CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Lisu huyo ndiye kaleta shenzi huo wte.

LISU ANAROPOKA
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Usilinganishe ccm na vyama vingine kwa kuwa kitu cha kwanza ni chama kilichokaa madarakani ivyo kinapata sapoti kutoka kwenye vyombo vya Dola kumshughulikia yeyote anayekwenda tofauti nao,,pili ni chama kikongwe kinajua Kila aina ya figisu na namna ya kuzikabili kimfumo,,kwa maana iyo uwezi kuwalinganisha na hivi vyama vingine ambavyo havina resource za kutosha,,wakati huo njaa ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani inatumiwa na chama tawala kuvivuruga vyama ivyo!
 
1. Tunataka kutoka katika ushetani huo
2. Tunataka usafi uanzie ndani ya chama hadi serikalini.
3. Kwa tabia hiyo ya ccm ndio maana taifa limeoza kwa rushwa na hakuna msafi wa kukemea.
4. Timeanza matengenezo yenye maumivu makali kwa kuanza kusafishana uvundo wa miaka mingi ndani ya chama.
5. Mbowe pumzika imetosha umekula sana na genge lako
 
:su huyo ndiye kaleta shenzi huo wte.

LISU ANAROPOKA
Walimkosea toka mwanzo, the monster they created...

Walishindwa kuelewa wakati wanapokea michango uchwara ya Diaspora na kuwauzis platnum cards kuna siku watawageuka ..

CDM imeshindwa kuwawekea viongozi wake strings na ndio hayo tunayoyaona ya ku ropoka kwa excuse ya Democracy...

Makamu wa CCM amechomolewa umesikia bla bla

Wabunge kibao na watendaji kibao wametemwa, umesikia blabla? Ni nguvu ya dola na strings attachments..

Back up ya CDM ni umma, na TL amefanikiwa ku brain wash wengi, njia pekee ni kumuegesha hapo kwa muda huku dawa ikichemshwa
 
DEMOKRASIA ya CHADEMA ndio Demokrasia halisi, hata US watu huwa wanapeana MAKAVU hadharani, haya mambo ya kufichaficha ya CCM ni Legacy ya Ukomunisti wa Nyerere ya kuogopana.

Kudos CHADEMA kwa kuweka mambo hadharani kudos Lissu kwa kuwaumbua wala RUSHWA, huko CCM wala RUSHWA wanalindwa na kwenye Vikao vyao vya ndani ukiwasema wala RUSHWA unatengenezewa Zengwe au hata kuwekewa Sumu kwenye Kinywaji au Chakula.
 
Membe aliwavua nguo mchana kweupe kabisa

Kolimba je? Mpaka akauwawa

Amnina chifupa je? Mpaka akauwawa

Hakuna kitu Kama hicho watu wajinga wajinga ndio uwa hawaelezi ukweli na ndio wengi CCM halafu na wengi ni mafisadi ndio maana uwa wanaogopa wakijua kabisa wakiongea tu kinaumana!!!
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.

..Ccm kuna nidhamu kwasababu Mwenyekiti ni Amiri Jeshi Mkuu kwa hiyo ukileta za kuleta anakutumia wanausalama.

..sijui kama unakumbuka tukio la Hussein Bashe kutekwa kabla ya vikao vya Ccm. Sasa mazingira kama hayo ndio yanayofanya Ccm waufyate na waonekane wana nidhamu.
 
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sawa Cute Wife, huko CCM hakuna mwenye ujasiri wa kumrushia mwenziye vijembe, ili iweje?
Unamtoleale mwana CCM mwenzako kibanzi kwenye jicho wakati mwenyewe una gogo jichoni!
Mwana CCM ni ruhusa kula kwa urefu wa kamba halafu atokee mtu analeta za kuleta, thubutu!
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
CHADEMA wa safari ya miaka 60 ya kujifunza toka CCM.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Ccm sio chama cha siasa tu, ni dola, na vyombo vyake vyote vyenye "monopoly of violence" Ukijitoa, ukawasema vibaya, hawaishii kukufukuza chamani, watakuyengenezea kesi, rejea kesi za kunyanganywa mashamba za Sumaye, au wakuue covertly, rejea kifo cha Holace kolimba, usilingsnishe apples na machungwa,
Zito alipofukuzwa chadema,ilishia hapo tu, chadema hawawezi kutuma polisi, TRA, wamsumbue Zito! Jikanyage ccm, TRA, uhamiaji, polisi, watakufata kila kona, kwa, mashitaka ya kubumba mpaka uombe pooo!
 
Issue ya matusi ba hasira sijui role model wao nani wanakera sana. Tangu aondeke Dr. Slaa vijan wamekosa busara na chama hata sera zake hazieleweki ni nini? Chadema hata hawajui walijikwaa wapi, nawashauri watembelee nyota ya JPM la sivyo ACT wakifanya hivyo Chadema watapoteana mwakani.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile)
.

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Chama cha kidikteta ndio sifa yake kuu hiyo - unayoifurahia. Na sio suala la chama, bali ni vigenge modeli ya kimafia ndivyo yanavyodhibitiana ndani ya CCM. Ni totalitarianism tu. Ukipishana na walio juu yako unakiona cha mtema kuni. Halafu hawafanyi kimya. Tunasikia. Kule Russia ukipishana na Putin hata kimya kimya lazima upate ajali ya gari au ndege, kifaru au corona sugu mixx na polonium. Hapo jirani kwa PK utapotelea Dubai au mitaa ya Cape Town ukiwa kwenye bata.

CHADEMA wanafuata modeli ya Republican na Democrats au Conservatives na Labour. Uliona mzee Biden alivyotemeshwa mzigo kule US. Au mtiririko wa kina Cameron, May, Boris, Truss ulivyokuwa UK na kelele zake. Hayo ndiyo mambo muafaka kwa CHADEMA. Acha dozi za polonium na corona zibakie CCM.
 
Ccm
Chukua
Chako
Mapema

Sisiemu Asali inamfikia kila MTU hicho ndo kinawabeba nimewahi kufanya Kazi CCM katika level za chini Sana

So hela ya ruzuku na ya ..... Zilikuwa zinatufikia
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Chadema ngoma wanayowachezesha ccm Mungu siyo ya dunia hii
 
Back
Top Bottom