
Top Bottom