CCM hatutakubali taswira ya Rais kuchafuliwa, kuruhusiwa mikutano isiwe kisingizio

CCM hatutakubali taswira ya Rais kuchafuliwa, kuruhusiwa mikutano isiwe kisingizio

Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Watakashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Kunguni...
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Watakashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
kawatishe babu yako na bibi yako huko kijijini kwenu sitimbi.
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Watakashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Uelewa wako mdogo sana kuhusu Mikutano ya Kisiasa
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Natumai wewe ni mmoja wa waanzilishi wa.. CHAWA WA MAMA!!!
 
Natumai wewe ni mmoja wa waanzilishi wa.. CHAWA WA MAMA!!!
Hapana, hata fasiri ya neno chawa siifahamu ila kweli nina vimelea vya CCM
Hata hivyo opposition parties nawapenda pia na siungi dhuruma dhidi yao
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Wewe ni kiazi....
 
Teuzii zimeishaaa, kaa kwa [emoji360].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Acha unaa wewe!
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Umeandika weye peke yako au mlikuwa chawa mmejikusanya?
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Kama ccm itakaa kimya marais wastaafu au marehemu kukashifiwa majukwaani kwa uongo basi wawe tayari kuona samia naye anakashifiwa.
Wapo wananchi wapo tayari kuwavaa wapinzani kama lissu wakileta zao za kumkashifu jpm nakuleta propaganda za kizandiki kama walivyoandaliwa huko the hague na mabeberu.
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Kuna nini mbona mnajihami mno? Subirini mikutano ianze mjibu hoja kwa hoja
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Muanze nyinyi kwanza kuacha kuchafua image za watu huku mitaani maana tunasikia mnacho kitengo maalumu cha kuchafua watu wale mnaowaogopa !!
 
Wana JF salaam,

CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Wataokashindwa kutumia Uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kuanza siasa za kupakana matope, kuzuliana, na kukashifu kiti cha Rais; nasema CCM tutashughulika nao. Lakini pia ifahamike kwamba CCM hatupo tayari kupoteza Jimbo hata moja la uchaguzi ifikapo 2025. So, ndoto zenu zipunguzeni. Nitarudi kuwakumbusha.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Basi na mkemee yale ambayo yanachangia kuleta uhasama kwa jamii ya Mtanzania, yale ambayo ni hatarishi kwa afya ya Jamii za Watanzania! Msijizimie akili na kutazama Raisi tu au Dola tu ndizo sehemu mku tayari kuchora mstari chini....

Watanzania/Wananchi ndiye aliyewapa dhamana hivyo basi tunawategemea mtetee image ya Watanzania wote na sio Ofisi kuu tu! msitukoroge wapiga kura kwa vita zenu baridi baina yenu. Wacheni hadaa.
 
Back
Top Bottom